Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

....watakao kula ni wakristo wa katoriki tu..,..🎩🎩🎩alisikika askofu mmoja akisema
 
Yaani mtu ili ahalalishe chuki yake kwa Magufuli ananyofoa kipande kwenye sentensi na kuifanyia hoja ya kumhukumu kipenzi chetu Magufuli.
Amekufa tayari endeleeni kula bia
 
Kwa hiyo unasheherekea??.
 
Amen
 

Ushindwe kwa Jina la Yesu wewe wakala wa shetani/ibilisi. Yuda iskarioti wa kupasuka matumbo. Mungu ndiye alisema mtengeneze virus ili mtumie akili za kujitawala za kujichanja kwa chanjo na kujikinga kwa barakoa. Huku kampuni moja ya chanjo tayari imesha focus 41.6 Trillion kama faida ya fedha za majuha kama wewe.
 
Ni majitu machache mabinafsi yakina kigogo ndio yalikuwa yanachafua taswira ya JPM...
leo haliwezi kuposti hizo picha za wananchi
Watu kujaa kwenye misiba huku bongo ni ajabu? Kama watu wanaweza kujaa hata wakiona catapillar linachimba barabara ndio itakua kujaa kwenye msiba unaotangazwa na kila chombo cha habari? Taswira chafu haiwezi kuchafuliwa tena. Mngemshauri awe na utu na busara, sio mambo ya kunenepesheaa ng'ombe mnadani.
 
A dead body has nothing in this world, kama alitenda ubaya Shetani anamsubiri, kama alitenda mema Mbingu inamsubiri.
Ila kwa vifo vya kina ben, azroy na mawazo nk .
God have mercy
 
Wakuu Kadinali Ruwai'chi anasema "Sasa tuonje taifa la haki" Ana Maana Gani??
Mkapuchini Judas Thadeus Ruwaichi siyo Kardinali! Ni Padre lakini pia ni Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar ea Salaam.

Tanzania ilibahatika kuwa na Ma kardinali wawili tu! Kardinali Laurent Rugambwa (RIP), Na Kardinali Polycarp Pengo.
 
Chukua tahadhari dhidi ya Corona,inaua!Vaa barakoa na epuka misongamano isiyo ya lazima,usiwe mbishi la sivyo yatakukuta yaliyomkuta Jiwe!
 
Kujaa na kulia/ kuomboleza
 
Wewe ni mjinga tu kati ya wajinga wenzako na huna lolote unanipotezea muda, take your time.
Sasa kwani we una akili? Sasa mtaendelea na kelele mpaka mchoke, Bashiru ndo yuko madarakani mastermind wa Magufuli.
 
Chukua tahadhari dhidi ya Corona,inaua!Vaa barakoa na epuka misongamano isiyo ya lazima,usiwe mbishi la sivyo yatakukuta yaliyomkuta Jiwe!

Hainiui mimi kwa sababu inaua ,nitakufa kwa namna ambayo Mungu ajuaye mwisho wangu na mwanzo wangu atataka nife. Hivyo tu.
 
We nawe akili zako kiduchu..kwani kabla ya magufuli kuingia madarakani Tanzania watu walikua wanaishije?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…