Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,311
Huyu nae anajishushia heshima tu,angekuwa kimya angepungukiwa nini? Anatukanwa Rais na mange sembuse yeye kiongozi wa kiimani tu!
Sasa Ona alivyo zidi kuyakoroga ,Siri zake zinazidi kuvuja,mengine labda sio kweli na mengine labda ni kweli.
Alafu Huyu si ametishia Maisha ya mange ,kwa Nini asichukuliwe hatua za kisheria ,yaani shekhe mzima unatishia kuroga!!haya let's wait for those the so cold mapepo sijui majini yamfuate mange uko kwa trump.
Kama mnamuachia mungu Huyu Huyu muumba vyote vinavyo elea,kuonekana na visivyo onekana msahau lolote baya ku token mange ,tambueni kwamba yeye pia Ana mungu na malaika wake wanao mlinda.
Sasa Ona alivyo zidi kuyakoroga ,Siri zake zinazidi kuvuja,mengine labda sio kweli na mengine labda ni kweli.
Alafu Huyu si ametishia Maisha ya mange ,kwa Nini asichukuliwe hatua za kisheria ,yaani shekhe mzima unatishia kuroga!!haya let's wait for those the so cold mapepo sijui majini yamfuate mange uko kwa trump.
Kama mnamuachia mungu Huyu Huyu muumba vyote vinavyo elea,kuonekana na visivyo onekana msahau lolote baya ku token mange ,tambueni kwamba yeye pia Ana mungu na malaika wake wanao mlinda.