Kwani siku hizi uko wapi Dada? Umeanza kukengeuka?Aiseeee
Kivipi nami nimo kwenye wenu?
Shem avatar yako nzuriAisee
asante sana ndugu ubarikiwe na uwe na amani ya moyo.You said it all
Remain blessed
Mahakama ya mbinguni imetoa tamko la hukumu au yeye anatoa,afu kwanini asimpotezee ,inachukua mda gani mahakama kutoa hukumu,hiyo mahakama adhabu yke ni kifo tu?
Kuna jambo limemfika sio bureKwani siku hizi uko wapi Dada? Umeanza kukengeuka?
Kuna ukweli wwte ktk hili!?Albadili, nasikia ni lazima isomwe misikiti saba kwa mpigo.
Kwani amesema atakufa au kasema kutukana mwisho mwaka huu?
Kwani mange akiacha kutukana ni vibaya sana? Kwanini tunataka aendelee kutukana viongozi wa dini?
Umeongea point sanaHicho anachokieleza kwamba Mange "ataondoka" ni kuwazia mambo yasiyowezekana! Katika nyakati zetu ni lazima kuacha kutumia matisho kama zamani kwamba ukimfanya hivi dhidi ya dini utadhurika. Kama anamaanisha kuwa Yeye Sheikh na viongozi wenzie watamuomba Mungu ili "amupumzishe" Kimange hilo ni jambo ambalo Mungu hawezi kufanya kabisa! Labda kama kuna Mungu tofauti na tunayemjua wengine. Ningeelewa zaidi ikiwa angemuombea Mange maisha marefu na kujaliwa moyo Wa kutambua makosa yake na kutubu.
hahahaha kama naiona ngoma ya yule jamaa [seduce me]Shem avatar yako nzuri
mkuu ulivushwa darasaa aisee maana errors za kutoshaaSijui [Mamnge] kimambi anashida gani, ni mdada asiye na Ustaarabu na Staha. Anachofanya hakosoi ila ni kutukana. Kwani hana njia nzuri ya kukosoa kweli; Kwa Clip nilivyoisikiliza kuna haja gani Mange kuachia matusi kwa Shehe?
Ndiyo maana nawaacha na dini zao. nitasali dini za babu zangu!Naaam na hapa ndo tunaona kilichopo ndani ya mioyo ya viongozi wetu wa dini
Ambao wanatufundisha msamaha lkn wao hawasamehi,wanatufunfisha kuepuka visasi lkn wao ndo mabingwa wa visasi,
Huu si mfano mzuri kabisa
Asante shemelaShem avatar yako nzuri