Dar: Vurugu zatokea kwenye Kikao cha Baraza la Madiwani Jijini Dar cha kuamua hatma ya Meya wa Dar, Isaya Mwita

Jitu la ovyo sana.Umekua ka zombie wanaonyoka ni ndugu zako kijijini
 
Lengo lao kupata akidi ya kumng'oa Meya halali Isaya Mwita
Kwanini ushindane na ukuta wakati mlango upo? vitu vingine vinatia aibu sana kwa kweli kama lengo ni kumuondoa huyu bwana katika nafasi ya meya wa jiji kwanini wasisubiri oktoba ya mwaka huu ambao ni mwaka wa uchaguzi wakamalizana nae taratibuu kuliko hivi sasa kila mtu anashangazwa na nguvu hii inayotumika.
 
Kumbe Jacob naye mwanasheria!
 
Mbaya sana mnapiga kelele watu wanawaangalia tu!
 
Mbona wewe hujaamuka?
Washamba na limbukeni utawatambua tu kwa matendo yao na maneno yao. Mmojawapo ni huyu UCD...kweli kaniki ni kaniki tu hata ikifuliwa kwa OMO ndoo nzima! Kiwe Kiswahili, King'eng'e au lugha zao za asili, utawatambua tu kwa jinsi watakavyoiharibu, eti hujaamuka! Yale yale ya fenti fodi, air hosteji...yaani ni balaa tupu! Subiri sasa wasukumiziwe madaraka yanayowazidi kimo,..!
 
Unahangaika na vitu vidogo vya typing error vitu vikubwa utaviweza?
 
Binafsi nilishaapa kwa Mwenyezi Mungu, anihukumu vile atapenda, nitaua na nitakula maini na mioyo ya MaCCM siku moja ni mda tu.
Nayachukia sana haya Mashetani ya kijani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…