Ipo siku utajutia kauli yakoAgeni mpendwa wenu. Tulioumizwa nae tuna hangover tunaenda kuzimua mapema maana mama katoa mapumzika jumatatu.
Kubwa zaidi tarehe 25 nayo tumepewa ni siku ya bia.
Tumenyanyaswa sana yaani.
Waachieni wanaoshikiliwa magerezani haraka wakazione familia zao
Nothing special.Kujaa na kulia/ kuomboleza
Mbona wale wezi wa mali za CCM ambao Bashiru ana ripoti yao iko kwapani hakuna aliyeko jela?pUMBAVU ZAKO MLIVYOKUWA MNAIBA MALI ZA UMMA NA KUJIMILIKISHA JE?
Anyway JPM ameshaondoka ama una wivu na sharehe za kumuaga?Nothing special.
Chukua tahadhari kama ambavyo unajilinda dhidi ya Malaria kwa kulala kwenye chandarua chenye dawa, au vile unavyovaa kondomu ukishiriki ngono, au vile unavyonawa mikono kabla ya kula kujikinga na magonjwa kama kipindupindu, au vile unavyokunywa maji yaliyochemshwa kujikinga na magonjwa kama typhoid na minyoo!Hainiui mimi kwa sababu inaua ,nitakufa kwa namna ambayo Mungu ajuaye mwisho wangu na mwanzo wangu atataka nife. Hivyo tu.
Hahahahaa sijakuona kitambo maana ww comments zako zote huwa za kishari balaa🤣🤣..mie honestly nimeumia mno..sitak hata angalia kideo.Raha sana
Nimemuona yule bodyguard wake mweusi waliesema amekufa kwa corona huko Nairobi. Au ni mzimu wake?Mwili ndio unatoka Ikulu Dar es dalaaam kuelekea kanisani St Peters
Mkuu kwanini unaangalia tbc?Hivi hawa TBC hawana anti shaking stand za kamera zao. ideo inacheeeza hadi kero
Ooohhh... Hii ndio tv ya kwanza inayonijia nikisikia mambo ya jpmMkuu kwanini unaangalia tbc?
Mambo yote yapo UTV
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
TBC ni wachovu kabisa linapokuja suala la quality na live coverage.Ooohhh... Hii ndio tv ya kwanza inayonijia nikisikia mambo ya jpm
Sure..TBC ni wachovu kabisa linapokuja suala la quality na live coverage.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Umeenda kuaga!..pole sana kada ...inauma
Polee sanaaa mkuuu,hakuna namnaaaHahahahaa sijakuona kitambo..maana ww comments zako zote huwa za kishari balaa🤣🤣..mie honestly nimeumia mno..sitak hata angalia kideo...
Hakika hakuna namnaPolee sanaaa mkuuu,hakuna namnaaa
Anyway JPM ameshaondoka ama una wivu na sharehe za kumuaga???
Baada ya Ibada ya kuuombea na kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli kufanyika katika kanisa la St Peters Jiji Dar es Salaam sasa ni muda wa uwanja wa Uhuru Dar Es Salaam. Wananchi wamekusanyika kwa wingi kuuaga mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania
WAKAZI WA DAR WAJITOKEZA KUAGA MWILI WA RAIS MAGUFULI
Wakazi wa Dar wamejitokeza barabarani kumuaga aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli
Wameonekana kutandika Khanga barabarani, wengine walibeba mashada na mabango yenye ujumbe
----
Wakazi wa Dar wamejitokeza barabarani kumuaga aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli.
Wakazi wa Dar walionekana kutandika Khanga barabarani ili magari yaliyobeba mwili wa Hayati Magufuli yapite juu yake kuonesha heshima.
Wananchi wengine walikuwa wamebeba mashada ambayo walikuwa wakiyapunga mwili wa Marehemu ukiwa Unapita kuelekea Uwanja wa Uhuru.