Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
si ndo hapo sasa, mm nashangaa Mpaka vingozi wa afya wanatia attention kubwaa ya kuogoflaaa, Mwili wenye afya hauwez kukaa na red eye disease zaidi ya week mbili,Ule ugonjwa ata usipoutibu unapona wenyewe ni kunawa uso tu na soap
Mzee mwenzangu huku mitaani kuna wataalam wa kila aina [emoji1]Unatania madam, mafuta ya taa?!!
Hujawahi kwenda hospital ukaambiwe mfukize mtoto? Nyungu ni kufukiza na ni tiba.Hawa wahuni tu.
Hawa walishadidia kupiga "nyungu" na miti isiyoeleweka wakati wa Corona.
Watupe takwimu watu wangapi walikufa kwa kupiga nyungu mkorogo!
Dawa ya uhakika ni moja tu! Kunawa uso kwa sabuni kila baada ya masaa kadhaa ili kuhakikisha huambukizi wengine na mwili unajitibu wenyewe baada ya siku 7 hadi 10.Mtu anaweka kila atakachoambiwa, limao anaweka, kesho akiambiwa ni mkojo anatia, keshokutwa akiambiwa ni chumvu ya mawe anaweka, yaani hata hajionei huruma na ukizingatia ni part sensitive sana na haina spare.
Soma nilivyomalizia, dawa nyingi ni hatari endapo utatumia bila ushauri wa dakitari.Wewe n Muuwaji🤣
Hivi we mpumbavu unafahamu wapo watoto wadogo wanaweza kuwa wanasoma hii post yako na wakafanya kweli?!Ukichanganya maji ya betri nusu kijiko cha chai na mafuta ya breki robo kijiko cha chai kutwa ×3 siku 5 tatizo lako linakwisha mara moja.
Muone dakitari kwa ushauri zaidi.
Usitumie hizo dawa bila ushauri wa dakitari, kila dawa inalenga tatizo tofauti na nyingine.Hadi maduka ya uchochoroni zipo dawa za matone ya macho, au watu wanaona mzuka wakiambiwa tia mafuta ya taa au mkojo wa punda wanajua hiyo ni komesha ya ugonjwa, kumbe wanaishia kukomesha macho yao wenyewe....
Kwa hiyo wanaouza pharmacy hawajui matumizi yake? hizo ni antibiotics tu hata maelezo yake yapo kwenye leboUsitumie hizo dawa bila ushauri wa dakitari, kila dawa inalenga tatizo tofauti na nyingine.
Acha ubishi, uamuzi ni wako kwani kila kichupa kinakutahadharisha kupata ushauri wa dakitari.Kwa hiyo wanaouza pharmacy hawajui matumizi yake? hizo ni antibiotics tu hata maelezo yake yapo kwenye lebo
dakitari ndo kitu gani, kaa kimya huna unalojua...Acha ubishi, uamuzi ni wako kwani kila kichupa kinakutahadharisha kupata ushauri wa dakitari.
Siyo suala la fedha tu, ni suala la mass ignorance. Unakumbuka Magufuli na korona? Magufuli alifanikiwa kuteka nchi yote kuwa kujifukiza ndiyo dawa ya korona?Watu hawana hela. Choka mbaya
WHOSE LIFE IS IT ANYWAY!dakitari ndo kitu gani, kaa kimya huna unalojua...
Mkuu Tanzania kuna tatizo la mass ignorance na hili siyo tukio la mwisho wala la kwanza. Magufuli alijenga mpaka ''maabara'' ya kijifukiza kwenye hospital kubwa kuliko zote nchini, yenye mabingwa wa kitabibu na watu wakamuangalia tu. Tatizo letu ni zaidi ya kujua dawa za kienyeji walizotumia.Sasa kwanini hawajaweka wazi hizo namna za kienyeji zilizotumika kujitibu zilizopelekea upofu ili watu wachukue tahadhari wakati mwingine?
B... ungenikuta kipofu huku. Mdakuzi
Matone ya nini?Zipo na zinasaidia ukiweza kuapply mapema kabla ya tatizo halijakaa sana , na kuna namna yake ya kufanya kwa mtu aliyepata maambukizi ya red eyes, kwa mfano inashauriwa kama umegundua dalili la kuathiriwa na red eyes kwenye moja ya jicho lako basi ni vema kuanza kuweka (ma) tone kwenye lile ambalo bado halijaanza kuathiriwa ili kuepusha maambukizi, ila si unajua watanzania na akili zetu watu wanaokoteza maneno ya vijiweni ndio maana umesikia wengine wamenawa maji ya chumvi na limao, wengine wamepaka asali, utashindwa kupofuka kweli?haya ni sawa na yale ya Covid 19, kila mtu aligeuka daktari akaja na mbinu yake, ili mradi taflani.
Mkuu usinikumbushe hayo mambo, awamu ya 5 ukiitafakari ni kwamba hii nchi wote tuligeuka vichaa.Mkuu Tanzania kuna tatizo la mass ignorance na hili siyo tukio la mwisho wala la kwanza. Magufuli alijenga mpaka ''maabara'' ya kijifukiza kwenye hospital kubwa kuliko zote nchini, yenye mabingwa wa kitabibu na watu wakamuangalia tu. Tatizo letu ni zaidi ya kujua dawa za kienyeji walizotumia.