Uchaguzi 2020 Dar: Tundu Lissu akamatwa na Polisi, aachiwa bila masharti

Naona sasa wakubwa wana hamu na vurugu sana. Nchi imetulia lakini wenyewe wanaendelea kuchokonoa tu.
Tumeambiana tuchape kazi, sasa hizi fuatana fuatana za nini tena.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu mlienda kuandamana?
Uliona wapo polisi wanaogopa maandamano ya Amani kama Polisiccm? Wao tarehe 1 kabla ya mbili wakamkamata mwenyekiti wa chadema kwa kumbambikia kesi wakwawatia hofu waandamanaji
 
Hakuna sababu zingine zaidi ya zile za kisiasa.

CCM ‘imeshinda’ kwa zaidi ya asilimia 80.

Kwa nini ina behave Kama watu walioshindwa na ambao wanatumia mabavu kubakia madarakani?
Sasa hao walio shindwa kwanini wasitulie na wakafanya shughuli nyingine ?
 
Inawezekana.

Lakini usidharau kabisa mfumo wa usalama wa Tanzania kwa sasa una uwezo mkubwa wa kunasa kila kitu ndani na nje ya mipaka.

Polisi wanafuata maagizo ya intelligence na mashine nzima ya ulinzi na usalama ili Tanzania iwe salama..
Kule Mtwara walishindwa nini kunusa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…