Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je walipatikana?
Walikamatwa na polisi au kusoma hujui
Watanzania uwa hatutaki kujua mwisho wa mambo hata waandishi wa habari uwa hawafuatilii baada ya kutokea habari mpya.Je walipatikana?
Tupo nao tunasaka pesa. Wapo i mtaani wanadunda. Waliibia mzigo watu wasiotaka masikhara.Mpaka leo
Eti mkuu!Siku hizi raia kupotezwa imekuwa kawaida. Hakuna anayejali. Kama watu wamematwa Kuna shida gani polisi kusema?. Kama walikuwa Ni wahalifu so wafikishee mahakamani kuliko kuwaweka muda wote huo.
Kumbe washarudi mtaani tetesi zinasema waliiba nnTupo nao tunasaka pesa. Wapo i mtaani wanadunda. Waliibia mzigo watu wasiotaka masikhara.
Some relatives said they received the last communication from the young men that they had been arrested by the police but their whereabouts remains a mystery.
Leo ni tarehe 19/11/2024 na bado hawajulikani walipoAiseee toka mwaka jana Dec 26 duuuh sijui kama watapatikana.
kabisaKuna siku Watanzania watajuta kwa aina ya Taifa la upumbavu wanalolilea na itakuwa ni too late.
hakuna amani, ni vile yakitokea kwa jirani yako rahisi kuona nchi ina amani. Unaweza kuta gari linatumika huko mikoani ndani ndani na usajili mpya.Na gari je haikupatikana? Unajua Tanzania tunasema ni kisiwa cha amani ila kuna mambo yanaendelea kimya kimya and no body cares labda mpaka ya kukute ndo unaanza lia lia
dah inasikitisha sanaRafiki wa dada yangu mume wake alipotea mwaka jana kama mwezi wa tisa hivi, na yeye pia alikua na wenzake sijui wawili au watatu sikumbuki vizuri ila walikua wanasafiri kuelekea tanga na gari private, Mara ya mwisho mawasiliano yao ilikua wakiwa tegeta baada ya hapo ndio kimyaaa, hadi leo wametafutwa kweli lakini hamna majibu, yule sister keshalia hadi amenyamaza amemuachia Mungu tu.. za kijiweni sasa kule mtaani wanasema eti yule kaka na wenzie ni Wezi wakubwa wa magari kwaiyo wale wamewekwa sehemu undeground sijui wapi hadi chain yote ishikwe..
Ukikamatwa siku hizi hata vituoni huonekani upo kituo gani