Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,311
Nafikiri mahaba yanakutesa.Mange kamtukana huyo shehe,hajamkosoa.Sijui hata kama unajua nini maana ya kukosoa.Kuwa kinyume na mtu sio kukosoa na shehe ajajibu kuwa kwanini kamkosoa na kwanini anakosoa SERIKALI, kwa wenye akili timamu wanaelewa kuwa mange sio mkosoaji.Kama walivyoviongoz wengine mnaowashabikia wakikosoa SERIKALI kama mnavyodai bas shehe katumia njia hiyo kumuonya aache kudhulumu HAKI ya viongoz.katoa kalipio na kwa iman yake yy anajua nini atafanya uwe mwisho wa mange kutukana watu.Lkn hawakosoi wanaoishabikia serikali,yy husema anayoona,
Tofauti na huyo ndg yenu yy badala ya kutulia aliko anajidai kukosoa wanaosema mapungufu ya serikali,
Hii ndo chanzo cha yalomkuta
Duh! Ina maana wenzie walijua kitakachompata wakaamua kumsukumizia motoniHata BAKWATA wenzake hawampendi ndio maana wakamshauri amjibu mange ili mambo yote yawe hadharani.
Nimewaonya watu kama wewe kila wakati ndani ya JF munafanyakazi kama wapambe. Kuna wapambe wa Nape, wapo wa Kimambi, wapo wa Zitto, wapo wa Lissu, nk. Kwa nini kazi yenu ni kutuletea mambo yao yasiyoeleweka na ku-post hapa JF?Bahati nzuri wafuasi wake ni wale wote wanaozijua habari zake, wanamfuatilia kwa kila anachopost, na kuchangia au kuanzisha hoja zinazomuhusu iwe kwa kumfurahia au kumchukia.. hata wewe ungekuwa sio mfuasi wa mange wala tusingeona comment yako humu kwa sababu huwezi kucomment kwa mtu usiyemjua
Bintiii waaakiislamu nae
Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam Sheikh Alhad Mussa Salim hivi sasa anazungumza na waandishi wa vyombo vya habari kuhusiana na kuhusishwa na kampeni zinazoendelea katika Jimbo la Kinondoni.
=====
Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Mussa Alhad ameelezea picha inayosambaa kwenye mitandao inayomuhusisha yeye kufanya kampeni ambayo yumo yeye na pembeni kuna mgombea wa CCM jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia akila chakula pamoja na wenzake wa CCM. Amesema picha ilipigwa akiwa kwenye maziko ya Sheikh Masoud Ismail, amesema yeye ni kiongozi na mtu yeyote anaweza kupiga picha na yeye.
Amedai Mange Kimambi amekuwa akitukana viongozi mbalimbali kwenye Instagram na kusema pia alimtukana mufti wa Tanzania baada ya kuipongeza serikali na Rais John Magufuli.
Sheikh Alhad amesema ametukanwa kwa dhulma na uadui na kudai Mange anautumia ulimi na mikono yake vibaya kudhulumu watu(Heshima zao).
Alhad amesisitiza huu ni mwaka wa mwisho kwa Mange na baada ya mwaka huu hatamtukana mtu yeyote kwa kutumia ulimi au mkono wake kwa sababu amejihalalishia mwenyewe maangamizi kwa mkono wake. Amesema atamshtaki kwenye mahakama ya Mbinguni.
Amesema kuna watu walimpa rai asimjibu kwani atamtukana sana na kudai wao wanataka aendelee kutukana na hatasikia sauti yake baada ya leo ikimjibu na yeye andelee kutukana.
Alhad amesema hawezi kujiingiza kwenye kampeni ya kuipigia debe CCM, amesema CCM ina kawaida ya kualika viongozi wa dini na chama chochote kinaweza kumualika kwenye jambo lake. Amesema ajabu, picha zake ndio zinaanikwa lakini za viongozi wengine hazianikwi.
Katika hatua nyingine, Sheikh ameiambia NEC kuhusu JamiiForums ambao wameandika kwamba sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam: Hivi mnajua kama anafanya kampeni Kinondoni! Alhad amesema watachukua hatua za kisheria ili wathibitishe sheikh wa mkoa wapi amefanya kampeni, kwa kuhudhuria kwenye maziko au sababu ya picha!.
Juu ya tuhuma za Sheikh kushiriki siasa, soma => Picha za Sheikh Alhad Mussa na makada wa CCM zinatoa tafsiri gani? BAKWATA toeni ufafanuzi
Hivyo kuhusu JamiiForums, wataona namna gani ya kushughulika nao kisheria na wengine wote ambao kwa namna moja au nyingine, walijiingiza katika jambo hilo kichwa kichwa bila kulijua ili kuvunja heshma zao.
albadil ni uchawi na sio dua kama unavodhaniHuo ni uchawi wa kwababu na sio albadili ile wanao soma mashekhe ubwabwa wale wa madrassa siamini na sitoamini kwamba albadili inaweza ikamdhuru mtu maana mungu wakweli apendi mtu alibikiwe mpaka akapoteza akili yake kama akipoteza akili nani atamsujudia .ukitembea ukitoka hapo kwenu bongo ndio utaamini aya maneno yangu
Ndio maana yake ni uchawi uliojificha kwenye dinialbadil ni uchawi na sio dua kama unavodhani
Usiposoma wewe nitasoma mimi, na wala hatupungukiwi kitu nymbafu weNimewaonya watu kama wewe kila wakati ndani ya JF munafanyakazi kama wapambe. Kuna wapambe wa Nape, wapo wa Kimambi, wapo wa Zitto, wapo wa Lissu, nk. Kwa nini kazi yenu ni kutuletea mambo yao yasiyoeleweka na ku-post hapa JF?
Waambieni wao wenyewe waandike hapa JF. Binafsi sihitaji kusoma anachopost mtu kama Kimambi! I am an elephant to her thinking!
una matatizo ya kuelewa au kumbukumbuNdio maana yake ni uchawi uliojificha kwenye dini
Toka hapo bongouna matatizo ya kuelewa au kumbukumbu
Kwani yeye Sheikh anapotongoza wake za watu pale ofisini kwake anakuwa hajawatukana waislamu kivitendo?Nafikiri mahaba yanakutesa.Mange kamtukana huyo shehe,hajamkosoa.Sijui hata kama unajua nini maana ya kukosoa.Kuwa kinyume na mtu sio kukosoa na shehe ajajibu kuwa kwanini kamkosoa na kwanini anakosoa SERIKALI, kwa wenye akili timamu wanaelewa kuwa mange sio mkosoaji.Kama walivyoviongoz wengine mnaowashabikia wakikosoa SERIKALI kama mnavyodai bas shehe katumia njia hiyo kumuonya aache kudhulumu HAKI ya viongoz.katoa kalipio na kwa iman yake yy anajua nini atafanya uwe mwisho wa mange kutukana watu.
Mm na ww,,itafuatana na alieusoma ujumbe sio wote mambumbumbu kama unavyofikiria
Shekhe Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Al Haji Mussa Salimu amjibu mwanadada maarufu mtandaoni Mange Kimambi asema huu ndo mwaka wake wa mwisho kutumia mdomo wake kuwatukana watu haswa viongozi. [HASHTAG]#KwanzaHabari[/HASHTAG]