Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Akili ndogo, mtaji wa ccm!Kuna mjinga mmoja alikuwa anatumia limao kutibu macho, yaani watanzania wengi Akili zao ni ndogo Sana
Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili ndogo, mtaji wa ccm!Kuna mjinga mmoja alikuwa anatumia limao kutibu macho, yaani watanzania wengi Akili zao ni ndogo Sana
Wewe siwezi kukujibuWewe ndo mtanzania mwenye akili ndogo sana, sasa badala ya kumuelimisha unakuja kubwabwaja humu jf. Mjinga sana wewe.
DuuuMaji ya madafu ndiyo kiboko ya hii kitu
Ila wenetu DSM mna maisha magumu sana.Wizara ya Afya imesema idadi ya watu waliopata upofu jijini Dar es Salaam kutokana na kutibu ugonjwa wa macho mekundu kwa njia za kienyeji wamefikia saba kutoka wanne.
Februaru 8, Mkurugenzi wa Tiba, Wizara ya Afya, Profesa Paschal Ruggajo alisema watu wanne waliougua ugonjwa huo wamepata upofu kwa kujitibu kienyeji.
Ugonjwa huo wa maambukizi kwenye ngozi ya juu ya gololi la jicho unaoitwa Conjunctivitis, maarufu Red eyes umeshasambaa katika mikoa yote nchini.
Februari 7, mwaka huu, mratibu wa huduma za afya msingi na matibabu ya macho Zanzibar, Dk Rajab Muhammed Hilali alitoa takwimu za watu saba kupata upofu baada ya matumizi ya dawa za kienyeji kutibu ugonjwa huo.
Idadi hiyo inafanya jumla ya wagonjwa waliopata madhara hasi kwa Tanzania Bara na Zanzibar kufikia 14.
da!!! wantengeneza sabasaba,zanzibar saba wamepofuka,dar napo saba!!!Wizara ya Afya imesema idadi ya watu waliopata upofu jijini Dar es Salaam kutokana na kutibu ugonjwa wa macho mekundu kwa njia za kienyeji wamefikia saba kutoka wanne.
Februaru 8, Mkurugenzi wa Tiba, Wizara ya Afya, Profesa Paschal Ruggajo alisema watu wanne waliougua ugonjwa huo wamepata upofu kwa kujitibu kienyeji.
Ugonjwa huo wa maambukizi kwenye ngozi ya juu ya gololi la jicho unaoitwa Conjunctivitis, maarufu Red eyes umeshasambaa katika mikoa yote nchini.
Februari 7, mwaka huu, mratibu wa huduma za afya msingi na matibabu ya macho Zanzibar, Dk Rajab Muhammed Hilali alitoa takwimu za watu saba kupata upofu baada ya matumizi ya dawa za kienyeji kutibu ugonjwa huo.
Idadi hiyo inafanya jumla ya wagonjwa waliopata madhara hasi kwa Tanzania Bara na Zanzibar kufikia 14.
Tatizo uelewa mkuuKuna mjinga mmoja alikuwa anatumia limao kutibu macho, yaani watanzania wengi Akili zao ni ndogo Sana
Ndugu yangu,ukishaugua ni kawaida kuhangaika.Mtu anaweka kila atakachoambiwa, limao anaweka, kesho akiambiwa ni mkojo anatia, keshokutwa akiambiwa ni chumvu ya mawe anaweka, yaani hata hajionei huruma na ukizingatia ni part sensitive sana na haina spare.
Kwahiyo machanjo ya corona ndio DAWA?Mkuu usinikumbushe hayo mambo, awamu ya 5 ukiitafakari ni kwamba hii nchi wote tuligeuka vichaa.
Mengi yalifanyika hadi huwa nahofia tutawajibu nini watoto wetu, tulikuwa wapi wakati yote hayo yanatokea?
Gunia la chanjo linakuja muda sio mrefu jiandae mkao wa kula 😂So the best Medicine and Therapy ni ipiiii wakuuu🙏
Mshamba wewe, hujui nyungu ni tiba inayatambulika badala yake unataka kubugia machanjo ya ulaya.Hawa wahuni tu.
Hawa walishadidia kupiga "nyungu" na miti isiyoeleweka wakati wa Corona.
Watupe takwimu watu wangapi walikufa kwa kupiga nyungu mkorogo!
Mshamba wewe, mkojo wa punda ni dawa tena dawa yenye nguvu kweli kweli.Hadi maduka ya uchochoroni zipo dawa za matone ya macho, au watu wanaona mzuka wakiambiwa tia mafuta ya taa au mkojo wa punda wanajua hiyo ni komesha ya ugonjwa, kumbe wanaishia kukomesha macho yao wenyewe....
Unataka kuniambia hakuna elimu yoyote iliyotolewa juu ya ugonjwa huu?! Mass ignorance?!Siyo suala la fedha tu, ni suala la mass ignorance. Unakumbuka Magufuli na korona? Magufuli alifanikiwa kuteka nchi yote kuwa kujifukiza ndiyo dawa ya korona?
Hata kama ilitolewa haiwezi kuondoa mass ignorance. Mass ignorance inaenda beyond... mass ignorance inazuia hata elimu za kawaida za darasani zisifanye kazi.Unataka kuniambia hakuna elimu yoyote iliyotolewa juu ya ugonjwa huu?! Mass ignorance?!
Huna akili hata kidogo, kwa hiyo tufungashe mikojo ya punda kama dawa ya kutibu wagonjwa huko mahospitalini?Mshamba wewe, mkojo wa punda ni dawa tena dawa yenye nguvu kweli kweli.
Zamani tulipokuwa wadogo tukipata mapele na matetekuwanga tunaogeshwa kwa mkojo wa punda na tunapona.
Vidonda na mapele yote yanaisha. Ngozi inabaki safiiiiii, laiini na nyororo kama sakafu.
Nyie wazee wa machanjo kila kitu mnatega tako mnadungwa sindano.
Hata ukijikwaruza kidogo unakimbilia kudungwa machanjo ya makalio.
Bure kabisa, machanjo hovyo kabisa