Dar: Watu 7 wapofuka Macho kwa kujitibu Ugonjwa wa 'Red Eyes' kienyeji

Dar: Watu 7 wapofuka Macho kwa kujitibu Ugonjwa wa 'Red Eyes' kienyeji

Waungwana, Swali ninalojiuliza hadi sasa hivi, kwa nini huu ugonjwa ukishakupata halafu ukapona, ni kwanini haurudii kukupata tena !!?🤔
Sijui sababu ila mimi niliupata kati ya 2011-2012 nikiwa UDSM.

Sikuwahi kuupata tena.
 
Back
Top Bottom