Congressman
JF-Expert Member
- Jun 2, 2020
- 781
- 2,305
Hivi CCM mlimtoa wapi huyu rais anayedhalilisha legacy ya utawala bora wa Taifa letu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna upinzani wewe. 2025 wote watakuwa wanapigania hali zao individuallyHuu ujinga unamdharirisha zaidi Magufuli, unalitia aibu taifa, unaimarisha zaidi upinzani!
Let him get what he deserve!Unnecessary foolish move!
Hivi CCM mlimtoa wapi huyu rais anayedhalilisha legacy ya utawala bora wa Taifa letu?
Huyu ndiyo size yenu. Leo hakuna hata mbwa aliyeingia barabarani.Hivi CCM mlimtoa wapi huyu rais anayedhalilisha legacy ya utawala bora wa Taifa letu?
Inawezekana.
Lakini usidharau kabisa mfumo wa usalama wa Tanzania kwa sasa una uwezo mkubwa wa kunasa kila kitu ndani na nje ya mipaka.
Polisi wanafuata maagizo ya intelligence na mashine nzima ya ulinzi na usalama ili Tanzania iwe salama..
Umebaki wewe ukamatwe pia.Useng..## huu polisi wa Africa pamoja na intelejensia yake iko very predictable. Ipo kwa ajili ya kukandamiza upande fulani.
Kumbe Ujerumani wamemtoa baru ? Aisee, kweli fungu la kukosa la kukosa tu, duh, ...
Lissu kaleta uswahili tu,utaendaje kwenye nyumba ya mtu bila appointment,hata kama ni mimi ningefunga mlango wangu.
Nimeshangaa kwa kweli.Hata wewe Nyani Ngabu umeona eeh!
Hii ni ishara kuwa pengine hata bodyguard wa Pombe hafurahishwi na mambo ya Pombe.
Hamna Magu yuko vizuri tu mbona? Shida Chadema wameachiwa kufanya drama ili uchaguzi uishe washughulikiwe. Sasa asiyekwepa majukumu anaenda kujificha. WA TANZANIA WAMEMUELEWA ZAIDI mgombea wenu. Subiria watu waandamane wakimtetea aachiwe.Hivi CCM mlimtoa wapi huyu rais anayedhalilisha legacy ya utawala bora wa Taifa letu?
Wacha kufananisha polisi wa ulaya na hawa wachumia tumbo wa kiafrika aisee. Polisi wote wa kibongo ni form 4 failure hovyo kabisa!Kama sababu zipo na polisi wanaweza ku-justfy ni sawa tu.
Hata huko Ulaya na Marekani polisi wanaaminiwa kwelikweli kwa kazi zao.
Tuache sheria ichukue mkondo wake.
Kama hawana makosa wataachiwa.
Maelezo ya huyu mvuta bangi aliye ratibu zoezi la kutekwa na kupatikana kwa Mo, hadi rais wake mwenyewe akamuonya kuwa watz sio wajinga.Kwahiyo wewe hapo hadi sasa huamini kukamatwa kwa Mbowe na wenzie pamoja na polisi kutoa maelezo ya kukamatwa kwao?
Mimi najivunia kuwa mtanzania mkuu.Richi Unavyoandika..like a true patriot au sio?
Kuita wenzako mbwa kisa tu wanaamini au kua na mitazamo tofauti na wewe si sawa...Huyu ndiyo size yenu. Leo hakuna hata mbwa aliyeingia barabarani.
Comment ya kijinga sana ,,naona unamkubal lissu mpk akili zako zimeachana na mwiliHivi CCM mlimtoa wapi huyu rais anayedhalilisha legacy ya utawala bora wa Taifa letu?
Ulitaka akimbilie hapo kwako wakati unalala store!?Wakati wamemkamata mbele ya hao mabeberu, yamebaki yanatoa macho tu.
Lissu muoga sana, sasa ndio nini kukimbilia ubalozini?
Bulshit,Mlijua kuna wa kuwagwaya wazungu wenu?
Tuliwaambia mkajitia kichwa ngumu
Lilikuwa suala la muda tu ana kesi kibao za kujibu
Na bado wengine