DAR: Vijana watano wamepotea katika mazingira ya kutatanisha

Kwa njaa waliyonayo wanaotumikishwa kama hawa vijana walikuwa na hela basi ya ABDALLAH ZOMBE kujirudia
 
We jamaa una akili km mtoto , kwahiyo sgr inamsaidia nan ? ndo naamin kwann viongoz wa kiafrika hawana huruma na raia , unaeza jitoa sn kumbe kuna lipumbav lilikuwa na cheti feki linapinga maendeleo , nyumb mkubw
 
Liko na shetan linakung'utwa kweli kweli kwenye tanuru likijambajamba kea maumivu makali. Uzuri halitarudi tena kuteka, kuiba na kufisidi mali za imma na hilo li SRG halitafanikiwa kwasabab ya dhulma ya nafsi na hela za watu.

NYAMBAFF
Nahis ww ni mmoja kati ya wale vyeti feki , na nyinyi ndo mlikuwa mnabania ajira kwa vijana wenye elimu kuwazid mkihisi watachukua vyeo vyenu , hata umtungie JPM stori za uongo , JPM hajaacha mali yyte yenye thamani kufikia hizo ela unasema aliiba , wezi unawajua ila chuki inakufanya uwe mpumbav , Familia ya JPM inaishi maisha ya kawaida tu km watanzania wengine , JPM alipambania watz , mliokuwa mnakula kwa njia za rongo rongo ndo mnachukia
 
Wanakupiga para wewe!
 
Lijizi na lifisadi liliiba matrillion limekufa limeenda nakutuachia zigo la mavi la madeni tunamlipia.
Endelea kubeba box huko huko kwa mkoloni ukija town hapa kwa akili hizo utapigwa mashine! Huku tunaishi wanaume wa shoka tu.
 
Ukiambiwa utoe ushahidi unao? Unaweza prove hilo?
 
Hili swala ni la kiserikali zaidi.. mara ya mwisho inasemekana walipiga simu kwa ndugu zao kwamba wamekamatwa na wanaelekea polisi post fulani.. baada ya hapo hawakujulikana wapo wap?
Imeisha hio, mkataa pema pabaya panamuita
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…