Mnachosha kila siku mnafungua uzi kuhusu kagera na maendeleo...
Kwani kagera ndo pekee Tz kuna shida na maendeleo?
Ni mikoa mingapi Tz hii haina maendeleo na hakuna kinachofanyika...
Tukianza na Arusha mji wenye stendi mbovu na finyu
Moshi stendi yao imechakaa na barabara nyingi hazina lami mfano mjohoroni, Rau, pasua, majengo, mabogini nk
Dar..barabara za upanga nyingi ni mavumbi bila kusahau masaki kuna madimbwi barabarani
Dodoma barabara zote za kuingia mjini finyu kweli kweli
Mbeya hicho ni kijiji kikubwa tu
Mwanza barabara ni finyu mno
Nk nk
Acha kufanya mambo ya kagera kuwa big deal as if huko ndo kunashida tu...
Serikali ifanye inachoweza na usipangie watu maisha...
Kila siku wahaya wahaya...
Sent from my SM-A032F using
JamiiForums mobile app