Dar: Vurugu zatokea kwenye Kikao cha Baraza la Madiwani Jijini Dar cha kuamua hatma ya Meya wa Dar, Isaya Mwita

Rais wa wanyonge bado yupo chato? Au yupo ziara kwenye hifadhi za taifa? Nauliza tena vetting ilifanyika kumpata rais wa Tanzania?
Ccm inadhalilisha sana nchi hii,yaani wao vyeo na wizi wa mali za umma ndo priority,nasikitika na kuumia sana kuongozwa na ccm
 
Tume imeundwa na Mkuu wa mkoa - rule aagainst bias
 
Dawa ya maccm ni kuyatukana... nayachukia maccm nina hasira na maccm ndio maana yana matumbo makubwaaa utadhani sewers
 
ccm ya Magufuli mbende mbende imechoka kabisa wanatumia mbinu za kishambaaaa!!!
 
Ndio ccm itakuwa imeondoka madarakani?

Siyo kwamba ccm inapendwa hapana! Ni kwamba mbadala wake haupo.

Kiufupi ccm inaendelea kuwepo madarakani sababu ya udhaifu wa wapinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkoloni naye alikuwa na mawazo kama yako. Aliamini hakuna mbadala wa yeye kutawala hii nchi. Aliona Nyerere na TANU yake kama waganga njaa tu
 
Haya maagizo ni yapi..Dar ina matatizo mengi sana watu wanaishi kwenye hali duni vikao hivi vinatakiwa kuja na majibu sio kupigana...
 
Wapo wenye uwezo wa kuandika miandiko mitatu mpaka minne tofauti kwa ufasaha kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Pitia vitabu vya Forensic Handwriting Analysis; utagundua kuwa mtu yeyote akibadili mwandiko, atajulikana tu. Kuna features ambazo huwa ni vigumu kubadili. Ingawa mimi siyo mtaalamu wa nyanja hiyo, kujisomea kunanisaidia kujua mzchache ya kuanza kuangalia katika kupambanaua miandiko.
 


Ndugu zangu wapendwa, yote haya yana mwisho. Tuombe Mungu atusaidie mwisho wake uwe mzuri na sio mbaya.
Maana wahenga husema "hakuna marefu yasiyo na ncha".
Mungu ibariki Tanzania. Amen
 
Aliyeunda tume anavyeti feki , pa aligushi jina make jina lake Bashite. Kwenye kikao wamegushi. Hivi unategemea timu kama hiyo iletee watanzania maendeleo?? Ndiyomaana wanagushi hata takwimu za maendeleo. Kila kitu ni mwendo wa kugushi.
 
Magufuli anasema sheria na utaratibu mwingine tuliojiwekea kama taifa unamchelewesha You cant imagine kama huyu mtu yuko hivi na ana elimu ya kiwango cha PhD sasa asinge soma angekuwaje?
Ndugu mbona unatoka nje ya mada na unaanza kuzungumzia watu binafsi?
 
Ndugu mbona unatoka nje ya mada na unaanza kuzungumzia watu binafsi?
Mkuu si tunazungumzia meya wa Dar kutoka kuondolewa kinyume cha taratibu? Sasa huyu niliyemtaja si ndo mwenyekiti wa hao wavunja sheria?
 
AIBUUU SANAAAA HAWA WOTEE WANAKUFAGAAA NA CANCER PALEE OCEAN ROAD MWISHO WA SIKU NA MIFUPAYAOO INANUKA WAKIWA HAII
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…