jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwanao alikuwa ana umri chini ya 18?kama mwanao ni > 18 basi ameharibika kwa upumbavu wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilo 270,ni karibu sawa na gunia tatu za kilo 100,duh huo mzigo ni mwingi sana...
Poleni sana.
Tamaa n kitu cha hovyo sana,halafu watu wa namna hii ukikutana nao,utaskia wanakwambia hivi wewe unaishije na hicho kimshahara chako?!,wanaboa sana na ndo chanzo cha kuwaingiza na kuwashawishi wengine mavichwa panzi kwenye mishe za hivi,sheria ichukue mkondo wake.Inside10,
Huyu mtoto wa marehemu Prof Mbele,si alikuwa anafanya kazi UDSM aliondoka kumbe yupo Aghakani. Mshahara haumtoshi ?Si afanye biashara halali ?Sasa sheria ichukue mkondo wake.
Naijuwawewe ngada unaijua?
Hittin Blunts and Bustin Nuts
Pole sana. Unajua watanzania wengi huwa wanatoa majibu bila kutafakari. Kuna watu ambao hawakutegemewa kabisa wamekuja kujiingiza kwenye utumiaji wa madawa ya kulevya. Mjomba wangu alikuwa na kijana wake na alikuwa na akili tu kipindi anasoma sekondari. Baada ya kumaliza shule akajiingiza kwenye makundi mabaya na kuanza kujichoma sindano za madawa. Baada ya kuhangaika sana akaacha lakini ilikuwa too late kwani alijapata maradhi ya kansa ya damu (bila shaka ni kutokana na mazingira machafu ya kujidunga na kupokezana sindano) na kufariki.For my son, kasoma vzr tu, he has degree of account's and postgraduate ya ualimu.
Aweza kaa vzr na ni mwalimu mzuri wa hesabu, aweza badilika ala unga akijishtukia aenda soba house, yaani kama hivyo.
Aliyesema huko juu sijakaa naye ni wrong, na niko karibu na wanangu na all are my friends.
So naendelea na maombi najua hilo ni jaribu ila God ni Mkuu kwa yote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usione mtu hotelini anarudishiwa change imeviringishwa kisha naye anaipokea bila kuhesabu kama imetimia basi ukadhani jamaa wakishua sana au boya, no no noooo, anajua kilichomo. So fasta mfukoni msijemkashtukia ishu.
Sure mkuu km nyuma ya vijana pako fresh kichz kila mtaa lami.
Sijakuwa Addicted sema mistari nshapiga sana,Sema muda mrefu sana.ushawahi kuwa addicted?
Hittin Blunts and Bustin Nuts
kiasulikuwa unamjua?
Hittin Blunts and Bustin Nuts