Motowntzjpm
Senior Member
- Jun 16, 2023
- 134
- 203
Mkono wa kulia unaukana kushoto huwezi kujijengea sheli bila vibali, vibali wanatoa wao, akibadilishwa Waziri unasikia haya kwasababu anakuja na genge lakeHivi anayewapa kichwa wafanyabiashara wahuni ni nani?
Mafisadi wana UCHU SANA eti kodi, tangu lini fisadi hulipa kodi kwa usahihi?Ungetumia akili basi hata kidogo. Si kila jambo la kupinga au kushabikia. Vituo vya mafuta vinapaswa viwe maeneo yake pia kila jambo linapaswa kuwa katika mipango
Vibali wanapata kwa magumashi tena wakijua kabisa ni magumashiMkono wa kulia unaukana kushoto huwezi kujijengea sheli bila vibali, vibali wanatoa wao, akibadilishwa Waziri unasikia haya kwasababu anakuja na genge lake
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Halafu hili bwege linakuja tetea eti waachwe wajenge vituo vya mafuta popote wanapotaka....Mafisadi wana UCHU SANA eti kodi, tangu lini fisadi hilipa kodi kwa usahihi?
Kwanini wahonge 300m kama hawana hatia?
Kwanini wajenge kinyume ña taratibu?
Na tangu lini kodi imeijemga nchi?Halafu hili bwege linakuja tetea eti waachwe wajenge vituo vya mafuta popote wanapotaka....
Dk. Slaa wa chadema ambaye alienda kuchukua mpunga(rushwa) wake rwanda akiwa na lipumba baada ya kuisaliti ukawa?Waziri Jerry Slaa rudisha heshima ya Wamburu
Yule Slaa Dr mihogo aliharibu heshima iliyo asisiwa na Mburu Bw SARAWATI aliye simamia haki mpaka Julius Kambarage Nyerere alimbania uhuru wake
Jerry Slaa shikilia hapohapo!!!
Sokoinemdogo wewe Kwa Sasa
Mungu akulinde
Unatumia tarumbeta la mgongoni mwako kufikiria?Halafu hili bwege linakuja tetea eti waachwe wajenge vituo vya mafuta popote wanapotaka....
Kuna ka "ujinga" kanapita mitandaoni eti kuna watu walijaribu kumuhonga waziri Jerry Silaa. Takukuru wapo, na namba zao anazo, na huwa wanaweka mitego kunasa watoa rushwa.
Waziri ni kiongozi wa ngazi ya kitaifa, ana namba ya boss wa takukuru, kwa nini hakuweka mtego?
Walijadiliana halafu hazikutosha akaona awahi kuwalipua? Aliwaomba hizo hela wakasema hawana akaona awawahi?
Waziri analalamika, wanajimbo wake wafanyeje? Waziri yuko karibu na kila taasisi?
Huyu ataongoza vita ya rushwa wizara ya ardhi wakati hajui sehemu ya kuripoti rushwa?
Useless,aliomba akanyimwa, mawaziri vijana, acheni tamaa, Samia,kazi kwako.
Naona kaitisha umiliki wa ardhi wa vituo vya mafuta nchi nzima, maokoto yake sio mchezo, kamishna wa ardhi atakayepeleka maokoto mengi ndiye atadumu. Anadhani watampa hela za bure (rushwa) ili asivunje vituo vyao
Ajue tu, kodi ya mafuta ndio injini ya bajeti, na mafuta yameangusha wanasiasa wa mashariki ya kati, kabla hajaangusha serikali ya samia, ataanguka yeye. Kama kajipanganga kubomoa vituo vya mafuta nchi nzima, nchi nzima itambomoa yeye.
Una kvant ya ngapi mkuu?Ana haki Kwa mujibu wa sheria?,mamlaka?sababu stahiki ?..
Unatumia tarumbeta la mgongoni mwako kufikiria?
Nchi inahitaji kodi kuliko chochote, kuliko hata uwaziri wa Jerry Silaa. Bora Silaa aondoke kituo cha mafuta kibaki, vikodi vya mshahara wa Silaa havifiki milioni 10 kwa mwezi, kituo cha mafuta kinaweza kuingiza hata milioni 500 kwa mwezi.
Hata kliniki za ardhi ni njia yake ya kutegeshea rushwa
Ndio nini K Vant..huku kijijini hazipoUna kvant ya ngapi mkuu?
Mama kakusanya kundi la wasanii!Kuna ka "ujinga" kanapita mitandaoni eti kuna watu walijaribu kumuhonga waziri Jerry Silaa. Takukuru wapo, na namba zao anazo, na huwa wanaweka mitego kunasa watoa rushwa.
Waziri ni kiongozi wa ngazi ya kitaifa, ana namba ya boss wa takukuru, kwa nini hakuweka mtego?
Walijadiliana halafu hazikutosha akaona awahi kuwalipua? Aliwaomba hizo hela wakasema hawana akaona awawahi?
Waziri analalamika, wanajimbo wake wafanyeje? Waziri yuko karibu na kila taasisi?
Huyu ataongoza vita ya rushwa wizara ya ardhi wakati hajui sehemu ya kuripoti rushwa?
Useless,aliomba akanyimwa, mawaziri vijana, acheni tamaa, Samia,kazi kwako.
Naona kaitisha umiliki wa ardhi wa vituo vya mafuta nchi nzima, maokoto yake sio mchezo, kamishna wa ardhi atakayepeleka maokoto mengi ndiye atadumu. Anadhani watampa hela za bure (rushwa) ili asivunje vituo vyao
Ajue tu, kodi ya mafuta ndio injini ya bajeti, na mafuta yameangusha wanasiasa wa mashariki ya kati, kabla hajaangusha serikali ya samia, ataanguka yeye. Kama kajipanganga kubomoa vituo vya mafuta nchi nzima, nchi nzima itambomoa yeye.
Mkuu kwa hivi sasa kwa Dar es salaam hakuna sehemu inayostahili kujengwa Kituo cha mafuta.Kuna SHERIA wapi kituo kiwepo sio kujenga tu kisa mil 500