Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamati hazitasaidia kitu kaka.Nina mashaka na hizi kamati.
Kama zinafanya kazi ipasavyo ni vipi zimeshindwa okoa masoko yanayoendelea kuungua?
Hizi kamati ndiyo utasikia watu wanalipwa 100K+ per sitting wakati hata waziri husika akijifungia ofisini akakaa kikao na vijana walio field watampa njia za kujikinga na haya majanga.
Na hao vijana wataondoka wakiwa na furaha wamesaidia ofisi.
Ni soko la Mbagala au soko la Zakhiem? Fafanua vizuri.
Unamaanisha kwamba haya masoko yanachomwa makusudi?Awamu hii ya sita ni zamu ya wanyonge kuishi kama mashetani
Yule Gaidi mchoma masoko yupo ndani na timu yake sasa Nani anapiga hii shooWajitafakari.....kuna uzembe mahali...anzia connection umeme....usiku kucha wanaacha vitu vinatokota....etc
Kwamba huo uchafu umeanza awamu ya sita tu?Uchafu kwenye masoko ndio unaosababisha moto, nyanya, karoti, matikiti maji, kabichi na pilipili haviwezi kusababisha moto hata siku moja.
Wapika maharagwe masokoniYule Gaidi mchoma masoko yupo ndani na timu yake sasa Nani anapiga hii shoo
Wanaleta mtafaruku nchi isitawalike, haya magaidi yashughulikiwe bila huruma.Nilipita huko Twitter nikaona kigogo kaandika Cdm yaani Pambalu na wenzake ndo "wanachoma" masoko.!
Anyway pole kwa wafanyabiashara wote!
Kigogo kasema Pambalu na timu yake hao chadema ndo wanachoma. Nenda Twitter.Yule Gaidi mchoma masoko yupo ndani na timu yake sasa Nani anapiga hii shoo