Yaani huyu aliyeandaa hii clip ndiye Zwazwa kabisa. Lisu kasema kwenye Kituo chake mambo yalifanyika vyema sana, na hajapokea taarifa yeyote kutoka kwenye vituo vingine. Hiyo ni mapema wakati alipokwenda kupiga kura.Ndumilakuwili View attachment 1618099
Wa kuumia ni sisi wananchi wa kawaida amini hivyo.Jiwe anajizika rasmi,hili shimo alilochimba ajiandae kuingia mwenyewe
Bhebhee nyanoko.Hahahahahaha alikua anaenda kujificha huku akitaka vijana waandamane, wakome, tuliwaambia mtakoma
Passport ya nani? Acha basi kujipotosha..Safi sana, akabidhi passport yetu, kibali chetu cha uwakili Tanzania.
Pole kwa maumivu makali uliyoyapata.Mamayo
We ni bonge la kJina:King Mkwezere Mapokopokomanjali mjukuu wa Ibilisi.
View attachment 1618113
Umoja house ina Embassy kama nne za nchi za Ulaya na Eu wana office pale,walimkataa kumpa hifadhi.Yes. Rumours are embassies kadhaa zimeogopa kumpokea.
Ndio ukweli wenyewe mkuu.Mwisho siku anayeumia zaidi ni mwananchi wa kawaida, magufuli hata iweje hawezi kuumia yeye personally labda itokee wanaompa ulinzi wamgeuke which isnt likely to happen anytime sooner.
HahahahahWrong strategy...hawa polisi wamesomea wapi huu ujinga aisee. Kuwakamata viongozi wetu kama njia ya kuzima maandamano ndio wanazidi kutuprovoke.
We will not be silent, tutaenda kuvamia vituo vya polisi na kutoka na viongozi wetu, so polisi should foresee whether umma utakapovamia vituo vya polisi kama wao watakuwa wana-exist alive
Na safari yatatokea,kaa kwa utulivu.Unaota ndoto za kijinga kama nini sijui,maneno hua mnayasema na nini hua kinatokea?
Hamjielewagi nyie
Proud of shit? We are pissed by these power mongering maggots.Its not about bragging is about being proud.
I'm proud of my country.
Vijana wanatakiwa waseme "they are proud of their country".
Sikutegemea kama humu JF kuna watu wenye akili ndogo hivi!!!Sasa nasema Kama mungu haishivyo, Bora wananchi wote watuweke ndani ,hii hakubaliki ,hakubaliki ,haikubaliki haikubaliki nchi yetu wote
MAMBO GANI MNAFANYA LAKINI AU NDO MWISHO WA TZ UNAKUA, HAIKUBALIKI, HAIKUBALIKI
Na ni poyoyo kweliMkuu, ungekaa tu kimya kuficha ujinga wako. Kuna tofauti kati ya kutoa maoni na kubwatuka ujinga, hujishangai kwa nini kila mtu anakuona poyoyo humu?
Wamemwachia bila masharti. Umesikia hiyo?Mkuu, jana si ulisema wanamwogopa?
Safi sana, akabidhi passport yetu, kibali chetu cha uwakili Tanzania.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alafu kwanini wamempeleka kama biharusi?
alitakiwa afike kituoni uso umehama sehemu yake.
Proffessorial rubbishKila wazo au maoni tofauti na ninyi ni ujinga na takataka hivyo tuvumiliane tu hivyohivyo.
Hata tungekuwa darasani na ukagundua Richard ni mjinga si wapotezea tu?
NdioWamemwachia bila masharti. Umesikia hiyo?