Zito akamatwi usikute yeye ndio anawachomesha wenzie, Sinaga Imani nae sijui kwaniniZitto ajiandae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zito akamatwi usikute yeye ndio anawachomesha wenzie, Sinaga Imani nae sijui kwaniniZitto ajiandae.
Kila wazo au maoni tofauti na ninyi ni ujinga na takataka hivyo tuvumiliane tu hivyohivyo.Mkuu, ungekaa tu kimya kuficha ujinga wako. Kuna tofauti kati ya kutoa maoni na kubwatuka ujinga, hujishangai kwa nini kila mtu anakuona poyoyo humu?
Wanakosea sana.
Magufuli anajiharibia mno.
Ni kweli, I'm 66Kuna uhusiano gani wa kushinda uchaguzi nchi isikalike na kuambiwa ukweli unapoandika pumba?
Unaonekana mzee sana uliechoka akili.
Wewe na familia yako mngefaidika nini ?Alafu kwanini wamempeleka kama biharusi?
alitakiwa afike kituoni uso umehama sehemu yake.
Mbona umepanic kama malaya wa kona bar katapeliwa?Mlijua kuna wa kuwagwaya wazungu wenu?
Tuliwaambia mkajitia kichwa ngumu
Lilikuwa suala la muda tu ana kesi kibao za kujibu
Na bado wengine
Really?!Bad move!
Unapotoa maoni hadharani unakuwa umetoa nafasi kwa yeyote kudai justification ya maoni yako, unaposhindwa kusupport maoni yako na facts/evidences ndipo watu hukuona mjinga!Kila wazo au maoni tofauti na ninyi ni ujinga na takataka hivyo tuvumiliane tu hivyohivyo.
Hata tungekuwa darasani na ukagundua Richard ni mjinga si wapotezea tu?
We ongea tu propaganda wakati hali ni tete, umekaa kwa shemeji yako unakula/kulala bure, unaleta siasa hapa, njoo uku Kitaya,madiba, ziwani uone hali halisi, bwege weHiyo ni operesheni endelevu ambayo yafahamika imepikwa kwa makusudi kuleta tafrani Tanzania.
Hivyo JWTZ wanaendelea na kazi ya kupambana.
Serikali ilichofanya ni kuzima mitandao ili kuzia "abuse" katika kutuma taarifa na ujumbe.
Ikiridhika na hali itaruhusu mitandao itafunguliwa.
Sasa nasema Kama mungu haishivyo, Bora wananchi wote watuweke ndani ,hii hakubaliki ,hakubaliki ,haikubaliki haikubaliki nchi yetu wote
MAMBO GANI MNAFANYA LAKINI AU NDO MWISHO WA TZ UNAKUA, HAIKUBALIKI, HAIKUBALIKI
Sendiga ndiyo nani mkuu?Huyo ni ccm na aliandaliwa mahususi, au na hilo hulijui pia nikupe data zaidi kuhusu huyo dada?
No.Kila wazo au maoni tofauti na ninyi ni ujinga na takataka hivyo tuvumiliane tu hivyohivyo.
Hata tungekuwa darasani na ukagundua Richard ni mjinga si wapotezea tu?