DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

Kama kumchokonoa Mange tuu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Yule ni hatari. Watu tuna makandokando mengi, hivyo kama unajitambua usimchokoze! particularly, kama ulivyosema if you are a highly placed person in the society!
 
Pilau lake tutalila[emoji23] [emoji23] [emoji38]
 
Aisee hiyo kitu ipo kabisa na Mola huwa anasikia!
Nimeshuhudia watu wakianguka
Mtu mwenye ukaribu na Mwenye Enzi Mungu sio wa kuchezea
Soma kitabu cha Samueli
Kama ni kweli George Bush wote wawili wasingekuwa hai kwa walichokifanya Iraq.
 
Akuna kitu kama icho wewe watu wameua Osama,Gaddafi tena msikitin kuna wanaoijua din kama waharab walisomea misikiti Obama yule bado anadunda tuuh
Kweli kabisa hizi albadili kama zinafanya kazi huwafuata waswahili tu bhana maana Israel inawatendaje Palestina na hao hao Palestina wanaisoma namba?
 
Halafu huyo dada wa ma-mtoni ana wafuasi wengi hatari TZ na hasa hawa vijana wa 20-40 yrs,na mbaya sana wanamsikiliza na kuamini anachoongea.Ni hatari sana
 

Mshana kuna kitu inaitwa "Emotional Intelligence" baba!! Nikiangalia viongozi wetu, ni wachache sana wameweza kumudu hii kitu! Huyu shehe nguvu kubwa aliyotumia kumjibu Mange, bora angeenda kulala angelinda heshima yake zaidi. Kinachomuuma shehe huyu ni ukweli kujulikana, sasa kujibu kwake amemwaga petrol kwenye moto. Atatabiri vifo vya wangapi? Au yeye hatokufa? Haya mambo ya watu wengine kujifanya kuwa Mungu anawasikiliza wao zaidi ni kukengeuka aisee!!
 
Kama ni kweli George Bush wote wawili wasingekuwa hai kwa walichokifanya Iraq.
Sadamu naye alikuwa na makosa yake!
What goes around comes around
That is the law of Universes
Lazima uvune unayo yapanda hakuna kuepuka
 
Bora angenyamaza tumeanza kumjua shekhe kwa undani kabisa
 
Kwa sentensi chache niseme nionavyo mimi kuhusu hii "vita mpya" kati ya dada Mange na Sheikh mkuu Dar, Alhad Mussa Salum. Kwanza nieleze tu kuwa nauheshimu sana Uislamu kama navyoheshimu imani za watu wengine. Pia nawaheshimu viongozi wa kiislamu wakiwemo masheikh kama navyoheshimu viongozi wa imani na madhehebu mengine.

Lakini nadhani Sheikh Salum hakuwa na sababu ya kumjibu Mange. Kuna mambo ambayo tunategemea kuona Sheikh Mkuu wa mkoa akifanya, sio kufuatilia mambo ya instagram na kujibu. Tunategemea kuona akipambana kupigania haki za waislamu ktk namna itakayoleta matokeo chanya kwa waislamu na taifa kwa ujumla.

Tunategemea kumuona akiwasemea masheikh waliokamatwa miaka zaidi ya mitano iliyopita na mpaka leo wapo tu mahabusu bila kujua hatma yao. Aombe kesi zao zisikilizwe haraka (JPM anasema chapchap) ili kama wana hatia wahukumiwe, na kama hakuna ushahidi wa kuwatia hatiani basi waachiwe HURU, kuliko kuendelea kuteseka tu mahabusu miaka zaidi ya mitano kwa madai kwamba upelelezi haujakamilika.

Hivi wakikaa mahabusu miaka 10 halafu bado ushahidi wa kuwatia hatiani usipatikane itakuaje? Au wakakaa mahabusu miaka 30 halafu wakaja kuachiwa huru kwa kuonekana hawana hatia itakuaje? Sheikh Salum haoni kama wenzake watakua wameteseka bila sababu? Sasa kwanini asiwasemee? Wanasheria wanasema "Justice delayed is justice denied", yani haki inayocheleweshwa ni haki iliyopotezwa.

Hawa masheikh wakiendelea kukaa mahabusu kwa miaka mingine zaidi na wakaja kukosekana na hatia it is justice denied. Ndio maana nilimpongeza Rais JPM alipomwambia Jaji Mkuu kwamba anapenda kuona kesi zikisikilizwa chapchap. Naamini na hii ya Masheikh itasikilizwa "chapchap" kama alivyoshauri Rais JPM (japo wameshasota miaka mingi sana ndani).

Je Sheikh Salum anajua kuna wenzie wanaoteseka huko magerezani? Wapo wanaodaiwa kudhoofika sana kiafya, wakiwemo akina Sheikh Fareed, Mselem na wengine. Nilitegemea kuona Sheikh Salum akipambana kwa ajili ya HAKI na USAWA kwa watanzania wote (wakiwemo masheikh walioko gerezani) na sio kupambana na Mange Kimambi. I stand to be corrected.!!

Malisa GJ
 
Aisee..kama mambo yanasemwa insta...dhidi ya huyu shekhe bac kuna tatizo kubwa sana.....
Hivi ndugu zetu waislamu nyie hayo mambo yaliyowekwa wazi huko inst dhidi ya huyu kiongozi wenu mlikua hamjui au??Manake ni kufuru tupu kwa kiongozi wa dini tena miongoni mwa dini zenye wafuasi wengi kuwa na kashfa nzito kama zile..watu wanatiririka tu kule.....
Bwakata waanzishe uchunguzi juu ya huyu jamaa...anawachafua sana waislamu....kiongozi mkubwa kama yule na yale makashfa bora angejiudhuru akaenda annual retreat hata Muscat huko.....
Zamani niliamini waislamu ni watu ambao hawataki mchezo hasa katika masuala yao ya dini..lkn kwa kashfa hizi za huyu jamaa....jinsi watu wanavyomlalamikia na bila shaka mlikua mnajua .....
 
Na zaidi ukishajiona wewe matendo yako nyuma ya pazia ni machafu bhasi huna haja ya kuanzisha vita na Mange,, ile ig page ya Mange imejaa wadangaji wengi mno wa hapa mjini so manr akikianzisha wao wanamalizs with vivid examples. sheikh anazidi kudhalilika tu kule kwa Mange.ni ngumu kupigana vita ya mtandaoni na Mange
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…