pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
Hatima ya pumzi ya mtu anaijua Mungu makubwa shekhe badala aombee watu kheri anaombea vifo aisee hizi dini hizii bora kumuomba Mungu ki vyangu tu ijumaa atatoa mawaidha watu wapendane yeye anawaza kuua.