Uchaguzi 2020 Dar: Tundu Lissu akamatwa na Polisi, aachiwa bila masharti

Uchaguzi 2020 Dar: Tundu Lissu akamatwa na Polisi, aachiwa bila masharti

JPM Mara kampeni, Barrick wamelipa 100m, $, nyingine watalipa kwa awamu in some years , UDSM 5m ,elimu madini, barabara.......plus 16% share ( Jua awali tulikiwa na 15 haohao ccm wakaziuza ) hiyo toka 300$ pekee, hakuongelea zile trillion 490 !! Wala ajia zaidi 2000 Watanzania wamepoteza saga makinikia, viwanda ,biashara,....hiyo $300M, ni kama pato la mwezi pekee migodi ikiwa ktk fully operation.Tumepoteza Barrick, pia tumepoteza imani wawekezaji wakubwa wapya!! Watanzania wwnzetu walipoteza ajira na maisha wategemezi.....hasara ni zaidi ya faida alizodai!!!
Mikataba mipya ya madini ni siri zake mwenyewe hakuna anayejua kitu
 
Taarifa za hivi punde ni kuwa Vyombo vya Dola jijini Dar vinamshikilia Ndg. Tundu A. Lissu.

Lissu amekamatwa muda mchache uliopita jijini Dar akiwa ameenda Ubalozi wa Ujerumani (amekamatiwa mbele Jengo la Umoja House)...
I wish ningekuwa polisi alitakiwa kulazwa central pimbi mkubwa
 
mnashangilia udikteta si punde hata huu mtandao tutafungiwa ushabiki ni mbaya sana. Sasa wakiona wananchi hawathamini kura zao ndiyo watafanya kila kitu bila lufuata sheria au misingi yeyote.
Niseme mbowe ,sio gaidi ,najua tz vyombo vyetu mko vizur ila mbowe sio sawa ,ili twennde sawa nami sitetei, hualifu basi tz nzima tupige kura na tujue wananchi wamtambua Kama nani.

FREE MR MBOWE POLISI akuna apendae ujinga, FREE MR MBOWE hakuna, ugaig hapa, mungu anasema mwapingana nae kwa misimo yake ya kisiasa ,so mkiendelea mh Mombasa itapigwa mapigo saba, mhuachie Mara moja mh mbowe ,sio mie asema aloe kupa pumzi na mwili mpaka cheo ,mpaka watoto wake ,mungu anasema anauvumilivu juu yako.

Mhuachie mh mbowe na sio ujumbe wangu ,Asante mkuu, hakuna ugaidi hapa na mungu anasema ,Kama kweli mbowe gaidi naomba mniite popote nipigwe risasasi 47 na dunia ikishudia niko tiyari maana najua dunia sio yetu tutakufa wote na haijalishi we nani
Mwisho.

Mh mbowe sio gaidi ,sio gaidi na muachieni na watu wake ,na imekua
 
Taarifa za hivi punde ni kuwa Vyombo vya Dola jijini Dar vinamshikilia Ndg. Tundu A. Lissu.

Lissu amekamatwa muda mchache uliopita jijini Dar akiwa ameenda Ubalozi wa Ujerumani (amekamatiwa mbele Jengo la Umoja House)..
Kwa hiyo mamlaka zilitaka kutekeleza lile ono la Doto James binam wa Magu kumchoma sindano ya Sumu?
Mwisho wa ubaya ni aibu.

Tanzania iliyotumbukizwa kwenye giza totoro la udikteta itapambazuka tena na ushindi utakuwa wa raha kuliko ile iliyokuwepo mwaka 1961 tulipijikomboa kwa wakoloni weupe.
 
Mawazo ya upinzani yakijinga sana. Kwahiyo umewa mpaka mwisho hapo.
Ngoja ashughulikiwe na police then ndio atajua kuwa ilikuwa haki yake kupeleka malalamiko tume au mahakamani na sio maandamano
Vip kiongozi

Ameshashughulikiwa?

Kama bado nenda kakate rufaa
 
Sasa huyo ndio starling gani juzi tu alidai yeye sio muoga ataongoza maandamano baada ya kuona makashi kashi anatafuta pa kukimbilia.

Binafsi kilichonifurahisha kabla ya kukamatwa na kuachiwa ni kitendo cha kunyimwa hifadhi kwenye balozi kadhaa alizokimbilia hadi kukutwa nje ya Germany baada ya lisaa la kubembeleza, that is according to beberu lake linalomtetea.

The honeymoon period is over its time to obey the law. Not surprised nilihisi tu baada ya uchaguzi atochekewa akivunja sheria kama ilivyokuwa kwenye campaign.

The message is clear ‘spewing poison’ in society is no longer tolerated.
 
Na kwa sababu walikwisha sema watampiga sindano ya sumu,huu sasa utakuwa ni wakati mwafaka kwao.
Ila wakumbuke,jaribio lolote la kumuua litasababisha mauaji makubwa sana katika nchi hii,na Jiwe atafanyiwa alichofanyiwa rais wa Irak hayati Sadam Husein
Mr president magufuli is highly protected.
 
Inawezekana.

Lakini usidharau kabisa mfumo wa usalama wa Tanzania kwa sasa una uwezo mkubwa wa kunasa kila kitu ndani na nje ya mipaka.

Polisi wanafuata maagizo ya intelligence na mashine nzima ya ulinzi na usalama ili Tanzania iwe salama..
Mtwara nafikiri iko Msumbiji.
 
Uanzishe maandamano then ukimbilie ubalozini kweli ni sawa?, Sasa wewe mwananchi andamana then tuone kama utakimbilia kwa balozi wako wa nyumba kumi.
Au unadhani utakimbilia UK Au Germany?

ACHANA NA MAANDAMANO, WATANZANIA TUMESHA AMUA.
Usiseme watz
Sema wewe umeshaamua kubakwa na kila aliyesimamisha
 
Wakati tunaibiwa makinikia chama gani kilikuwa madarakani?
Nifahamishe niweke kumbukumbu zangu vizuri
Hilo la kufikiria CCM ya wakati ule ndio ya sasa ndilo limewafelisha wapinzani. Wenzenu walishadilika mudaaa nyie mko kulekule😁😁😁

 
Akiendelea kuwakamata ndo ataharibu zaidi..
Mtu umeiba kura alafu unajifanya mbabe.
Ubabe hausaidii kitu.
Kuna maisha baada ya kustaafu .utaishi vipi na watu.
Nani kakwambia magufuli ana mpango wa kustaafu ?
Labda astaafishwe kinguvu
 
Wewe ni dictator Nani auliwe maana hata wewe ni mubishi Sana kwa hyo uuliwe.?
Kama haki yangu kuuliwa niuliwe tu, ila ujinga ni jambo baya sana, hata mjinga mwenyewe hapendi kuitwa mjinga.

Sijawahi kuwa dikteta.
 
Back
Top Bottom