DAR: Vijana watano wamepotea katika mazingira ya kutatanisha

DAR: Vijana watano wamepotea katika mazingira ya kutatanisha

Siku hizi raia kupotezwa imekuwa kawaida. Hakuna anayejali. Kama watu wamematwa Kuna shida gani polisi kusema?. Kama walikuwa Ni wahalifu so wafikishee mahakamani kuliko kuwaweka muda wote huo.
Eti mkuu!

Alafu walisema awamu ya 5 ndiyo ilikuwa inapoteza watu. Sasa hii nayo ni awamu ya 5?

Watz wakishiba mbaazi/dengu.... vidole vyetu vyote puani siku nzima.
 
Na gari je haikupatikana? Unajua Tanzania tunasema ni kisiwa cha amani ila kuna mambo yanaendelea kimya kimya and no body cares labda mpaka ya kukute ndo unaanza lia lia
hakuna amani, ni vile yakitokea kwa jirani yako rahisi kuona nchi ina amani. Unaweza kuta gari linatumika huko mikoani ndani ndani na usajili mpya.
 
Rafiki wa dada yangu mume wake alipotea mwaka jana kama mwezi wa tisa hivi, na yeye pia alikua na wenzake sijui wawili au watatu sikumbuki vizuri ila walikua wanasafiri kuelekea tanga na gari private, Mara ya mwisho mawasiliano yao ilikua wakiwa tegeta baada ya hapo ndio kimyaaa, hadi leo wametafutwa kweli lakini hamna majibu, yule sister keshalia hadi amenyamaza amemuachia Mungu tu.. za kijiweni sasa kule mtaani wanasema eti yule kaka na wenzie ni Wezi wakubwa wa magari kwaiyo wale wamewekwa sehemu undeground sijui wapi hadi chain yote ishikwe..
dah inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom