DAR: Vijana watano wamepotea katika mazingira ya kutatanisha

DAR: Vijana watano wamepotea katika mazingira ya kutatanisha

Njoo sasa bongo hapa kwa wasiojielewa ukijua kingereza na kuokteza mambo wanakuamini

Mfano mange kimambi na fatuma karume kwa kile kingerza chao wanaonekana watu wa maana na vijana wa ovyo wanawaamini asilimia 100 yaani sijui kwa nn
Kumbe English ni lugha kama lugha zingine.
Kuendelea kuitukuza lugha ya English ukiwa inchi ambazo sio English country ni upuuzi mtupu..
 
Tofautisha ishu za Kisiasa, kijamii na kiuchumi.

Kama unaelimu huwezi shindwa kutofautisha visa kulingana na nyanda hizo tatu.

Mtu anaweza kupotea Kwa sababu za Kisiasa, kijamii au kiuchumi kulingana na nafasi na hadhi yake katika jamii yake.
Kwa hiyo hili tukio unatofautisha vipi?

Mnaona aibu hata baada ya Magufuli kufariki mambo yale bado yapo!
Sasa hivi mmebaki mnajamba tu!

Hivi hamkujua hata kipindi kile kama ni kazi ya system?
 
Mawazo ya kishetani kutoka kwa shetani,umeshawahukumu kuwa hawa ni wauza unga je una ushahidi?Ben Saanane amepotea je unajua hili au kwa sababu sio ndugu yako?yaani nchi imeshakua ya watu makatili na roho mbaya kuliko za kikaburu.poleni wanafamilia mliuguswa na kupotelewa kwa ndugu zenu.
Kwani Magufuli bado yupo?
 
Kwenda shule au kuzaliwa mswahili?
Huyu hujui kuna wasomi wengi dinian hawa jui kuongea kingereza? Na ana takiwa kujua kila nchi ana lugha yake kwenye kuwasiliana na kufundishia mashuleni yeye ana fikiri kila nchi dunia kwenyeElimu na makazini Wana tumia kiingereza mfano Russia, Korea, France nchi nilizo zitaja zina tumia lugha zake kila sekta mfano Elimu, serikali na sekta binafsi na vifaa vyote vya Electronic
 
Huyu huyu baada ya kujua kidhungu anaanza kudanganya wenzie wasome kiswahil mpaka chuo kikuu

Ndo maana mim siku za sikukuu huwa nashinda nimelala home
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu umechanganya madesa yule sio kaka yao...yule ni mtangazaj wa clouds anaitwa mbarouk khan. Na yeye alikua anashare tu kisa chake cha kufanana na hvo,jinsi kakake ilivomtokea.
Ahaaa ahsante
 
Back
Top Bottom