DAR: Zaidi ya watu 200 Temeke wadhurika ngozi wakidaiwa kula chakula chenye mafuta yenye sumu

DAR: Zaidi ya watu 200 Temeke wadhurika ngozi wakidaiwa kula chakula chenye mafuta yenye sumu

Huyu aliyebabuka lips kanichekesha sana wakati hii ni ishu serious sana. Kama tukishindwa kujizalishia vyakula tutalishwa takataka hadi tuchakae. Wachina wapo huko wanazalisha kila aina ya misosi feki, wana hadi mafuta ya kutoka kwenye kinyesi cha binadamu. Nchi inaweza kulima Mawese, Nazi, alizeti na karanga lakini bado inaagiza mafuta nje.
 
Mamlaka zichukue sampuli ya mafuta hayo toka kwa watu walioathirika zikapimwe kujua ni sumu gani wamekula. Halafu mfanyabiashara huyo naye atoe ushirikiano ni wapi amenunua mafuta hayo ili kujua yametengenezwa na kiwanda gani hatua za kisheria zichukuliwe
 
Siyo mpox hiyo ?

View attachment 3202974
Mpox husambazwaje?
Mpox inaweza kusambazwa kuanzia wakati dalili zinaanza hadi vipele vipone kabisa na tabaka jipya la ngozi
lifanyizwe. Kirusi hicho kinaweza kusambazwa kutoka mtu hadi mtu kupitia mgusano wa karibu, mara nyingi
wa ngozi kwa ngozi, ikiwemo:
• Mgusano wa moja kwa moja na vipele vya mpox, makovu, au umajimaji fulani wa mwili kama vile mate,
au kamasi
• Mahusiano ya karibu kama vile ngono, kubusu au kukumbatiana
• Kugusa vitu (vikombe, sahani), nguo (mavazi, malazi, au taulo), na sehemu ambazo zimetumiwa na mtu aliye
na mpox lakini ambazo hazijasafishwa bado.
• Watu wajawazito walio na mpox wanaweza kusambaza kirusi hicho kwa fetasi wakati wa ujauzito au kwa
vitoto vichanga wakati wa ujauzito au baada ya kuzaliwa
Mpox HAISAMBAZWI kupitia mgusano wa kijuujuu kama vile unapokuwa
na watu ukifanya kazi ofisini, kwenda sokoni, au unapokuwa kwenye basi.
Unaweza kujilindaje?
• Epuka mgusano wa karibu, wa ngozi kwa ngozi na watu walio na vipele vinavyoonekana kama mpox.
• Usimbusu, kumkumbatia au kufanya ngono na mtu aliye na mpox.
• Epuka kugusa vitu na vifaa ambavyo mtu aliye na mpox ametumia, kama vile vyombo, malazi, au mavazi.
• Nawa mikono mara kwa mara kwa sabuni na maji au utumie kitakasa mikono kilicho na alkoholi.
Nikigusana na mpox, nifanye nini?
• Angalia dalili kwa siku 21 kuanzia mara ya mwisho ulipogusana
na mpox. Unaweza kuendelea kufanya shughuli zako za kawaida
za kila siku maadamu huna dalili au ishara za mpox.
• Ikiwa una vipele vipya au ambavyo huvielewi au dalili nyingine
za mpox,mwone daktari na upimwe mpox.
• Iwapo utaambukizwa mpox, kaa mbali na watu wengine kadiri
iwezekanavyo, funika vidonda vyako, na uvae barakoa unapokuwa
karibu na watu wengine hadi vipele vyako vitoweke kabisa,
Ni nani anayeweza kuugua vibaya?
Mpox inaweza kuwa hatari sana kwa watu fulani, kama vile:
• Watu ambao mfumo wao wa kingamaradhi ni dhaifu sana au walio na VVU (HIV) ambayo haijadhibitiwa
• Watoto wenye umri chini ya mwaka 1
• Watu walio na historia ya ugonjwa wa ukurutu (kizema)
• Watu ambao ni wajawazito
Iwapo wataugua mpox, huenda wakahitaji utunzaji wa ziada ili kuwasaidia kupata

Source : cdc.gov
 
Kama kuna health problem Serikali lazima iwaarifu watu kwa wakati ili wajilinde.
But,no. Watu wanaogopa kutumbiliwa na rais.
Kwa hiyo yakitokea matatizo kama haya knee- jerk reaction ni kujaribu kuficha.
Au wanaogopa watasema kitu kitawafukuza watalii.
Sasa nimeamka asubuhi naona kipele kidogo sehemu za siri. Sijui inahusuana na hii m pox?
What I noticed yesterday ni kwamba mpishi amenipikia chakula vizuri sana,I ate supper very heartily nikiwaza labda mpishi ameamua kujirekebisha tabia zake za ovyo.
Kumbe labda it was just a trap.

I mean,Wizara lazima itoe tangazo kwamba kuna ugonjwa hapa yunsufuatilia Everyone must be informed.
Lakini habari tunazipata kutoka kwa JF reporter.
Ambayo nasoma absent - mindedly, lakini kwa vile najua maana ya maneno , slowly I realize someone is trying to tell me something, someone is trying to tell there is some kind of disease.

Halafu mimi sina medical card,na sina hela hata senti tano.
 
yan inatisha hayo mafta wameenda kuchunguza huko kwa mpemba wakakuta hayana lebo kuulizwa anasema wakiyasafirisha hawaweki lebo na sababu zisizo mashiko inatia gagaziko na mtanziko ukiona hao watu walivyodhurika utashangaa yan wameungua kama na moto, ndio najiuliza sjui n mafuta ya nn
Wamfungulie kesi awalipe fidia
 
Yombo Dovya bandari kavu Dar es Salaam Tanzania kwa malori ya nchi za Burundi, Rwanda na DR Congo, je hakuna uwezekano safari hizi ndefu za madereva na ma utingo wanaofika nchi za maziwa makuu kuleta ugonjwa ?
1737020266777.jpeg

Last week African countries reported 2,532 new mpox cases, mostly in the Democratic Republic of the Congo (DRC) and Burundi, pushing the total since the first of the year to 50,840 cases, officials from Africa Centres for Disease Control and Prevention (Africa CDC) said today...

The officials also reported 32 more deaths from the virus. At the briefing, Jean Kaseya, MD, MPH, Africa CDC's director-general, said cases continue to rise in Uganda and the outbreak has spread to one more district of Central African Republic (CAR), Paoua, which is on the border with Chad.....source : Cases top 50,000 in Africa's mpox outbreak


Mpox Situation in Rwanda
  • Cumulative suspected cases: 5486.
  • New suspected cases: 122.
  • Total confirmed cases: 78.
  • New confirmed cases: 4.
  • Cases under follow-up: 20.
  • Total discharged cases: 58.
  • New discharged cases: 11.

RBC: Home › mpox
 
yan inatisha hayo mafta wameenda kuchunguza huko kwa mpemba wakakuta hayana lebo kuulizwa anasema wakiyasafirisha hawaweki lebo na sababu zisizo mashiko inatia gagaziko na mtanziko ukiona hao watu walivyodhurika utashangaa yan wameungua kama na moto, ndio najiuliza sjui n mafuta ya nn
Huyo mwenye duka almaarufu kama mangi ndio anauziwa na huyo mpemba unaemsema au vip?
 
Back
Top Bottom