Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Ndo ujue saccos imeshaparaganyika.Ni mbwa kabisa,
Hayo mapungufu ya chama,huwa yanasemwa mtu akishafukuzwa chamani,tumeyazoea,
Chama kitabaki na nguvu tu,aliondoka,Warid kabulu,aksondoka Slaa,aksondoka Zito,sembuse Hawa wadangaji
Mbona hakuna geni hapo? maana tulishayasikia kutoka kwa waunga juhudi wengi so hilo lisikupe shida...ni habari ya muda tu!...ALERT
[emoji117] CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa
- Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
- Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
- Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
- Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
- Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
- Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
- Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA
Naona umekopi na kupaste toka kwa baba yako Kigogo kule twita! Hahahah..ALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa
- Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
- Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
- Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
- Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
- Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
- Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
- Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA
Aishi sanaa kigogo...👏
Majinga hayo!
Zimebaki porojo case closed.Mnajua mlichokifanya na hayo na majibu Yake, mtafaruku viti maalum ulitokea baada ya kila kigogo wakiongozwa na Mbowe kuleta mahawara ndo maana mkachelewa kupeleka majina. Mnyika alivyopeleka majina Mbowe akayakataa Sasa mnajihami maana mnajua ambacho Halima atasema mnaamua kusingizia CCM.
Nyumbu hovyo kabisa.
Yaani uwe mpango wa Mungu kwa hayo yanayoendelea kwenye saccos? Basi watakuwa Miungu siyo Mungu!Chadema ni mpango wa Mungu
Hayo aliyoandika amekopi kutoka kwa Kigogo huko twita!Kwani Kigogo anasemaje....maana habari za uhakika duniani kote zinatoka kwa huyu mwamba
Baraka zinatolewa kwa mdomo,umeitwa hukuja utalalamikaje kama hukusikilizwa?Walitakiwa wayatoe hao yote kablaALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa
- Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
- Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
- Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
- Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
- Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
- Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
- Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA
Siyo rahisi kujua kila kitu maana yule ni mwanamke na wanawake wengi hawanaga uwezo wa kukaa na jambo moyoniYatafichuka maovu mengi sana ya chadema mauaji na mipango yote ya hila manake mdee aliaminika sana ni wazi pia alishirikishwa mengi
Mme kuwa Chadema miaka mingi tu, mmetamani kuiongoza Nchi yote ilihal hamuwezi kuwa manage dada zetu waelewa 19 tu! Je ni lazima kila ugomvi wenu mihusishe CCM?! Huwezi kuihusisha CCM wewe ukabaki salama, kilini madhaifu yenu kwanza.ALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa
- Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
- Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
- Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
- Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
- Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
- Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
- Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA
Mtasubiri sana, CCM tunajua umoja ni ushindi na tuanishi dhana hii!sasa hivi tulitegemea msuguano ndani ya ccm lakn hali imebadilika ghaflaa😐😐😂
Ni kweli ilipofikia CDM hata CCM hakuamini. CCM 2020 inatembea na Kura zilizopigwa kwenye mabegi? Hawaamini tena kama wanaweza kushinda kihalali.! Ni wazi hata vijijini CDM imshapenya. Halima umefanya kazi kubwa lakini umeshindwa kuvumilia. Nenda.Press hata Slaa na washenzi wengine wote wa aina yao walikwishafanya, So Wafanye tu
Hauna imani nao wewe na nani? mmeo?Hatuna imani nao tena watapotéza tu muda wao.