Uchaguzi 2020 Dar: Tundu Lissu akamatwa na Polisi, aachiwa bila masharti

Verification of Twitter accounts blackmailing Tanzania Was a Help from US Embassy.

Some anonymous accounts blackmailing Tanzanian government, have been verified and sponsored same day when US embassy joint latter with Germany embassy went viral on the internet revealing their support to opposition parties which later they claimed to be fake on their twitter account.

According to our source the request to verify those accounts were made by US embassy in Dar es Salaam one day before the election so that they can be used to support opposition propaganda without leaving a trace that they were involved.

“Ambassador asked us to list usernames of all twitter accounts including anonymous which criticize and blackmail the government which we listed and later on the same day all accounts that we listed were verified” our source said.

Despite of interfering election process all accounts listed started to post violent content, rape videos, dead bodies, and organize violence in various places in Tanzania including Zanzibar which in fact all contents they post have been originated from porn sites and violent videos from the internet.

US embassy and ambassador Donald J Wright have always been justifying posts from these twitter accounts to blackmail and make international community believe that Tanzania election was not free and fair which they actually haven’t provide any official reports to verify that as observers.

EAC reposts as one of observers from international community is saying that election was free and fair, other international communities are expected to do the same while waiting for official reports it is advised to ignore any unofficial information from social platforms including twitter.


Mabalozi wengi hapa nchi ni watu hatar kwa maendeleo yetu
 
Matako yako.
😁😁😁😁😁
Nimewaza yalivyo ya kwako, ya kwake, na ya kwangu.. halafu nikajiuliza kwanini yanakua tusi😂😂nikajikuta nacheka🤣🤣🤣🤣
 
Ok, keep everything in your volt if necessary.

I have important things to look after here in Dodoma.
 
Hizi ni porojo na propaganda dhaifu za maji taka!Dereva huwa anaingia kwenye vikao nyeti vya viongozi mpaka awe na taarifa nyeti za viongozi wake?Unaelewa kazi ya dereva wa viongozi?Unaelewa mipaka ya dereva wa viongozi?
chadema kwani wana uongozi tokea lini
 
Nchi imefika patamu sana !
 
CCM haijawahi kufanya chochote cha maana hata miradi yote mikubwa ina ufisadi, Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo kabsa ndiyo maana wapinzani hupinga vyote vya CCM kwani vimejaa magumashi kibao, hakuna watanzania wameichagua CCM acha uzushi kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
 
Serikali ya Magufuli ina behave kama vile haijashinda!

Mabavu ya nini kama kweli wameshinda kihalali na hiyo mandate ya zaidi ya asilimia 80??
Wamemkamata kisha kumwachia huru. Hii ni baada ya kubaini wame-mbip Amsterdam
Yaani wana bipu halafu wanafunga simu! Watajabiwa tu kwasababu hiyo ni 'alert'

Kitendo hicho ni kumpa Amsterdam platform na sasa wasubiri mvua ya 'aibu'

Wanahangaika, nafsi zinawasuta, umma umesusa, chuki imetamalaki! wanajisikia upweke na ukiwa
Kadri wanavyojitahidi ndivyo wanavyozidi kujichafua.

Mambosasa anapiga ramli ambazo mbele ya mahakama hazisimami hata kama ni mahakama ya CCM.
Mtu hashtakiwi kwa kudhani, lazima uwepo ushahidi. RPC angesindikiza maandamano na wale wanaojaribu kufanya vurugu ndio ungekuwa ushahidi. Sasa hivi hana ushahidi ana hisia na dhania tu
 
Maandamano ya Amani yana fujo zipi?
Awamu ya 5 haijawahi kuruhusu maandamano au mikusanyiko ya upinzani. Hivyo ni lazima kungekuwa na kuumizana hasa toka upande wenye nguvu na maelekezo. Vifo vingi tungevisikia au kuvuona. Hivyo ukishamfahamu unayegombana naye basi ni bora uchague fungu la kukaa kimya.
 
1.Maandamano si uchochezi we junya!

Maandamano ni sehemu ya civil liberties na ndo maana yanaruhusiwa kikatiba.
Nimecheka sana. Hivi inakuwaje mnayajadili mambo msiyo jua hakika yake ? Mjinga kama wewe huwa tunakupa udhuru na amani, na kukupuiza pia, haturudishii neno baya zaidi ya kukusimamishia hoja.

Bado unamili katila udhaifu wa ukomo wa akili. Jambo kuruhusiwa na katiba haimaanishi ya kuwa jambo hilo ni zuri ndiyo katiba huvunjwa kwa kuangalia maslahi.

Tukija kuangalia dhati ya maandamo yenyewe ni kupinga jambo fulani ambalo lipo dhidi ya dola, huu ni uchochezi kwa maana na kwa dhati.

Naendelea kukumbusha ya kuwa jifunze kuweka maneno mahala pake.
2. Kwa nini amekamatwa? Kakamatwa kwa sababu ya upumbavu wa serikali na kutokujiamini kwa Magufuli. Na kwa taarifa yako, keshaachiwa bila masharti yoyote yale. Ushahidi kwamba hawakuwa na sababu yoyote ile ya msingi, to begin with!
Kukamatwa jambo moja na kuachiwa ni jambo lingine, kama alovyokamatwa kwa sababu bila shaka ameachiwa kwa sababu, na hii si hoja.
3.Okay, basi tu substitute pumba na matapishi! Unatapika matapishi tu hapa.
Naona unaendelea kukosea kama ulivyo anza kukosea hapo awali. Hakuna matapishi niliyo tapika zaidi ya kujenga hoja.

Jifunze kuweka kila kitu mahala pake.
4. 🖕🏿
Una tabia kama za mke wangu wa tatu. Mmetofautiana jinsia tu.

Mbwa hubweka sana, ila tangu lini umewahi kuona Simba akajibizana na Mbwa ?

Nipo....
 
Hizi ni hisia zako!!! Umepata habari za dereva wa viongozi hao aliyelinusuru taifa kwa kuonyesha upendo wa hali ya juu kwa watanzania wenzake!? Ama bado!?
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana.
 
We wazazi wako bora wangepiga blow job tu, wangesaidia taifa kuondoa huu ujinga
 
Kwani CCM wameshinda uchaguzi? Uchaguzi upi? Wapi?
Tumeshinda kwa kishindo 80% na ushee ila hakuna mwananchi anashangilia ushindi hata kuuuongelea. Utafikiri ni msiba wa Nyerere ndiyo ulitia simanzi sana Taifa. Yaani sielewi kabisa ni kwa nini hatushangiliwi.
 
Listen, Lissu na wapinzania had a chance to tell watanzania what they will do once chosen as leaders of this country. We heard them loudly and they had nothing new to tell us. We chose not to elect them, is that wrong? We have spoken, we want Magufuli and other elected officials to lead us for the next 5 years to come.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…