Kuna shida gani kwenda huko na kusoma hizo Habari?
Nilichogundua ni kuwa watu wengi walio na mahusiano ya karibu na Bashite huwa maisha yao binafsi ni ya ajabu ajabu sana. Na kuwa karibu na Bashite ni balaa kwani lazima utakuja kuumbuka mbele ya jamii, wapi lemutuz siku hizi? Muro jee? Sasa shehe wetu.
Hakika muhimu ni kujitenga na Bashite huenda ana laana
Yaani ni point tu imeslide mzee amejikuta ameenda kuelezea majukumu ambayo anapaswa shekh ayasimamie ila yote kwa yote nadhani umemuelewaMi niende tofauti kidogo na malisa mwanzo kama alitaka kueleza vita ya ugomvi kati ya mange na shehe sasa umejikita ktk kuongelea masuala ya mashehe walioko mahabusu vina uhusiano gani bifu la mange na huyo shehe wa mkoa?
Kesi ya Deo Kisandu, bado haijaisha!
Ogopa saana mwanamke anaeish kwa talaka alafu katika nchi za watu full stress muda wote yaan atataka kila mtu aharibikiwe kama yeye alivyoharibikiwa
Na huwa hawana woga kabisa hv kwa akili zako uko zako state unaweza pata muda wa kuwa bize IG haaaaahaaaahaaaaaaa
Ukiwa muoga katika maisha yako mtu anaweza kukwambia shoga na ukakubali
Halafu ana followers wanaompa kila kisichojulikana na wengine
Kuna mtu kampenyezea Mange upupu mwingine wa Shekhe afu anamwambia Mange arelax mtu mchafu yule dua yake haivuki ata nguzo ya umeme kwenda mbinguni [emoji23][emoji23][emoji23]
Pale kama ni kweli hakuna shehe pale kuna shekuna.Yaanu hata mimi Nina nafuuu,shehe acha ngazi unaichafua dini ya Allah,nahisi na nguruwe unakula na hata ngada huenda ni muda.Shehe,shehe,shehe! Nimekuita mara ngapi? Shehe jiuzulu na ukatubu.Shehe kweli huna hirizi kiunoni kweli? Namkumbuka shehe Amiri.Mange anammaliza Sheikh huko insta!
Ni wapi alipochanganya dini na siasa?! Umeshaambiwa, ile picha ambayo watu walikuwa wanatandika ubwabwa ilikuwa ni msibani... kuna Sheikh kafariki K,nyama na Sheikh Mkuu alikuwa pale. Jama wa CCM walipomuona, wakaenda kumjulia khali.
Ile picha nyingine ilikuwa ni ya mwaka 2014... sasa ni wapi huko ambako kachanganya dini na siasa?
Inaonekana watu hamfahamu tafisiri ya kuchanganya dini na siasa!
Kiongozi wa dini kuwa kwenye shughuli za siasa huwezi kuita ni kuchanganya dini na siasa! Hakuna sheria inayokataza viongozi wa dini kushiriki shughuli za kisiasa... kinachokatazwa; wewe upo msikitini au kanisani unaanza kuhubiri siasa... huko ndo kuchanganya dini na siasa!!
Au hata kama sio msikitini/kanisani, unafika kwenye halaiki, hususani kipindi cha kampeni kama hiki halafu unatumia nafasi yako kama sheikh au askofu, kumpigia mtu wako kampeni!
0655/0713Sheikh katingwa.
Aliemshauri asimjibu alikuwa akimtakia mema,hbr za mitandaoni ukizijibu ndo zinazidi kukushushia heshima. Watu km wale sio wa kujibizana nao.shekh unatakiwa usamehe sio kuhukumu