Dar: Vurugu zatokea kwenye Kikao cha Baraza la Madiwani Jijini Dar cha kuamua hatma ya Meya wa Dar, Isaya Mwita

Kuna siku watamuua yule kinara wao yeye ataoza kaburini wewe utabaki unaomboleza. RIP Babu yangu Mwamwindi
Ndio ccm itakuwa imeondoka madarakani?

Siyo kwamba ccm inapendwa hapana! Ni kwamba mbadala wake haupo.

Kiufupi ccm inaendelea kuwepo madarakani sababu ya udhaifu wa wapinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachekelea upumbavu au upumbavu ndo unakuchekesha?
 
Boni kamchimba biti yule Auxiliary Police kuwa "Mimi nimeshejipanga kwa lolote, nitakuonyesha mfano wa Dunia...Mnatetea wizi hapa...! Njagu alipoona mwanaume hana mzaha hata chembe akaona isiwe kesi....mdogo mdogo akajiondokea [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hasira za watu bado zipo mioyoni....taratibu zinaanza kutoka na kuwa za wazi. Gap la upendo linaanza kupotea na uadui unashamiri. Tunakoelekea sioni mwanga. Lazima Rais atafute muafaka wa kitaifa. Mbinu za jinsi hii haziwezi kutuunganisha. Mwisho wa siku Tanzania ni moja, vyama vitapita vitakufa lakini Tanzania haitakufa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikuamini nilipo sikia sauti ya mkurugenzi eti bila ya aibu anaitisha hiyo attendance register eti amfute huyo diwani waliyo mtumia kufoji

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mama Spora Liana ni mama niliyekuwa namheshimu kupita maelezo. Kwanza ni MLOKOLE lakini pia ni mama asiye na kona kona. Leo amenifanya niuone hata UKOKOLE wenyewe hauna maana kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajiita UCD si useme tu unajipendekeza upate UDC? Endelea kujitahidi ili UCD ugeuke kuwa UDC!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
anaitwa Jaffo
 
Hii inAniacha hoi sanaaa
Japo its sadness in it!!
Hasahasa huyo jamaa anayekuja na tofari


Sijui km alipona huyo jamaaa
Huyo kamanda Aliwapiga wote hao , unajua wabunge wengi wa ccm wanaumwa Bp na visukari hawana uwezo wa kukimbia hata dk 5 tu !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…