Dar: Soko la Mbagala laungua moto

Dar: Soko la Mbagala laungua moto

fmlyimo

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2012
Posts
330
Reaction score
210
Soko la Rangitatu jimbo la Mbagala lawako moto usiku huu wa kuamkia leo.
20220213_062544.jpg

 
Nina mashaka na hizi kamati.

Kama zinafanya kazi ipasavyo ni vipi zimeshindwa okoa masoko yanayoendelea kuungua?

Hizi kamati ndiyo utasikia watu wanalipwa 100K+ per sitting wakati hata waziri husika akijifungia ofisini akakaa kikao na vijana walio field watampa njia za kujikinga na haya majanga.

Na hao vijana wataondoka wakiwa na furaha wamesaidia ofisi.
 
Nina mashaka na hizi kamati.

Kama zinafanya kazi ipasavyo ni vipi zimeshindwa okoa masoko yanayoendelea kuungua?

Hizi kamati ndiyo utasikia watu wanalipwa 100K+ per sitting wakati hata waziri husika akijifungia ofisini akakaa kikao na vijana walio field watampa njia za kujikinga na haya majanga.

Na hao vijana wataondoka wakiwa na furaha wamesaidia ofisi.
Kamati hazitasaidia kitu kaka.

Ccm iwe serious na iboreshe miundombinu ya zimamoto. Ajali hainaga kinga!
 
Uchafu kwenye masoko ndio unaosababisha moto, nyanya, karoti, matikiti maji, kabichi na pilipili haviwezi kusababisha moto hata siku moja.
 
Nilipita huko Twitter nikaona kigogo kaandika Cdm yaani Pambalu na wenzake ndo "wanachoma" masoko.!

Anyway pole kwa wafanyabiashara wote!
Wanaleta mtafaruku nchi isitawalike, haya magaidi yashughulikiwe bila huruma.
 
Back
Top Bottom