Yanaruhusiwa kwa kufuata taratibu za kisheria zinazooelekeza jambo hilo.Maandamano ni sehemu ya civil liberties na ndo maana yanaruhusiwa
Haiwezekani, lazima wamshikishe adabu. Wananchi wake hawamtaki maana hawakumchagua. Yeye anataka kubisha na kupiga kelele zisizo na msingi anafikiri bungeni hapa? Mazoea yana taabu sana, hawa wapinzani walizoea kupinga na kupiga kelele kila kukicha huko bungeni. Huku mtaani tutawashikisha adabu, bunge letu si la mchezo.Wangeachana nae tu.. CCM tumeshinda sana, wamuache tu
Mmeshinda wapi?Hamna hata aibu?Wangeachana nae tu.. CCM tumeshinda sana, wamuache tu
Sasa utafanyaje mkuu,ndio imeisha hivyoo,na maandamano nayo yameshindikana,shida juu ya shida.muhula uliopita mlikuwa na wabunge kedekede,ruzuku ya kutosha,bado kwenye uchaguzi mkapitisha bakuli,sasa kwa sasa ruzuku hakuna sijui chama kitaendeshwaje.mnaelekea kufa asee,viongozi waandamizi wanakuwa kijiweni,hela ya kuendeshea maisha watapata kwenye biashara zao .ndio maana wamepaniki na matokeo,hawakutegemea.Wachumia tumbo wanufaika wa udikiteta na udhalimu wa CCM kwa Akili zenu ndogo eti mnadai mmeshinda uchaguzi? Uchaguzi upi? Wapi? Ni kweli Rais mteule wa NECCCM Tumeccm na Polisiccm siyo wa kuchaguliwa na wapiga kura
i) Ukweli upi ?Nasimamia ukweli, haki, uhuru, na kanuni!
Siku ukitumiwa pesa toka nje ya Nchi ndipo utajua ubaya wa BOT na siku hiyo hiyo nina imani utaenda kenya ambapo Benk kuu haina uonevuBoT na na personal account wapi na wapi?
Dogo minyoo jipige vidole tu kutoa hiyo minyoo inayokumaliza akili....uchaguzi umepita, watu tunafanya kazi sasa. Lissu hana kazi, analazimisha watu wasio na akili kuandamana ili iweje?Mazezeta waliichagua CCM ndipo NECCCM Tumeccm na Polisiccm wakaamua kuubaka kuunajisi kuulawiti kwa njia haramu za kishetani, hakuna kufanya makusudi kuandamana kwani ni maandamano ya Amani yasiyo na fujo, Nchi ilishachafuka tayari ichafuke mara ngapi? Kitendo cha kuwa mnawabambikia kesi kesi kuwapiga risasi tayari mmeichafua Nchi
CCM wanaogopa mpaka maandamano ya AmaniHofu ya nini kama CCM imeshinda kwa haki?
Ila ninyi mna mikwara, mmewazidi hata akina pwagu na pwaguzi!!Mmeshinda wapi?Hamna hata aibu?
Wakati ule ilikua ni ukimaliza form six? Get your facts right young man. Halafu unaniuliza mimi tena? we si First Lieutenant afande?Wakti ule ukimaliza form six unapita JKT halafu kama umeonekana ni wale wanofaa kwa muendelezo si waendelea Monduli mzee au?
Hao watu wangu 1000 ni katika shughuli ingine kabisa tofuti na Army mkuu.
Mimi sasa kwa Army ni reservist tu sina impact sana.
Wanifuatilia hapo?
Bad move Kwa jeshi la polisi au kwa Tundu Lissu.Ufafanuzi kidogo mkuu.Bad move!
Kauli ya kishujaa sana,bahati mbaya zaidi ni ushujaa wa mitandaoni. Naomba nikushauri kitu leo usiku nenda kavamie pale Lugalo ukaibe silaha afu kawaokeo wahuni wenzenu.We dont give a damn or rather we dont care
Ningeshangaa asingeachiwa bila mashartiNingeshangaa asingekamatwa
Matako yako.Lisu yaani sijui yukoje. Hivi kweli kwa akili zake alijua angeshinda uchaguzi? Ha ha ha ha ha ha ha ha ha aaaaaaa
Haiwezekani, lazima wamshikishe adabu. Wananchi wake hawamtaki maana hawakumchagua. Yeye anataka kubisha na kupiga kelele zisizo na msingi anafikiri bungeni hapa? Mazoea yana taabu sana, hawa wapinzani walizoea kupinga na kupiga kelele kila kukicha huko bungeni. Huku mtaani tutawashikisha adabu, bunge letu si la mchezo.