dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Tuwekee evidence hapaBasi sawa.
Manake huko ndani wameeleza mipango yote na nani ni mastermind.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwekee evidence hapaBasi sawa.
Manake huko ndani wameeleza mipango yote na nani ni mastermind.
Zito hatakamatwaZitto ajiandae.
Kwahiyo wewe hapo hadi sasa huamini kukamatwa kwa Mbowe na wenzie pamoja na polisi kutoa maelezo ya kukamatwa kwao?Unapotoa maoni hadharani unakuwa umetoa nafasi kwa yeyote kudai justification ya maoni yako, unaposhindwa kusupport maoni yako na facts/evidences ndipo watu hukuona mjinga!
Yaani unaionesha jamii kuwa unaweza kuamini kitu kisicho na locus stand na unaenda mbali zaidi kuitaka jamii nayo iamini kama unavyoamini wewe.
Kuaminiwa polisi Ulaya nisawa nilidhani unazungumzia hawa wanaotembea na Ilani ya ccmKama sababu zipo na polisi wanaweza ku-justfy ni sawa tu.
Hata huko Ulaya na Marekani polisi wanaaminiwa kwelikweli kwa kazi zao.
Tuache sheria ichukue mkondo wake.
Kama hawana makosa wataachiwa.
Huu ujinga ulijifunza wapi?Inawezekana.
Lakini usidharau kabisa mfumo wa usalama wa Tanzania kwa sasa una uwezo mkubwa wa kunasa kila kitu ndani na nje ya mipaka.
Polisi wanafuata maagizo ya intelligence na mashine nzima ya ulinzi na usalama ili Tanzania iwe salama..
Umeanza kuogopa naona... hiyo ndiyo USA bana. Uncle Sam!Unaota ndoto za kijinga kama nini sijui,maneno hua mnayasema na nini hua kinatokea?
Hamjielewagi nyie
Maana yake hawakushindaHakuna sababu zingine zaidi ya zile za kisiasa.
CCM ‘imeshinda’ kwa zaidi ya asilimia 80.
Kwa nini ina behave Kama watu walioshindwa na ambao wanatumia mabavu kubakia madarakani?
Hamna moto wewe Bavicha si unaona badala ya kwenda kuongoza maandamano anakimbilia ubalozi. 😁😁😁😁Serikali iliyoko madarakani ndio itawasha moto nchi.
Wanajua kura chache walizopata wanajua kungekuwa na fair ground Lissu angewapa tabu sanaHakuna sababu zingine zaidi ya zile za kisiasa.
CCM ‘imeshinda’ kwa zaidi ya asilimia 80.
Kwa nini ina behave Kama watu walioshindwa na ambao wanatumia mabavu kubakia madarakani?
Hahahaaa kumbe muoga eeh mpaka alikimbilia kutafuta hifadhi ubalozini hahaaaTaarifa za hivi punde ni kuwa Vyombo vya Dola jijini Dar vinamshikilia Ndg. Tundu A. Lissu.
Lissu amekamatwa muda mchache uliopita jijini Dar akiwa ameenda kutafuta hifadhi Ubalozi wa Ujerumani (Jengo la Umoja House).
Huu ni mwendelezo wa kukamata viongozi wa CHADEMA na ACT Wazalendo.
Taarifa kwa kina zinakuja...
It is not a panic mode, it is stupidityPanic mode
Si lazima utumie nguvu zote za ubongo kumuelewa au kuelewa kilichotokea. Kwanza amezungumzia kituo chake alichopigia kura mpaka kufikia mda yeye amemaliza. Sasa baada ya kuondoka mambo yanaweza kuwa yamebadilika. Au alipomaliza kupiga kura kituo kilifungwa?Ndumilakuwili View attachment 1618099
Oh nooooooo mnatuzarau sana Watanzania kwa uungwana wetu, tutafika mnapotaka tufike.
OkBasi sawa.
Manake huko ndani wameeleza mipango yote na nani ni mastermind.
Sasa ukiniuliza evidence anaeonekana mjinga hapa ni nani?Tuwekee evidence hapa
Richi Unavyoandika..like a true patriot au sio?Hiyo ni operesheni endelevu ambayo yafahamika imepikwa kwa makusudi kuleta tafrani Tanzania.
Hivyo JWTZ wanaendelea na kazi ya kupambana.
Serikali ilichofanya ni kuzima mitandao ili kuzia "abuse" katika kutuma taarifa na ujumbe.
Ikiridhika na hali itaruhusu mitandao itafunguliwa.
Mawazo ya upinzani yakijinga sana. Kwahiyo umewa mpaka mwisho hapo.Haya maccm bwana,Kama yanaweza na Yana balls,siyawatwange risasi tujue moja,
Mabeberu fanyeni mambo bhana
Sas nyie Kama Wanaume kwel.. KESHO pia Ni sikuSasa nasema Kama mungu haishivyo, Bora wananchi wote watuweke ndani ,hii hakubaliki ,hakubaliki ,haikubaliki haikubaliki nchi yetu wote
MAMBO GANI MNAFANYA LAKINI AU NDO MWISHO WA TZ UNAKUA, HAIKUBALIKI, HAIKUBALIKI