DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

Huyu nae anajishushia heshima tu,angekuwa kimya angepungukiwa nini? Anatukanwa Rais na mange sembuse yeye kiongozi wa kiimani tu!
Sasa Ona alivyo zidi kuyakoroga ,Siri zake zinazidi kuvuja,mengine labda sio kweli na mengine labda ni kweli.
Alafu Huyu si ametishia Maisha ya mange ,kwa Nini asichukuliwe hatua za kisheria ,yaani shekhe mzima unatishia kuroga!!haya let's wait for those the so cold mapepo sijui majini yamfuate mange uko kwa trump.
Kama mnamuachia mungu Huyu Huyu muumba vyote vinavyo elea,kuonekana na visivyo onekana msahau lolote baya ku token mange ,tambueni kwamba yeye pia Ana mungu na malaika wake wanao mlinda.
 
Sheikh ulichokitaka sasa umekipata. Mpare kakuvua nguo (kama anayoyaandika juu yako yana ukweli japo nusu) wewe chutama...ukikimbizana nae ni aibu maradufu
 
Lkn hawakosoi wanaoishabikia serikali,yy husema anayoona,
Tofauti na huyo ndg yenu yy badala ya kutulia aliko anajidai kukosoa wanaosema mapungufu ya serikali,
Hii ndo chanzo cha yalomkuta
Nafikiri mahaba yanakutesa.Mange kamtukana huyo shehe,hajamkosoa.Sijui hata kama unajua nini maana ya kukosoa.Kuwa kinyume na mtu sio kukosoa na shehe ajajibu kuwa kwanini kamkosoa na kwanini anakosoa SERIKALI, kwa wenye akili timamu wanaelewa kuwa mange sio mkosoaji.Kama walivyoviongoz wengine mnaowashabikia wakikosoa SERIKALI kama mnavyodai bas shehe katumia njia hiyo kumuonya aache kudhulumu HAKI ya viongoz.katoa kalipio na kwa iman yake yy anajua nini atafanya uwe mwisho wa mange kutukana watu.
 
Hata BAKWATA wenzake hawampendi ndio maana wakamshauri amjibu mange ili mambo yote yawe hadharani.
Duh! Ina maana wenzie walijua kitakachompata wakaamua kumsukumizia motoni
 
Bahati nzuri wafuasi wake ni wale wote wanaozijua habari zake, wanamfuatilia kwa kila anachopost, na kuchangia au kuanzisha hoja zinazomuhusu iwe kwa kumfurahia au kumchukia.. hata wewe ungekuwa sio mfuasi wa mange wala tusingeona comment yako humu kwa sababu huwezi kucomment kwa mtu usiyemjua
Nimewaonya watu kama wewe kila wakati ndani ya JF munafanyakazi kama wapambe. Kuna wapambe wa Nape, wapo wa Kimambi, wapo wa Zitto, wapo wa Lissu, nk. Kwa nini kazi yenu ni kutuletea mambo yao yasiyoeleweka na ku-post hapa JF?

Waambieni wao wenyewe waandike hapa JF. Binafsi sihitaji kusoma anachopost mtu kama Kimambi! I am an elephant to her thinking!
 


Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam Sheikh Alhad Mussa Salim hivi sasa anazungumza na waandishi wa vyombo vya habari kuhusiana na kuhusishwa na kampeni zinazoendelea katika Jimbo la Kinondoni.

=====

Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Mussa Alhad ameelezea picha inayosambaa kwenye mitandao inayomuhusisha yeye kufanya kampeni ambayo yumo yeye na pembeni kuna mgombea wa CCM jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia akila chakula pamoja na wenzake wa CCM. Amesema picha ilipigwa akiwa kwenye maziko ya Sheikh Masoud Ismail, amesema yeye ni kiongozi na mtu yeyote anaweza kupiga picha na yeye.

Amedai Mange Kimambi amekuwa akitukana viongozi mbalimbali kwenye Instagram na kusema pia alimtukana mufti wa Tanzania baada ya kuipongeza serikali na Rais John Magufuli.

Sheikh Alhad amesema ametukanwa kwa dhulma na uadui na kudai Mange anautumia ulimi na mikono yake vibaya kudhulumu watu(Heshima zao).

Alhad amesisitiza huu ni mwaka wa mwisho kwa Mange na baada ya mwaka huu hatamtukana mtu yeyote kwa kutumia ulimi au mkono wake kwa sababu amejihalalishia mwenyewe maangamizi kwa mkono wake. Amesema atamshtaki kwenye mahakama ya Mbinguni.


Amesema kuna watu walimpa rai asimjibu kwani atamtukana sana na kudai wao wanataka aendelee kutukana na hatasikia sauti yake baada ya leo ikimjibu na yeye andelee kutukana.

Alhad amesema hawezi kujiingiza kwenye kampeni ya kuipigia debe CCM, amesema CCM ina kawaida ya kualika viongozi wa dini na chama chochote kinaweza kumualika kwenye jambo lake. Amesema ajabu, picha zake ndio zinaanikwa lakini za viongozi wengine hazianikwi.

Katika hatua nyingine, Sheikh ameiambia NEC kuhusu JamiiForums ambao wameandika kwamba sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam: Hivi mnajua kama anafanya kampeni Kinondoni! Alhad amesema watachukua hatua za kisheria ili wathibitishe sheikh wa mkoa wapi amefanya kampeni, kwa kuhudhuria kwenye maziko au sababu ya picha!.

Juu ya tuhuma za Sheikh kushiriki siasa, soma => Picha za Sheikh Alhad Mussa na makada wa CCM zinatoa tafsiri gani? BAKWATA toeni ufafanuzi

Hivyo kuhusu JamiiForums, wataona namna gani ya kushughulika nao kisheria na wengine wote ambao kwa namna moja au nyingine, walijiingiza katika jambo hilo kichwa kichwa bila kulijua ili kuvunja heshma zao.

Bintiii waaakiislamu nae

Dua bin dua

Wakristo kaeni mbali kabisa
 

Attachments

  • FB_IMG_1518015253656.jpg
    FB_IMG_1518015253656.jpg
    27 KB · Views: 53
  • FB_IMG_1518015233684.jpg
    FB_IMG_1518015233684.jpg
    28.6 KB · Views: 52
  • FB_IMG_1518015237437.jpg
    FB_IMG_1518015237437.jpg
    26.1 KB · Views: 52
  • FB_IMG_1518015230295.jpg
    FB_IMG_1518015230295.jpg
    31.2 KB · Views: 52
NANGALIA FB KUMBE BINTI HAJJAT BANA AISEE...NAPITA TU
 
Huo ni uchawi wa kwababu na sio albadili ile wanao soma mashekhe ubwabwa wale wa madrassa siamini na sitoamini kwamba albadili inaweza ikamdhuru mtu maana mungu wakweli apendi mtu alibikiwe mpaka akapoteza akili yake kama akipoteza akili nani atamsujudia .ukitembea ukitoka hapo kwenu bongo ndio utaamini aya maneno yangu
albadil ni uchawi na sio dua kama unavodhani
 
Nimewaonya watu kama wewe kila wakati ndani ya JF munafanyakazi kama wapambe. Kuna wapambe wa Nape, wapo wa Kimambi, wapo wa Zitto, wapo wa Lissu, nk. Kwa nini kazi yenu ni kutuletea mambo yao yasiyoeleweka na ku-post hapa JF?

Waambieni wao wenyewe waandike hapa JF. Binafsi sihitaji kusoma anachopost mtu kama Kimambi! I am an elephant to her thinking!
Usiposoma wewe nitasoma mimi, na wala hatupungukiwi kitu nymbafu we
 
Ushauri wa bure kwa Sheikh ubwabwa:
  • Bakwata haitakupeleka pazuri, kwani haizingatii nini kimesemwa katika Qur`an takatifu.
  • Bakwata haijajali elimu kwa waislam, kwani shule zenu zote ni zero tu, mpaka kwa wasioujua uislam wanadhani waislamu hawana akili kutokana na matokeo ya shule zenu.
  • Ukombozi wa elimu ulitokea wakati Rais Mwinyi alipokubali shule za kiislam zinaweza kuanzishwa bila kuwa chini ya BAKWATA. Na hapo ndio watu binafsi wakaweza kufungua shule zao zenye muelekeo wa maadili mazuri ya kiislam
  • Moja kati ya zao kuu la kujitoa BAKWATA kwa shule za kiislam ni shule ya sekondari ya ZAM ZAM- Bagamoyo. Angalia matokeo yake ya kidato cha pili yanavyopendeza.
Hivyo ushauri wangu nasaha kwa sheikh ubwabwa ni kuachana na waislam. Huyu sheikh aendeshe Taasisi yake ya BAKWATA kwa madhumuni yeyote watayejipangia, ikiwa ni ya kisiasa, kishetani, kibiashara n.k. Kuna kipindi Adam Nasibu alinunua magari yake mengi na kuweka NEMBO na jina kubwa BAKWATA. Haya sisi waislam hayatuhusu, ni nyie tu mtavyoamua.

Uislam utashamiri bila BAKWATA........ ACHA WAFU WAZIKANE.
 
Nafikiri mahaba yanakutesa.Mange kamtukana huyo shehe,hajamkosoa.Sijui hata kama unajua nini maana ya kukosoa.Kuwa kinyume na mtu sio kukosoa na shehe ajajibu kuwa kwanini kamkosoa na kwanini anakosoa SERIKALI, kwa wenye akili timamu wanaelewa kuwa mange sio mkosoaji.Kama walivyoviongoz wengine mnaowashabikia wakikosoa SERIKALI kama mnavyodai bas shehe katumia njia hiyo kumuonya aache kudhulumu HAKI ya viongoz.katoa kalipio na kwa iman yake yy anajua nini atafanya uwe mwisho wa mange kutukana watu.
Kwani yeye Sheikh anapotongoza wake za watu pale ofisini kwake anakuwa hajawatukana waislamu kivitendo?
 
Hana uwezowa kuwa na mfumo wa kumuwekea mtu mwisho wa kitu flani , namuonea huruma sana kwa sababu dogo limemtowa kinundu
 
Dada Mange Kimambi huku Tanzania kuna mchezaji anaitwa *EMMANUEL ANORD OKWI* anachezea SIMBA *tunaomba umchambe*.

Huyu wakati anasajiliwa Simba tulimwita MHENGA lakini sasa ndiye anaongoza kufunga magoli yaani YANGA hatuna raha kabisa na kwa jinsi spidi yake ilivyokali atafanya YANGA tukose ubingwa.

Da Mange please hide my ID
 
Back
Top Bottom