Dar: Washukiwa wa biashara ya dawa za kulevya watiwa mbaroni

Dar: Washukiwa wa biashara ya dawa za kulevya watiwa mbaroni

Hata wewe unaweza kufanywa teja. Unaenda hotelini unaagiza chakula, unaletewa, mhudumu anakuja na jagi na bakuli anakunawisha mikono, unaanza kula, ukimaliza. Anakuja tena anakunawisha mikono, anakupa na tishu ukaushe mikono, anakuongeza nyingine ukaushe midomo. Tambua, tishu zote unazopewa anakuwa ameshazipakaa madawa ya kulevya.

Unaondoka, kadiri siku zinavyosogea unaanza kuhisi ukila chakula cha hoteli ile, huwa unajisikia vizuri sana, huachi kwenda,
siku moja unaamua kumuuliza mhudumu, chakula chao wanaweka nini, hakwambii, anaishia kutabasamu, anatafuta mbinu za kukuzoea, akishaipata, siku moja anakuletea unga kidogo kwenye pakti, anakwambia nusa, unanusa, unajipata ile raha uliyokuwa unaipata kwa kunusa madawa kwenye tishu bila kujijua inaongezeka maradufu kwakuwa sasa umenusa kitu chenyewe direct, kuanzia hapo, ukifika hotelini, unaagiza chakula na pakti ya madawa, ukirudishiwa chenji, pakti ya madawa inazungushwa kwenye noti za change yako, unasepa, ushakuwa mteja tayari.
Kuna mitaa ukiwa unaishi vitu kama fegi bora uwe unanunua pakti yako, bia uwe Unapiga tarumbeta na vitu kama bangi bora uwe unanyonga mwenyewe. Wazungu wana mbinu nyingi ya kutrap wateja wao. Wanawaotea sana madogo wanaoendaenda sana batani. Unakuta dogo hataki kwenda kwa pusha mwengine zaidi ya anayemjua yeye kumbe ndio kashianasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
For my son, kasoma vzr tu, he has degree of account's and postgraduate ya ualimu.

Aweza kaa vzr na ni mwalimu mzuri wa hesabu, aweza badilika ala unga akijishtukia aenda soba house, yaani kama hivyo.

Aliyesema huko juu sijakaa naye ni wrong, na niko karibu na wanangu na all are my friends.

So naendelea na maombi najua hilo ni jaribu ila God ni Mkuu kwa yote.


Sent using Jamii Forums mobile app
achana na yule kilaza dada.
sio ajabu kale ni kakijina ka chuo, kapo kwenye 20s na kenyewe kanajihisi kana audacity ya kukosoa watu kuhusu issue za malezi ya watoto.
 
Vijana wawili naona WAMATENGO wa mbinga na Mnaigeria mmoja ,wakalime kahawa pale mkwaya
 
Huyo mbele ni yupi kati ya hao watatu, wengine hatumfahamu, by the way marekani juzi tu hapa walitoa ripoti yao kwamba dar bado ni kitovu cha biashara nya ngada lkn uvccm walikuja kupinga humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wivu tu. Wamechomeana wenyewe kwa wenyewe. Zile report za kutikisa nchi Mbona hazikuwahi Tolewa.
Angalieni series ya queen of south muone zaidi. Kama marekani iliweza kumuua kiongozi wa Iran kwa drone from US to Iraq how comes wameshindwa kudhibiti biashara hii kwao. Take that example to other countries kama kwetu.



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuna familia nazifaham watoto malezi mazuri kabisa mmoja kaenda kusoma India karudi teja. Mwingine kaenda Malaysia karudi punga.
Huyu mchangiaji utadhani anaishi sayari nyingine.
 
Temea mate chini,Unaijuwa ngada wewe?Vitu vingine hata kama wewe ni Mjanja sema inabidi umtangulize Mungu mbele ili akulinde navyo.
wewe ngada unaijua?

Hittin Blunts and Bustin Nuts
 
Ardhi yenye rutuba na mito inayotiririka maji majira yote ya mwaka vyote buree! Kenya nao wasemeje ambako unazaliwa na kukulia kwenye ardhi ya Kukodi?
so Kenya hamna ardhi?

Hittin Blunts and Bustin Nuts
 
For my son, kasoma vzr tu, he has degree of account's and postgraduate ya ualimu.

Aweza kaa vzr na ni mwalimu mzuri wa hesabu, aweza badilika ala unga akijishtukia aenda soba house, yaani kama hivyo.

Aliyesema huko juu sijakaa naye ni wrong, na niko karibu na wanangu na all are my friends.

So naendelea na maombi najua hilo ni jaribu ila God ni Mkuu kwa yote.


Sent using Jamii Forums mobile app
umeokoka?

Hittin Blunts and Bustin Nuts
 
Ni wivu tu. Wamechomeana wenyewe kwa wenyewe. Zile report za kutikisa nchi Mbona hazikuwahi Tolewa.
Angalieni series ya queen of south muone zaidi. Kama marekani iliweza kumuua kiongozi wa Iran kwa drone from US to Iraq how comes wameshindwa kudhibiti biashara hii kwao. Take that example to other countries kama kwetu.



Sent from my iPhone using JamiiForums
nitaitafuta hiyo series


Hittin Blunts and Bustin Nuts
 
Kuna familia nazifaham watoto malezi mazuri kabisa mmoja kaenda kusoma India karudi teja. Mwingine kaenda Malaysia karudi punga.
ana tabia za kike kama mavazi,tabia na jinsi ya kuongea? asije akawa alikuwa
punga kabla hajaenda mbele

Hittin Blunts and Bustin Nuts
 
Back
Top Bottom