Dar: Washukiwa wa biashara ya dawa za kulevya watiwa mbaroni

Dar: Washukiwa wa biashara ya dawa za kulevya watiwa mbaroni

Kuna dogo namjua alienda kusoma Malaysia amerudi bongo teja. Saizi anakula unga na bangi tu. Kwao Kinondoni hapo. Familia ni kama imemkatia tamaa
 
Kumbe Alikuwa Na Majukumu Yake Kimya Kimya
Anajenga, Anabadili Cars, Nje Ya Tanzania Kama Kawaida
dah acha tu jamaa kapanga nyumba nzima kumbe ndan hamna kitu anaitumia kama stoo tu ya kuweka mizigo mamaee
 
Nigeria ndo nchi inayoongoza kua na idadi kubwa ya watu. Wapo 190,000,000. Wasomi wengi Ajira hamna imewalazimu wajiongeze. Watanzania tupo 60,000,000 tu lakini soko la ajira hali ni tete. Na sisi tunaelekea huko huko.

Sent From Galaxy S9
Ardhi yenye rutuba na mito inayotiririka maji majira yote ya mwaka vyote buree! Kenya nao wasemeje ambako unazaliwa na kukulia kwenye ardhi ya Kukodi?
 
Kishapotea huyo
duh!!..huyo alistair mbele sijui ni tamaa au kitu gani.

hakuwa wa kujiingiza kwenye biashara hii haramu maana kama elimu anayo na pesa ya kula na ya kuvimbia mjini pia alikuwa nayo. licha ya hivyo mshua wake ambae kwa sasa ni marehemu alikuwa ni senior academician wa chuo kikuu.
 
mwanao alikuwa ana umri chini ya 18?kama mwanao ni > 18 basi ameharibika kwa upumbavu wake

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe unaweza kufanywa teja. Unaenda hotelini unaagiza chakula, unaletewa, mhudumu anakuja na jagi na bakuli anakunawisha mikono, unaanza kula, ukimaliza. Anakuja tena anakunawisha mikono, anakupa na tishu ukaushe mikono, anakuongeza nyingine ukaushe midomo. Tambua, tishu zote unazopewa anakuwa ameshazipakaa madawa ya kulevya.

Unaondoka, kadiri siku zinavyosogea unaanza kuhisi ukila chakula cha hoteli ile, huwa unajisikia vizuri sana, huachi kwenda,
siku moja unaamua kumuuliza mhudumu, chakula chao wanaweka nini, hakwambii, anaishia kutabasamu, anatafuta mbinu za kukuzoea, akishaipata, siku moja anakuletea unga kidogo kwenye pakti, anakwambia nusa, unanusa, unajipata ile raha uliyokuwa unaipata kwa kunusa madawa kwenye tishu bila kujijua inaongezeka maradufu kwakuwa sasa umenusa kitu chenyewe direct, kuanzia hapo, ukifika hotelini, unaagiza chakula na pakti ya madawa, ukirudishiwa chenji, pakti ya madawa inazungushwa kwenye noti za change yako, unasepa, ushakuwa mteja tayari.
 
Mzigo mwingi hv ulipitaje pitaje???? Au kiwanda kiko nchini humu humu?
 
Hata wewe unaweza kufanywa teja. Unaenda hotelini unaagiza chakula, unaletewa, mhudumu anakuja na jagi na bakuli anakunawisha mikono, unaanza kula, ukimaliza. Anakuja tena anakunawisha mikono, anakupa na tishu ukaushe mikono, anakuongeza nyingine ukaushe midomo. Tambua, tishu zote unazopewa anakuwa ameshazipakaa madawa ya kulevya.

Unaondoka, kadiri siku zinavyosogea unaanza kuhisi ukila chakula cha hoteli ile, huwa unajisikia vizuri sana, huachi kwenda,
siku moja unaamua kumuuliza mhudumu, chakula chao wanaweka nini, hakwambii, anaishia kutabasamu, anatafuta mbinu za kukuzoea, akishaipata, siku moja anakuletea unga kidogo kwenye pakti, anakwambia nusa, unanusa, unajipata ile raha uliyokuwa unaipata kwa kunusa madawa kwenye tishu bila kujijua inaongezeka maradufu kwakuwa sasa umenusa kitu chenyewe direct, kuanzia hapo, ukifika hotelini, unaagiza chakula na pakti ya madawa, ukirudishiwa chenji, pakti ya madawa inazungushwa kwenye noti za change yako, unasepa, ushakuwa mteja tayari.
Noma saana , hii biashara haiwez koma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata wewe unaweza kufanywa teja. Unaenda hotelini unaagiza chakula, unaletewa, mhudumu anakuja na jagi na bakuli anakunawisha mikono, unaanza kula, ukimaliza. Anakuja tena anakunawisha mikono, anakupa na tishu ukaushe mikono, anakuongeza nyingine ukaushe midomo. Tambua, tishu zote unazopewa anakuwa ameshazipakaa madawa ya kulevya.

Unaondoka, kadiri siku zinavyosogea unaanza kuhisi ukila chakula cha hoteli ile, huwa unajisikia vizuri sana, huachi kwenda,
siku moja unaamua kumuuliza mhudumu, chakula chao wanaweka nini, hakwambii, anaishia kutabasamu, anatafuta mbinu za kukuzoea, akishaipata, siku moja anakuletea unga kidogo kwenye pakti, anakwambia nusa, unanusa, unajipata ile raha uliyokuwa unaipata kwa kunusa madawa kwenye tishu bila kujijua inaongezeka maradufu kwakuwa sasa umenusa kitu chenyewe direct, kuanzia hapo, ukifika hotelini, unaagiza chakula na pakti ya madawa, ukirudishiwa chenji, pakti ya madawa inazungushwa kwenye noti za change yako, unasepa, ushakuwa mteja tayari.
hii mbinu imewaponza vijana wengi waliokuwa wanapenda kuvuta shisha.

unachanganyiwa cocaine au heroin kwenye shisha bila wewe kujua.

ukishazoea, wewe mwenyewe ndio unaanza kurequest wakuchanyie na kale kakitu kanakokupa uchangamfu kwenye shisha, kumbe madawa. huo ndio unakuwa mwanzo wa safari yako ya uteja.
 
For my son, kasoma vzr tu, he has degree of account's and postgraduate ya ualimu.

Aweza kaa vzr na ni mwalimu mzuri wa hesabu, aweza badilika ala unga akijishtukia aenda soba house, yaani kama hivyo.

Aliyesema huko juu sijakaa naye ni wrong, na niko karibu na wanangu na all are my friends.

So naendelea na maombi najua hilo ni jaribu ila God ni Mkuu kwa yote.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom