Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,475
- 5,290
Kama Baba na Mama hawafanani basi usishangae mtoto kuwa kivyake!Nimeshangaa dogo mtoto wa Prof anauza ganda ?Inasikitisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Baba na Mama hawafanani basi usishangae mtoto kuwa kivyake!Nimeshangaa dogo mtoto wa Prof anauza ganda ?Inasikitisha.
OkayWana mng'ao wa pesa.
Ushuani huwezi kupata Chumba labda Nyumba, kama unataka Chumba nenda tu Uswahilini.oi nataka mikapange chumba kinondoni niishi japo miezi sita ili nizione vurugu za kinondoni.sehemu gani nzuri pa kishua kidogo naweza pata chumba kizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili nalo neno.Kama Baba na Mama hawafanani basi usishangae mtoto kuwa kivyake!
Kuna kipindi nadhani miaka ya 2000 mwanzoni, wazazi wenye vipato vya kati na vikubwa walioeleka sana vijana wao kwenda kusoma Uganda na Kenya lakini wengi wao waliishia kuwa wabwia unga, nilichogundua ni kuwa wazazi walikuwa bize kusaka noti watoto wao shule zikawashinda hapa Tz wakawa wansingizia mazingira mabovu ya kusoma na elimu ngumu, Wazazi tujitahidi kuchunguza sana watoto wetu haswa umri wa kuanzia miaka 15-23 unachangamoto sana kwa vijanaKuna familia nazifaham watoto malezi mazuri kabisa mmoja kaenda kusoma India karudi teja. Mwingine kaenda Malaysia karudi punga.
Kuna kipindi nadhani miaka ya 2000 mwanzoni, wazazi wenye vipato vya kati na vikubwa walioeleka sana vijana wao kwenda kusoma Uganda na Kenya lakini wengi wao waliishia kuwa wabwia unga, nilichogundua ni kuwa wazazi walikuwa bize kusaka noti watoto wao shule zikawashinda hapa Tz wakawa wansingizia mazingira mabovu ya kusoma na elimu ngumu, Wazazi tujitahidi kuchunguza sana watoto wetu haswa umri wa kuanzia miaka 15-23 unachangamoto sana kwa vijanaKuna familia nazifaham watoto malezi mazuri kabisa mmoja kaenda kusoma India karudi teja. Mwingine kaenda Malaysia karudi punga.
Wakati huo waliomaliza nje na kuongea kiingereza kizuri walipata kazi nzuri kuliko kanumba. So si kweli wazazi kuwa bize ndio sababu ya wao kupeleka watoto nje. Wengine walijinyima watoto wao wakasome nje.Kuna kipindi nadhani miaka ya 2000 mwanzoni, wazazi wenye vipato vya kati na vikubwa walioeleka sana vijana wao kwenda kusoma Uganda na Kenya lakini wengi wao waliishia kuwa wabwia unga, nilichogundua ni kuwa wazazi walikuwa bize kusaka noti watoto wao shule zikawashinda hapa Tz wakawa wansingizia mazingira mabovu ya kusoma na elimu ngumu, Wazazi tujitahidi kuchunguza sana watoto wetu haswa umri wa kuanzia miaka 15-23 unachangamoto sana kwa vijana
Sijasema wote ndo maana nimepoint inchi 2 ambazo vijana wameenda na baadhi wakaishia kuwa wabwia ungaWakati huo waliomaliza nje na kuongea kiingereza kizuri walipata kazi nzuri kuliko kanumba. So si kweli wazazi kuwa bize ndio sababu ya wao kupeleka watoto nje. Wengine walijinyima watoto wao wakasome nje.
Na vyuo binafsi vilikuwa vichache na wazazi walitaka watoto wapate exposure so wakajinyima wakapeleka vyuo india, malaysia nk
Temea mate chini,Unaijuwa ngada wewe?Vitu vingine hata kama wewe ni Mjanja sema inabidi umtangulize Mungu mbele ili akulinde navyo.mwanao alikuwa ana umri chini ya 18?kama mwanao ni > 18 basi ameharibika kwa upumbavu wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja kuu ni kulaumu wazazi kwa watoto wao kubwia unga. Mi nakubaliana na wale wanaosema kuna wakati mzazi si wa kulaumiwa sababu anakosa control (mfano mwanae akiwa shule za bweni au chuoni mbali na nyumbani). We unasema mzazi abebe lawama.Sijasema wote ndo maana nimepoint inchi 2 ambazo vijana wameenda na baadhi wakaishia kuwa wabwia unga
Kumbuka kuna watoto wanaingia kwenye ushoga sekondari za bweni mzazi hana habari mpaka too late.Sijasema wote ndo maana nimepoint inchi 2 ambazo vijana wameenda na baadhi wakaishia kuwa wabwia unga
Wangekuwa wanawatumia ktk Practical kama za Corona. Wote wanaokamatwa na madawa ya kulevya na sio kuchukua watu wazimaSiku zote nasema ivi, sisi sio wakamailifu, LAKINI kuna watu hawastahiri kuishi , mfano hawa wauza Dawa za kulevya.
Muombee kwa Mungu wake asimpe jaribio maana mdomo uliponza kichwa,pole sana kwa majaribu Mungu akufungulie njia.