Uchaguzi 2020 Dar: Tundu Lissu akamatwa na Polisi, aachiwa bila masharti

Inawezekana.

Lakini usidharau kabisa mfumo wa usalama wa Tanzania kwa sasa una uwezo mkubwa wa kunasa kila kitu ndani na nje ya mipaka.

Polisi wanafuata maagizo ya intelligence na mashine nzima ya ulinzi na usalama ili Tanzania iwe salama..
That is what you are saying.
 
Ndiyo uko nyumba ya vioo halafu unapiga bomu. Magufuli hachezewi. Na hii ni awamu ya lala salama ni lazima alalishe wasumbufu.

Maandamano hapa hapana kabisa . Kama hujaridhika ni kwenda mahakamani hata ya AFRICA AU DUNIA. Watu maandamano ya Fujo hatujazoeana hayajawahi kutokea tena baada ta yale ya Mwembechai.
 
Hamna mwananchi wa kawaida anayeshangilia huu udhalimu..wanaoshangilia wana agenda zao na wanafaidika na hali ilivyo! Ni kukosa uzalendo kwa taifa tu na tutakuja kujuta siku si nyingi
 
Upinzani ungekuwa unapigania mambo ya msingi haya yote yasingetokea,yule wa CUF anakumbuka shuka wakati kumekucha,eti hawashiriki uchaguzi mwingine wowote kama hakina tume huru.tulisemaga humu toka kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa,kwamba tume huru ni muhimu ikawepo kwanza hata kama tungehairisha huu uchaguzi kwa muda.

Matokeo yake ni kushindwa kama ilivyotokea,walidhani watapata viti vingi vya ubunge kama kipindi cha lowassa.

Sasa kujaribu kuleta sintofahamu,kwa kutishia maandamano imekuwa kama uhaini kwa sasa.kujaribu kutikisa kiberiti cha amani ni hatari.

Mimi naona vyombo vya dola vipo sahihi.na hao mabalozi wakae hapa nchini kwa kutulia.sio wanaletaleta umbea kama mawakala wa shetani.
 
Upinzani ungekuwa unapigania mambo ya msingi haya yote yasingetokea,yule wa CUF anakumbuka shuka wakati kumekucha,eti hawashiriki uchaguzi mwingine wowote kama hakina tume huru.tulisemaga humu toka kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa,kwamba tume huru ni muhimu ikawepo kwanza hata kama tungehairisha huu uchaguzi kwa muda.

Matokeo yake ni kushindwa kama ilivyotokea,walidhani watapata viti vingi vya ubunge kama kipindi cha lowassa.

Sasa kujaribu kuleta sintofahamu,kwa kutishia maandamano imekuwa kama uhaini kwa sasa.kujaribu kutikisa kiberiti cha amani ni hatari.

Mimi naona vyombo vya dola vipo sahihi.na hao mabalozi wakae hapa nchini kwa kutulia.sio wanaletaleta umbea kama mawakala wa shetani.
 
Naona unajaribu kuuza uoga behind your keyboard and device screen..tukuone wa zamani sio? Wale wa JKT halisi bragging ni mwiko.
 
Hivi CCM mlimtoa wapi huyu rais anayedhalilisha legacy ya utawala bora wa Taifa letu?
Kati ya marais watakaokuja kukumbukwa kwa mabaya zaidi kuliko mazuri. Fortunately yeye mwenyewe analijua hilo ndio maana anakazana kujenga vitu na kununua vitu ili watu wakiviona wamkumbuke ila hajui kuwa material things ni vyakupita tu real legacy haijengwi kwa material things.
 
Wakati wamemkamata mbele ya hao mabeberu, yamebaki yanatoa macho tu.
Lissu muoga sana, sasa ndio nini kukimbilia ubalozini?
Mpuuzi sana huyo jamaa, si ana tiketi ya kurudi ulaya, aende tu huko kwa mabwana zake. Asituvurugie mipango ya maendeleo.😡
 
Kama unaamini polisi wanaotembea na Ilani ya ccm nimejilidhisha naoongea na mtu wa namna gani pole sana
 
Zito akamatwi usikute yeye ndio anawachomesha wenzie, Sinaga Imani nae sijui kwanini
Zitto na Upinzani wali na wapi? Alishatimia siku nyingi na ana kinyongo kisichoisha na Chadema.
 
jiwe nchi ishakushinda hii mzee wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…