Dar: Vurugu zatokea kwenye Kikao cha Baraza la Madiwani Jijini Dar cha kuamua hatma ya Meya wa Dar, Isaya Mwita

Dar: Vurugu zatokea kwenye Kikao cha Baraza la Madiwani Jijini Dar cha kuamua hatma ya Meya wa Dar, Isaya Mwita

1578568034095.png



Diwani wa kata ya Tabata chadema Mh. Patrick Asenga akiwa amekamatwa na polisi muda huu hapa karimjee akiwa kwenye harakati za kupinga uamuzi haramu wa kumvua Umeya wa jiji la Dar es salaam Mh. Isaya Mwita, hali sio nzuri watu wamechoka kuonewa.
 
Umeshindwa nini kuweka hivi sasaView attachment 1317013

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku yataisha. Siku ambayo hakuna anae ijua.
Hata Wana wa Israel hawakujua kuna siku wange toka utumwani Misri. Herode mwenyewe hakuamini inge kaa ije hiyo siku. Lakini Mungu asie lala wala kusinzia wakati wa Bwana ulipo fika ali tenda na wana wa Israel wakawa huru.
Sikuamini kama huyu mama Sipora ange weza simamia huu uchafu. Alifanya kazi nzuri sana Arusha kumbe nae amekuwa shetani??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom