DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

Kweli kabisa hizi albadili kama zinafanya kazi huwafuata waswahili tu bhana maana Israel inawatendaje Palestina na hao hao Palestina wanaisoma namba?
Haiendi hivyo
Kila kitu kina 40 yake
Panga maisha yako yawe ya kistaarabu
Hivi unajua makafara wangapi wazungu au wahindi huwa wanatoa kumilki kitu chochote?
Hivi vitu vya Ulimwengu wa Roho si vya kupuuzia hata kidogo!
Kuwa mtu mwenye maadili mazuri na utakula mema ya nchi!
 
Sheikh alijua kwamba watu wataendelea kumpaka matope, na akasema hatajibishana naye tena!
Sasa hao wengine ni kufurahisha baraza tu!
NENO LAKE AMESHA LITAMKA
MWENYE MASIKIO NA HEKIMA AYASIKIE!
 
Nadhani lengo la mtoa uzi,ni kuhusu masheikh waloko rumande.sasa unataka sheikh aingilie mahakama au aipaingie mahakama nn cha kufanya.
 
Duh;
Naona kama vile Yule Sheikh wetu anamwambia Da Mange Please Hide my ID.

Hivi lakini mbona naona kama kuna mambo fulani hayako sawa kwa huyu sheikh.Sasa kweli anataka Da Mange amtetee kweli?Au anatafuta kiki kwa pikipiki au kuna mambo mengine anaogopa tusijiue

Anyway

Da Mange Please Hide My ID

Pole Alhaji

Usijali ndio maisha yalivo
 
BAKWATA department ya CCM hatuitambui. Viongozi wanaotambuliwa na kuheshimika Sheikh Issa Ponda, Masheikh wa UAMSHO.
 
Amsema ni mwaka wake wa mwisho wanaenda kumuombea dua hata endelea na upuuz wake kwan ye nani
 

Kaka labda nikupe elimu ambayo huijui tafadhal kuwa makini nisikilize.
BAKWATA sio chombo cha waislamu na haitawahi kuwa kwa sababu hakikuundwa na waislamu. Mfano mzur nikuulize tu, hivi inawezekana vipi wakristu muundiwe baraza na serikali tena inayojinasibu kwamba haina dini?

Hii kitu ina historia ndefu kidogo nyuma ktk vuguvugu la uhuru, ikumbukwe wakat wa kupigania uhuru baadhi ya wazee wengi wa DSM walihusika na ukomboz wa nchi yetu then kilichokuja kutokea ni kugeukana miongoni mwao baadae. Yaan hawakushirikishwa ktk matunda ya uhuru, ikumbukwe DSM ilikua na wazee wengi ambao ni waislam wakaanza kuonesha hasira zao kwa serikal ya Nyerere wakiona km amewageuka hawakumbuk tena ktk uongoz wake. Nyerere alichokifanya ni kitu simple tu "divide and rule" akawaundia BAKWATA akiwataka waislam ku-obey hcho chombo na serikali itacomply tu kile kiongeacho na BAKWATA. Hapo ndio utata ulipoanza, wengine wakakubal wngne wakakataa.

Hicho chombo kina mkono mkubwa wa serikal, km mfuatiliaji wa siasa za nchi hii utakubaliana na mm kwamba kiko pale kwa manufaa ya wachache na ndio maana muislam unayejielewa huwez kukubal kutawaliwa na BAKWATA. Wao kaz yao ni kutafuta aya na hadith znazowapa favour kwao ila co umma wa kiislamu.

Hivi BAKWATA ingekua chombo cha kiislam kingeshindwa walau kuhoji uhalali wa masheikh wa uamsho kuwa rumande hadi leo tena kwa kesi nyepesi namna ile?

Kwahyo ndugu yangu kuhusisha uislam na BAKWATA ni kutukosea bora tu utuache uizungumzie km tawi la CCM na shirika la serikali.
 
Sio kila mtu yupo ig ingependeza kama hayo matusi ya mange yangepandishwa hapa

Sheikh has stooped to a new low kujibizana na Mange
 
Anataka kumloga au ni vipi mazeee.... Maana huo mkwara sio...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…