DAR: Zaidi ya watu 200 Temeke wadhurika ngozi wakidaiwa kula chakula chenye mafuta yenye sumu

DAR: Zaidi ya watu 200 Temeke wadhurika ngozi wakidaiwa kula chakula chenye mafuta yenye sumu

Mafuta ya magendo baharini
Hukk baharini hakuna wasimamizi wa kuhakikisha kila mzigo unaoingia una nyaraka zote na ni salama kwa matumizi ya binadamu? Au ndiyo yale kufanya kazi kwa mazoea na rushwa ikiendelea kutawala?
Kwa jambo kama hili kuna watu wanapaswa kuwajibishwa kama si kujiwajibisha wenyewe. Nchi za wenzetu issue kama hii ni very serious case indeed
 
Zaidi ya wakazi 200 wa Mtaa wa Yombo Dovya, wilayani Temeke wameathirika kwa kubabuka ngozi katika maeneo mbalimbali mwilini baada ya kudaiwa kutumia mafuta ya kula yenye sumu.

Mafuta hayo inasemekana yamenunuliwa katika duka la mfanyabiashara anayefahamika kwa jina la Kamau maarufu kama Mangi.

Ni hatari kubwa sana hii.

Lakini chanzo cha mabalaa yote haya ni kutokana na kukosekana kwa Competent institution for Standard Control and Monitoring
 
Mafuta hayo yanatengenezwa Ubungo maji na hapo Temeke.
Polisi wanajua, Serikali za Mitaa za maeneo husika zinajua
 
Hukk baharini hakuna wasimamizi wa kuhakikisha kila mzigo unaoingia una nyaraka zote na ni salama kwa matumizi ya binadamu? Au ndiyo yale kufanya kazi kwa mazoea na rushwa ikiendelea kutawala?
Kwa jambo kama hili kuna watu wanapaswa kuwajibishwa kama si kujiwajibisha wenyewe. Nchi za wenzetu issue kama hii ni very serious case indeed
There's no Coast guard in Tanzania, mipaka yote ya bahari ipo uchi wa mnyama
 
Back
Top Bottom