Uchaguzi 2020 Dar: Tundu Lissu akamatwa na Polisi, aachiwa bila masharti

Uchaguzi 2020 Dar: Tundu Lissu akamatwa na Polisi, aachiwa bila masharti

Tunajua amekamatwa akiwa mzima wa afya na arudi kama alivyokamatwa,tofauti na hivyo patachimbika.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Wrong strategy...hawa polisi wamesomea wapi huu ujinga aisee. Kuwakamata viongozi wetu kama njia ya kuzima maandamano ndio wanazidi kutuprovoke.

We will not be silent, tutaenda kuvamia vituo vya polisi na kutoka na viongozi wetu, so polisi should foresee whether umma utakapovamia vituo vya polisi kama wao watakuwa wana-exist alive
Hahahahah

Kama kweli vile!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kwa sababu walikwisha sema watampiga sindano ya sumu,huu sasa utakuwa ni wakati mwafaka kwao.
Ila wakumbuke,jaribio lolote la kumuua litasababisha mauaji makubwa sana katika nchi hii,na Jiwe atafanyiwa alichofanyiwa rais wa Irak hayati Sadam Husein
 
Safi sana, akabidhi passport yetu, kibali chetu cha uwakili Tanzania.

mnashangilia udikteta si punde hata huu mtandao tutafungiwa ushabiki ni mbaya sana. Sasa wakiona wananchi hawathamini kura zao ndiyo watafanya kila kitu bila lufuata sheria au misingi yeyote.
 
Kila wazo au maoni tofauti na ninyi ni ujinga na takataka hivyo tuvumiliane tu hivyohivyo.

Hata tungekuwa darasani na ukagundua Richard ni mjinga si wapotezea tu?
Proffessorial rubbish
 
Back
Top Bottom