PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,106
- 14,353
Hivi Diamond na Zari hawatukanwi au hao sio watuWatu wana akili fupi mno humu,shehe hakusema mange atakufa,alisema mwaka huu ndo mwisho wa kutukana,swali mange anatukana au ameacha kutukana?
NA HII KAULI ILIDHIHIRISHA NINI?
sababu amejihalalishia mwenyewe maangamizi kwa mkono wake.
Sent using Jamii Forums mobile app