Zambotti
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,973
- 3,643
Ni kweli mkuu hayo uliyoyazungumza ni ndoto na tamaa ya kila muislamu kuskia kesi ya mashekh wazanzibar sio tu inasikilizwa lakini wanaachiwa huru kwa kutokutwa na hatia.
Ima hilo la kumsikia Alhad akizungumza juu ya mateso wanayokutaana nayo wenzie, miaka miambili hutomsikia hata siku moja, na wala sio katika matarajio ya wengi kulisikia hilo.
Alhad ni katika wanufaika wajuu kabisa wa mfumo huu wa tawala za CCM hapo ndipo mkate wake wa kila siku ulipo, huwezi kuskia akienda kinyume na wanaompa mkate wake.
Ima hilo la kumsikia Alhad akizungumza juu ya mateso wanayokutaana nayo wenzie, miaka miambili hutomsikia hata siku moja, na wala sio katika matarajio ya wengi kulisikia hilo.
Alhad ni katika wanufaika wajuu kabisa wa mfumo huu wa tawala za CCM hapo ndipo mkate wake wa kila siku ulipo, huwezi kuskia akienda kinyume na wanaompa mkate wake.