DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

Hicho anachokieleza kwamba Mange "ataondoka" ni kuwazia mambo yasiyowezekana! Katika nyakati zetu ni lazima kuacha kutumia matisho kama zamani kwamba ukimfanya hivi dhidi ya dini utadhurika. Kama anamaanisha kuwa Yeye Sheikh na viongozi wenzie watamuomba Mungu ili "amupumzishe" Kimange hilo ni jambo ambalo Mungu hawezi kufanya kabisa! Labda kama kuna Mungu tofauti na tunayemjua wengine. Ningeelewa zaidi ikiwa angemuombea Mange maisha marefu na kujaliwa moyo Wa kutambua makosa yake na kutubu.
hapo ndipo naposhangaa mm huyo Mungu ni wa aina gani anaeenda kumuomba [emoji20]
 
mkuu ulivushwa darasaa aisee maana errors za kutoshaa
SIO;Mamnge
NDIYO;Mange kimambi
Watu kama nyie huwa hamkosekanagi; Kuna haja gani ya kuhusisha darasa na Ishu hiyo? Ungeweza Kusema tu kuwa Sio Mamnge ni Mange Kimambi kuna shida hapo? Ndio maana hata vitu vyenye tija na Taifa huwa mnaingiza siasa kwa Staili hii. Anyway huenda ukawa mfuasi wa Mange.
 
hata Mimi natamani nimtukane huyu musa ili aniloge, kisha tupime kati ya mungu wangu na majini yake, nani ni imara. shiriki shiriki Shiriki tu.
 
Kwa hiyo atamroga na zile pini na viwembe wanavyoweka kwenye sinia? [emoji1]
Poor religious politician
 
haitasaidia nikikwambia nimetokea sura gan,ya wap,na ya nani cha msingi ni wajibu wa kila mmoja wetu kukemea uovu unaojitokeza na utakaojitokeza katika jamii inayotuzunguka.shekhe amemzungumzia mange kutokana na vitendo vyake vya kuudhi,kebehi,kashfa na lugha chafu ambazo si stahiki kwa jamii yetu hii ya "hapa kazi tu"
binafsi naunga mkono tamko hili na pia ni wito kwa viongozi wa dini kuendelea kukemea maovu yatakayojitokeza.
huu ni mfano wa kuigwa.hakuna personal interest yeyote kama wengi wanavyodai.
Na
yeddy guyy
[Gemstone dealer]
UKIMYA NAO NI JIBU TOSHA
 
Nadhani huyu mange atafwariki ulimwengu very very soon, na akifyarikyi basi itakuwa mbegu ya shetani imekufa kabisa kabisa, maana kuna watu walijidai wao ni CCM na wao ni nchi ila leo hii tunashuhudia hawapo kabisa na kila mtanzania anajivunia kuwa mwana CCM.
ataanza musa kabla mange, mark my words.
 
Mwenyezi Mungu anampenda yule ambaye khaki iko upande wake na akaamua kukaa kimya... Na kusamehe ni bora kuliko kisasi kwa wale wanaojua.

Sheikh huyo mpare dunia imemvuruga sasa usimruhusu akuchanganye.
 
Kwani siku hizi uko wapi Dada? Umeanza kukengeuka?

Kama unaongelea chama.. mimi sina kadi ya chama chochote.

Mimi nimshabiki wa JPM

Siku nitakayo chukua kadi ya chama anachoongoza nitakuambia twende pamoja.

Labda hata 2021 itaweza kuwa.. mimi ni mdau tu wa JF.
 
Watu kama nyie huwa hamkosekanagi; Kuna haja gani ya kuhusisha darasa na Ishu hiyo? Ungeweza Kusema tu kuwa Sio Mamnge ni Mange Kimambi kuna shida hapo? Ndio maana hata vitu vyenye tija na Taifa huwa mnaingiza siasa kwa Staili hii. Anyway huenda ukawa mfuasi wa Mange.
mkuu sina tatizo na wewe pia kuwa mfuasi au kutokuwa mfuasi wa mange haijalishi as long as ni mtanzania mwenzangu.pale unapokuwa [HASHTAG]#mjinga[/HASHTAG] then hutaki kuelekezwa unaelekea kuwa [HASHTAG]#mpumbavu[/HASHTAG].
lengo;kukuelewesha na sio kukukosoa.
 
Kama unaongelea chama.. mimi sina kadi ya chama chochote.

Mimi nimshabiki wa JPM

Siku nitakayo chukua kadi ya chama anachoongoza nitakuambia twende pamoja.

Labda hata 2021 itaweza kuwa.. mimi ni mdau tu wa JF.
Kuna sehemu nimeandika habari za Chama au CCM Coco? Soma vizuri andiko langu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
mange anatisha
Anajichimbia kaburi, bahati mbaya taasisi anazocheza nazo sio za kugusa, imajin serikali inamuwinda na taasisi za dini tena uislamu na ukatoliki zinamuwinda. Hizi taasisi tatu huwezi zikwepa.
 
Back
Top Bottom