Dar: Vurugu zatokea kwenye Kikao cha Baraza la Madiwani Jijini Dar cha kuamua hatma ya Meya wa Dar, Isaya Mwita

Dar: Vurugu zatokea kwenye Kikao cha Baraza la Madiwani Jijini Dar cha kuamua hatma ya Meya wa Dar, Isaya Mwita

Halafu unamkuta mtu anashangilia hata huu upuuzi,sijui watanzania tumerogwa! Mkuu wa mkoa badala ya kutumia hizo nguvu kutatua kero za wana Dar Es Salaam,yeye yuko busy kuhakikisha Dar iko chini ya CCM! Sijui hata hawajui kuwa na viongozi wengi toka chama tawala ni kumuumiza kichwa Mh Raisi? Maana kazi zote anafanya yeye huku kina RC wa Dar wako busy kushughulika na CHADEMA!
Upuuzi kabisa.
Ukiona hivo huwenda Marwa aliweka kauzibe ili jamaa waspge pesa,chezea tz
 
Kwanini wasisubiri wakagombea huo umeya muda wao ukifika?!
Bilioni 5 kitu gani, mbona ccm wana mapesa mengi tu wanaharibu hovyo, huo u meya utawasaidia nini kwa kuzushiana majungu.
 
Nawahukuru Sana hawa Maaskari kwa Kutii kuacha kuninyang'anya Daftari la Mauzulio ambalo CCM waliweka Jina na sahihi ya Mjumbe ambaye yupo Nje ya Nchi. (Wamefoji Mahudhurio)

Nilishafikia Uamuzi wa Kumkamata Askari mmoja Nimng'ang'anie Koo ikibidi nife naye kupinga Uonevu,Dhuluma na Ukandamizaji,Muda Sijui tungekuwa wapi Wote?

Inatia hasira Sana Pale unapoona Kuna Watu wanajiona Wao wanahaki ya kufanya jinai,Kufoji na Uharamia wa kila aina,Mbaya zaidi kwa Kutumia Vyombo vya Dola.

Kilichotolea baada ya Hapa ni Kwamba CCM wakosa 2/3 ya Baraza ambayo ni Kura 17 za kumuondoa Meya madarakani,Wamepiga Kura Zao 16 tuh
FB_IMG_1578579384517.jpg
 
Nawahukuru Sana hawa Maaskari kwa Kutii kuacha kuninyang'anya Daftari la Mauzulio ambalo CCM waliweka Jina na sahihi ya Mjumbe ambaye yupo Nje ya Nchi. (Wamefoji Mahudhurio)

Nilishafikia Uamuzi wa Kumkamata Askari mmoja Nimng'ang'anie Koo ikibidi nife naye kupinga Uonevu,Dhuluma na Ukandamizaji,Muda Sijui tungekuwa wapi Wote?

Inatia hasira Sana Pale unapoona Kuna Watu wanajiona Wao wanahaki ya kufanya jinai,Kufoji na Uharamia wa kila aina,Mbaya zaidi kwa Kutumia Vyombo vya Dola.

Kilichotolea baada ya Hapa ni Kwamba CCM wakosa 2/3 ya Baraza ambayo ni Kura 17 za kumuondoa Meya madarakani,Wamepiga Kura Zao 16 tuh
Safii SANA kamanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jacob asimamie haki ila awe anaangalia mitego,maana nina uhakika kuelekea 2020 uchaguzi mkuu watamoangia mengi,huwa hawaishi kusigana nae na wameshatambua ni muumini wa weka ugoko niweke nondo!!

Jacob na wanasheria wengine wasiisgie hapo,wawafungulie mashitaka waliofoji,walau washike adabu japo tutaambiwa DPP hana haja ya kuendelea na hiyo kesi!!
 
Nimefurahishwa sana na njia aliyo onyesha Meya Jacob katika kikao cha Halmashauri ya Jiji la Dar kilicho kuwa kimepangwa ili "kumkomesha" Meya wa Jiji Isaya Mwita baada ya kukataa kuwa na bei ya kuunga mkono juhudi.

Akidi haikutimia kwa wajumbe wa CCM hivyo wakaamuwa kufoji jina la Diwani ambaye hayupo na kusaini.

Jacob akashtukia mchezo na kuchukua attendance register ili kuonyesha ulimwengu hila za CCM katika vikao halali unaofanywa na Mkurugenzi kushirikiana na madiwani na Wabunge wa CCM akiwemo na Mheshimiwa Zungu ambaye ni mwenyekiti wa Bunge asiyepaswa kabisa kushiriki tabia kama hizo.

Walipotaka kumdhibiti kwa kutumia polisi Boniphace alijipanga tayari kutembeza MKONO NA KUNG FU kiasi waka gwaya kumkabili.

Kinachoundwa ni kuhakikisha Meya anakuwa wa CCM kwa gharama yeyote na bila aibu.

Mtindo aliotumia Boniphace ni wakuiga maana CCM hawana aibu hivyo kuna wakati ikibidi kuwapa kichapo ni sawa tu.

Ama kweli 2020 ni #NoHateNoFear
 
Back
Top Bottom