Mtoa Taarifa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2024
- 213
- 671
Ya Mwamposahii habar nimeiona utv watu wameungua kama sio kubabuka ngozi kuna mmaoja ana malengelenge kama kamwaguwa tindikali ni mafuta gani wametumia?
Utakuta hospitali zetu zinawachukulia kama fursa badala ya kuibua tafiti za kinahii habar nimeiona utv watu wameungua kama sio kubabuka ngozi kuna mmaoja ana malengelenge kama kamwaguwa tindikali ni mafuta gani wametumia?
yan inatisha hayo mafta wameenda kuchunguza huko kwa mpemba wakakuta hayana lebo kuulizwa anasema wakiyasafirisha hawaweki lebo na sababu zisizo mashiko inatia gagaziko na mtanziko ukiona hao watu walivyodhurika utashangaa yan wameungua kama na moto, ndio najiuliza sjui n mafuta ya nnUtakuta hospitali zetu zinawachukulia kama fursa badala ya kuibua tafiti za kina
Mamlaka zetu za usimamizi wa vyakula hazina maanayan inatisha hayo mafta wameenda kuchunguza huko kwa mpemba wakakuta hayana lebo kuulizwa anasema wakiyasafirisha hawaweki lebo na sababu zisizo mashiko inatia gagaziko na mtanziko ukiona hao watu walivyodhurika utashangaa yan wameungua kama na moto, ndio najiuliza sjui n mafuta ya nn
dah huu n mtihani tunakula vitu hatujui usalama wetu ni upiMamlaka zetu za usimamizi wa vyakula hazina maana
Wamebabuka nomaMamlaka zetu za usimamizi wa vyakula hazina maana
Nuclear assemblyWamekunywa radiation aisee.