Dar: Wananchi wamelalamikia kujengwa kwa Kituo cha kuuza mafuta cha Barrel Petrol Station karibu na makazi yao

Dar: Wananchi wamelalamikia kujengwa kwa Kituo cha kuuza mafuta cha Barrel Petrol Station karibu na makazi yao

Mnachosha kila siku mnafungua uzi kuhusu kagera na maendeleo...

Kwani kagera ndo pekee Tz kuna shida na maendeleo?

Ni mikoa mingapi Tz hii haina maendeleo na hakuna kinachofanyika...

Tukianza na Arusha mji wenye stendi mbovu na finyu
Moshi stendi yao imechakaa na barabara nyingi hazina lami mfano mjohoroni, Rau, pasua, majengo, mabogini nk
Dar..barabara za upanga nyingi ni mavumbi bila kusahau masaki kuna madimbwi barabarani
Dodoma barabara zote za kuingia mjini finyu kweli kweli
Mbeya hicho ni kijiji kikubwa tu
Mwanza barabara ni finyu mno
Nk nk


Acha kufanya mambo ya kagera kuwa big deal as if huko ndo kunashida tu...

Serikali ifanye inachoweza na usipangie watu maisha...

Kila siku wahaya wahaya...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Tatizo la nchi yetu ni CCM tu. Labda wajirekebishe.
 
Nadhani kama nchi tunahitaji mjadala, kama mtu wa hadhi ya uwaziri anasema mshahara wa baba yake umemfanya awe tajiri, hizi ni fikra finyu kabisa kuwahi kutamkwa na kiongozi wa ngazi ya kitaifa.

Pengine anawaona wanaotafuta ajira ni wapuuzi kwa kuwa baba zao ni waajiriwa. Hataweza kuwasaidia na kusaidia taifa kutatua tatizo la ajira. Mshahara wa baba unamfanyaje mtoto awe tajiri?

Baba kapokea mshahara, kaleta mchele na mboga, kwako hiyo ni toosha kutamba wewe tajiri
Unajua utajiri anaouongelea waziri, inawezekana ana maana kuwa na wazaz wenye kazi nzuri na wanaishi kwa kutosheka kwake huo ndio utajiri na si kwa tafsiri yako kwamba utajiri ni kuwa na pesa nyingi, nyumba nyingi magari nk..
 
Nchi inahitaji kodi kuliko chochote, kuliko hata uwaziri wa Jerry Silaa. Bora Silaa aondoke kituo cha mafuta kibaki, vikodi vya mshahara wa Silaa havifiki milioni 10 kwa mwezi, kituo cha mafuta kinaweza kuingiza hata milioni 500 kwa mwezi.

Hata kliniki za ardhi ni njia yake ya kutegeshea rushwa
Waziri asiingiliwe,muache afanye kazi yake ya kusimamia sheria na utaratibu

Ingekua hivo basi kila mtu angekanyaga utaratibu kisa Waziri asiongee atatolewa
 
Kama sio wategemezi kwako na hakuna madhara kwako...mind your own business...kama mtu amekudhuru then deal nae binafsi....kama hakuna effect kwako waache ni lifestyle yao...kuwaandika kila siku mtandaoni hakuwezi kubadilisha kitu zaidi utakuwa unapoteza muda tu na mwisho utakuwa unaonea wivu kila mhaya mwenye mafanikio...maana hauwezi shindana na tabia tofauti tofauti za watu zaidi 3 million...

Wew kwako unaona wana matatizo mengi lakini kwao sio Tatizo and they are okay....Na kama u mtu mwenye exposure huwezi sumbuliwa na diversity ya Tabia tofauti tofauti za binadamu bali utajua kuhundle tabia za kila mtu aliye tofauti na wew...

Lakin pia in a positive way ukiona watu wanakuongelea sana ujue una kitu...lazima una story ya kuongelewa...Kwa Tanzania mtu mwenye uelewa mpana na exposure sana uitwa mjuaji maana culture ya watz wengi wanapenda tufanane tabia hata kama mtu una exposure kiasi gani...ukijaribu kushare exposure yako watakuona mjuaji, unaringa, una majivuno na sifa nk...na hii ndo inafanya Tz tuzidi kuwa maskini wa kutupwa maana watu bright mnaona wana matatizo mnapenda ujinga na low IQs..

Wahaya wana kitu ndo maana kuna story nyingi kuhusu wao ziwe mbaya au nzr...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hata marehemu Profesa Justinian Rweyemamu alipomwambia Nyerere kuwa Tanzania iwekeze kwenye viwanda vya kutengeneza mashine na mitambo midogo midogo kwa ajili ya Industrialization alikataa kwa kumuona mjuaji. Sasa hivi mashine hizo zimejaa Kariakoo kutoka China zinauzwa kama njugu huku viongozi wakina Kitila Mkumbo na wenzake wakipiga kelele kuita wawekezaji kutusaidia kuendesha Bandari na misitu.

Tatizo letu ni CCM. Labda wajirekebishe.
 
Avunje aone
Mbona nyinyi mko wapumbavu..kituo cha mafuta kimezuiwa kufanya biashara si lazima kivunjwe, atavunja yeye mwenye kituo, ameshaambiwa hakipaswi kuendelea kutoa huduma hiyo tu tayari kimeshavunjwa. Mwambie yeye mwenye kituo km Ana ubavu afungue aendelee na biashara aone kitakachotokea..usimtishe waziri wakati tayari ameshafanya kazi yake..mwenye kituo mwambie ajibu!
 
Mkuu kama ulifuatilia mahojiano ya mkuu wa mkoa ndugu Chalamila na ndugu Tibaijuka, mkuu wa mkoa alibainisha kuwa mwekezaji ana vibali vyote na ni halali.

Mkuu ukisikilizaji maelezo ya Tibaijuka and Co kwa makini hayana mashiko. He who alleges bear the burden of proof.

They just are hell bent kuzuia mwekezaji kwa sababu na chuki zao binafsi.
Hivi kati ya polisi na daktari..utaamini nani yuko sahihi kuhusu taarifa za mgonjwa? Punguani ataamini anachosema polisi..ndio wewe! wala usiwalaumu hao wazee, wewe hata nusu ya walichofanya wao kwa taifa na dunia hujafikia na kwa akili km hii hutakaa ufikie..
 
View attachment 2851665

Bahati nzuri wengine tumewahi tembelea nchi za wenzetu. Hiyo ni U.K. eneo la Tottenham ndani ya 3 miles radius vituo vilivyopo. Na Tottenham ni residential area. Acha kituo cha mafuta uwanja wa mpira hupo ndani kabisa ya residential area.

Issue sio kituo cha mafuta kiko wapi, swala la msingi ni safety precautionary measures unazotakiwa kuwekeza hili ujenge kituo cha mafuta na EWURA hawana mzaha na hilo.

Nchi yenyewe maskini, ina madeni luluki. Halafu unakuta waziri ambae anapambana kupoteza mapato ya serikali, investment za wenzake na ajira za watu kwa mtazamo wake wa kishamba.

Utitiri wa vituo vya mafuta ni matatizo ya wafanyabiashara wenyewe kwenye ushindani hakuna faida funga; lakini hizo sio shida za serikali ili mradi vigezo vya usalama vimezingatiwa.

Ningeelewa kama hoja ni poor safety measures za hivyo vituo; lakini sio mahala vilipo.
Ajali ya Lori ya mafuta morogoro hizo safety precautionary measures zilisaidia nini kupunguza kiwango cha madhara? Mtu makini hawezi tegemea precautionary measures kwa jambo lenye hatari inayoweza sababisha maafa! Ustaarabu wa UK huwezi kuulinganisha na hapa unahitaji kufundishwa kujua hili?
Sheria iko wazi..comply! Uone km kuna mtu atakufuata...
 
Nchi inahitaji kodi kuliko chochote, kuliko hata uwaziri wa Jerry Silaa. Bora Silaa aondoke kituo cha mafuta kibaki, vikodi vya mshahara wa Silaa havifiki milioni 10 kwa mwezi, kituo cha mafuta kinaweza kuingiza hata milioni 500 kwa mwezi.

Hata kliniki za ardhi ni njia yake ya kutegeshea rushwa
Sawa..
Ila TUSIVUNJE SHERIA KWA KISINGIZIO CHA MAVUNO YA KODI...
 
Ukiona hivyo kila mtu anatamani angekuwa mhaya wanaupenda mkoa wa Kagera ndio maana wanakuja na hoja za kuponda maendeleo .
Hivi Kagera kuna sehemu mbaya kama vingunguti ,Buguruni ,Tandale au mbagala maji matitu aaha aah aah
Watu wanatafuta attention kwa wahaya...

Na nimekuja kugundua watu wanafanyia utani uhaya na kuoverrate tabia wanazoziita za kihaya ili wapate attention kutoka kwa wahaya na makabila kereketwa na wahaya ili.wapate popularity .
Mtu yuko hapa anaongelea maendeleo ya Bukoba...wakati mji mzima wa Bukoba matatizo yake yanajulikana ni soko, stendi na barabara za mjini kati ( ambazo nazo kwa standard za Tz ziko poa tu)...stendi yenyew ujenzi unaendelea naona wamezungushia mabati...
Bukoba kuna miradi kibao tu siku ikiwemo barabara ya njia nne...

Lakin mtu hata kijijini kwao hakuna nyumba ya bati hata moja...au mtu anakaaa jimbo la kibamba Dar jimbo ambalo ukitoa barabara kuu mitaa barabara zina makorongo hatari yupo hapa anaisema Bukoba na maendeleo...
 
Ajali ya Lori ya mafuta morogoro hizo safety precautionary measures zilisaidia nini kupunguza kiwango cha madhara? Mtu makini hawezi tegemea precautionary measures kwa jambo lenye hatari inayoweza sababisha maafa! Ustaarabu wa UK huwezi kuulinganisha na hapa unahitaji kufundishwa kujua hili?
Sheria iko wazi..comply! Uone km kuna mtu atakufuata...
Unafananisha apples and pears.

Lorry na kituo cha mafuta requirement zake za safety regulations ni tofauti.

Halafu Tanzania kwenye usafirishaji wa mafuta regulations ndio hamna kabisa. Tanker la mafuta nchi za ulaya lina bei kubwa sana kwa sababu ya specification zake za kuzuia spillage likipinduka na adhabu yake mafuta yakimwagika gari likipinduka sio ndogo.

Tanzania wafanyabiashara wengi wa mizigo wanaagiza matanka used na ambayo wazungu wanabebea maziwa au liquids zingine ambazo uimara sio lazima ufanane na matank ya kubebea mafuta.

Kuhusu vifo lazima tukubaliane source ni ujinga na desperation ya wa watanzania kufuata petrol ambayo wakati wowote inaweza lipuka.

Vituo vya mafuta reserve ya kituo ina layers kibao za kuzuia madhara ya mlipuko, kuna fire extinguishers, michanga, uwezo wa reserve kufungia petrol na masharti luluki ya EWURA. Sio rahisi hivyo kifikia majengo ya watu.
 
Ahsante sana kwa mawazo chanya, viongozi wa serikali uwalisha matango poli na wenyewe ukubali hayo majungu, niliwahi kuwauliza kama kweli wahaya wanapinga maendeleo yao miaka nendarudi mbona mji wenyewe wa bukoba hauna tofauti na miji mingine, nenda Musoma, nenda Shinyanga, nenda Kigoma hali naona ni ileile tu.
Mimi kusema ukweli watu unishangaza sana...hata hiyo Bukoba yenyew mbona iko poa tu...
Bukoba kuna the best Airport terminal na naskia mwakani wanajenga control tower na uwanja unawekewa taa.....tazama mikoa mingi Tz airport zao kama vibanda vya kuku...anza na Dodoma, nenda Arusha, musoma, iringa nk nk

Bukoba kuna uwanja mzr wa mpira wa kaitaba una nyasi bandia na Taa na uko top 5 ya viwanja bora nchi hii...angalia mikoa mingine hapa Tz na viwanja vyao vya ccm tukianza kirumba sijui jamhuri

Bukoba kuna shule nzr tu na zenye elimu bora sana...Tazama chuo cha veta bukoba kinazidi uzuri DUCE au mzumbe kwa majengo mazr..tz shule ya bk sec, ihungo, kaizirege nk

Bukoba kuna bandari kubwa tu Custom na nyingine ya mizigo kemondo meli zinakuja na bandari hiz ziko zinapanuliwa kupokea meli ya mv mwanza
Na mengine mengi tu bukoba iko vzr sana


Lakin ukosefu wa stendi bukoba ambako wengi hufikia basi wanaona Bukoba wanateseka sana na hakuna maendeleo [emoji23]...anasahau stendi ya kigamboni, rangi tatu, bunju, kawe huko dar ambazo ziko kama ilivyokuwa stendi ya Bukoba ambayo nayo inajengwa
Kumbe sekta nyingi Bukoba imepiga hatua kubwa tu.. angalia hata barabara za mitaa bukoba..nyingi zinalami
 
Vituo vingi sahv vilivyojengwa viko karibu na makazi
Kinondoni Road sahv napo kuna sheli inakuja njia ya kuelekea mataa ya salender
Ukienda huko tandale ndy balaaa
Ishara kuwa rushwa imetamalaki
 
Mimi kusema ukweli watu unishangaza sana...hata hiyo Bukoba yenyew mbona iko poa tu...
Bukoba kuna the best Airport terminal na naskia mwakani wanajenga control tower na uwanja unawekewa taa.....tazama mikoa mingi Tz airport zao kama vibanda vya kuku...anza na Dodoma, nenda Arusha, musoma, iringa nk nk

Bukoba kuna uwanja mzr wa mpira wa kaitaba una nyasi bandia na Taa na uko top 5 ya viwanja bora nchi hii...angalia mikoa mingine hapa Tz na viwanja vyao vya ccm tukianza kirumba sijui jamhuri

Bukoba kuna shule nzr tu na zenye elimu bora sana...Tazama chuo cha veta bukoba kinazidi uzuri DUCE au mzumbe kwa majengo mazr..tz shule ya bk sec, ihungo, kaizirege nk

Bukoba kuna bandari kubwa tu Custom na nyingine ya mizigo kemondo meli zinakuja na bandari hiz ziko zinapanuliwa kupokea meli ya mv mwanza
Na mengine mengi tu bukoba iko vzr sana


Lakin ukosefu wa stendi bukoba ambako wengi hufikia basi wanaona Bukoba wanateseka sana na hakuna maendeleo [emoji23]...anasahau stendi ya kigamboni, rangi tatu, bunju, kawe huko dar ambazo ziko kama ilivyokuwa stendi ya Bukoba ambayo nayo inajengwa
Kumbe sekta nyingi Bukoba imepiga hatua kubwa tu.. angalia hata barabara za mitaa bukoba..nyingi zinalami
Nikiiangalia Bukoba, naifananisha na mji wa kandahar uliopigwa mabomu na marekani
 
Km hutaki kujengewa kituo cha mafuta karibu na nyumbani kwako kwa nini usiende kuishi mwakaleli Ili kuepuka kero.
 
Ajali ya Lori ya mafuta morogoro hizo safety precautionary measures zilisaidia nini kupunguza kiwango cha madhara? Mtu makini hawezi tegemea precautionary measures kwa jambo lenye hatari inayoweza sababisha maafa! Ustaarabu wa UK huwezi kuulinganisha na hapa unahitaji kufundishwa kujua hili?
Sheria iko wazi..comply! Uone km kuna mtu atakufuata...
Mkuu chanzo ajali ile haikuwa Kituo cha mafuta, umekiri mwenyewe ni lori! Nimeomba nitajie tikio au ajali iliyotokana na Kituo cha mafuta ndani ya miaka 10.

Mkuu kwa sasa hivi hapa mjini kila nyumba ina ama petroli/gesi kwenye tenki la gari au gesi ya kupikia na inaweza kulipuka wakati wowote, mbona hatuongopi??

Pili Tibaijuka hana moral authority ya kuzuia au kulalamika kuhusu rushwa, maana yeye mwenye mla rushwa mzuri tu!
 
Hata marehemu Profesa Justinian Rweyemamu alipomwambia Nyerere kuwa Tanzania iwekeze kwenye viwanda vya kutengeneza mashine na mitambo midogo midogo kwa ajili ya Industrialization alikataa kwa kumuona mjuaji. Sasa hivi mashine hizo zimejaa Kariakoo kutoka China zinauzwa kama njugu huku viongozi wakina Kitila Mkumbo na wenzake wakipiga kelele kuita wawekezaji kutusaidia kuendesha Bandari na misitu.

Tatizo letu ni CCM. Labda wajirekebishe.
Unaijua UFI
Unaijua ZZK
Unaijua Swalla
Unaijua Nyumbu.
Leo vinafanya nini? Kwa taarifa yako Nyerere alijenga viwanda vya zana ndogo hapa lkn vyoooootr leo mashine zimeuzwa screpa na Majengo yake ni yard za matajiri Wahindi na Waarabu.
Pale SHEKILANGO URAFIKI leo kuna Stendi ya Mabasi ya BM so ulitaka Nyerere afanyeje????
 
Back
Top Bottom