ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
Yah acha tuwaachie wenye kazi zao bana mkuu..Sura tu ukiwangalia wamekaa kidealdeal tu
Ila tumezee tu Acha tuache mamlaka wafanye kazi yao
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah acha tuwaachie wenye kazi zao bana mkuu..Sura tu ukiwangalia wamekaa kidealdeal tu
Ila tumezee tu Acha tuache mamlaka wafanye kazi yao
Ova
Sasa kama police wanakamata watu halafu hawaonekani hii maana yake nini?
Hoja ya ndugu ni kuwa hao watu hata Kama ni majambazi basi wawaone gerezani, hao hawaonekani popote.
Kama Kuna Jambo jingine kubwa wamefanya walipaswa kupandishwa mahakamani
Yaleyale ya mbweni na tazara wale mashahidi wa kwa mbowe waulizwe.Some relatives said they received the last communication from the young men that they had been arrested by the police but their whereabouts remains a mystery.
Policeccm wanatakiwa wawafungulie mashtaka na kuwapeleka mahakamaniHawa vijana wa kariakoo mitaa ya agrey wanajifanya kuuza simu wengi wao sio wa kuwaamini hata kidogo
Policeccm wanatakiwa wawafungulie mashtaka na kuwapeleka mahakamani
Sawa mkuu, umewahi kusikia kesi ya zombie na wenzakeKwenye hili tukio nimejifunza kitu kikubwa sana na kuanzia leo ntaanza kuviheshimu vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi yetu..
Kazi wanayofanya ni ngum sana aisee..
Kwenye hizo sura zilizowekwa za hao vijana kijana mmoja sura yake sio ngeni sana kwangu..
Sidhani kua namfananisha..
Jamni tuacheni vyombo vya ulinzi na uslama vifanye kazi zao
Kwamba wamewatoa roho?familia za police na vizazi vyao huwa vimejaa laanaKwa aina ya hao watu.....ni wazi hawatorudi!
Hii kitu nimewasikia kabisa
Kuna mtu atakuja kusema mwendazake kahusika
Mkuu mimi siongezi neno ila zingekua zile debate za shule ningekaa nyuma yako na support your motionKama hawa hawajakamatwa na unga na wapo sehemu subiri tu muone.
Hawa kuna chain inatafutwa. Mulito atakuja kusema. Na kama mmoja kalishwa chuma. Ni mapema sana chombo husika kueleza. Zaidi ni wote waliobaki wale vyuma. Hamna mtu tanzania anaweza kupoteza watu wasijulikane walipo zaidi ya system. Subirini mtakuja kuniambia hapa. Hawa ni wauza unga na wamekamatwa.
Shughuli gani mkuu tunatamani kujua japo kidogo.Umo umo mkuu,
Hata sikusoma hiyo habri hiyo sura nilitambua t ..
Shughuli zake tatanishi sana ..
Hawa wapo sehemu salama tu wanaendelea kuvisaidia vyombo husika
Dah mkuu mtu wa vitu vingi vingi sana..Shughuli gani mkuu tunatamani kujua japo kidogo.