DAR: Zaidi ya watu 200 Temeke wadhurika ngozi wakidaiwa kula chakula chenye mafuta yenye sumu

DAR: Zaidi ya watu 200 Temeke wadhurika ngozi wakidaiwa kula chakula chenye mafuta yenye sumu

Zaidi ya wakazi 200 wa Mtaa wa Yombo Dovya, wilayani Temeke wameathirika kwa kubabuka ngozi katika maeneo mbalimbali mwilini baada ya kudaiwa kutumia mafuta ya kula yenye sumu.

Mafuta hayo inasemekana yamenunuliwa katika duka la mfanyabiashara anayefahamika kwa jina la Kamau maarufu kama Mangi.

 

Attachments

  • VID-20250115-WA0018.mp4
    16.9 MB
  • 5929282-43d7e58f930fba84b8de7085be6f9086.mp4
    19.9 MB
Umekuja na taarifa mpya wakati Kila mtu kaona video,sio hayana lebo Bali seal tape, tofautisha vitu hivyo
yan inatisha hayo mafta wameenda kuchunguza huko kwa mpemba wakakuta hayana lebo kuulizwa anasema wakiyasafirisha hawaweki lebo na sababu zisizo mashiko inatia gagaziko na mtanziko ukiona hao watu walivyodhurika utashangaa yan wameungua kama na moto, ndio najiuliza sjui n mafuta ya nn
 
Zaidi ya wakazi 200 wa Mtaa wa Yombo Dovya, wilayani Temeke wameathirika kwa kubabuka ngozi katika maeneo mbalimbali mwilini baada ya kudaiwa kutumia mafuta ya kula yenye sumu.

Mafuta hayo inasemekana yamenunuliwa katika duka la mfanyabiashara anayefahamika kwa jina la Kamau maarufu kama Mangi.

Huko Yombo Dovya kunani?
Si ndio na yule binti aliyepigwa gang-rape alitokea huko?
 
Siyo mpox hiyo ?

1736970803859.jpeg

Mpox husambazwaje?
Mpox inaweza kusambazwa kuanzia wakati dalili zinaanza hadi vipele vipone kabisa na tabaka jipya la ngozi
lifanyizwe. Kirusi hicho kinaweza kusambazwa kutoka mtu hadi mtu kupitia mgusano wa karibu, mara nyingi
wa ngozi kwa ngozi, ikiwemo:
• Mgusano wa moja kwa moja na vipele vya mpox, makovu, au umajimaji fulani wa mwili kama vile mate,
au kamasi
• Mahusiano ya karibu kama vile ngono, kubusu au kukumbatiana
• Kugusa vitu (vikombe, sahani), nguo (mavazi, malazi, au taulo), na sehemu ambazo zimetumiwa na mtu aliye
na mpox lakini ambazo hazijasafishwa bado.
• Watu wajawazito walio na mpox wanaweza kusambaza kirusi hicho kwa fetasi wakati wa ujauzito au kwa
vitoto vichanga wakati wa ujauzito au baada ya kuzaliwa
Mpox HAISAMBAZWI kupitia mgusano wa kijuujuu kama vile unapokuwa
na watu ukifanya kazi ofisini, kwenda sokoni, au unapokuwa kwenye basi.
Unaweza kujilindaje?
• Epuka mgusano wa karibu, wa ngozi kwa ngozi na watu walio na vipele vinavyoonekana kama mpox.
• Usimbusu, kumkumbatia au kufanya ngono na mtu aliye na mpox.
• Epuka kugusa vitu na vifaa ambavyo mtu aliye na mpox ametumia, kama vile vyombo, malazi, au mavazi.
• Nawa mikono mara kwa mara kwa sabuni na maji au utumie kitakasa mikono kilicho na alkoholi.
Nikigusana na mpox, nifanye nini?
• Angalia dalili kwa siku 21 kuanzia mara ya mwisho ulipogusana
na mpox. Unaweza kuendelea kufanya shughuli zako za kawaida
za kila siku maadamu huna dalili au ishara za mpox.
• Ikiwa una vipele vipya au ambavyo huvielewi au dalili nyingine
za mpox,mwone daktari na upimwe mpox.
• Iwapo utaambukizwa mpox, kaa mbali na watu wengine kadiri
iwezekanavyo, funika vidonda vyako, na uvae barakoa unapokuwa
karibu na watu wengine hadi vipele vyako vitoweke kabisa,
Ni nani anayeweza kuugua vibaya?
Mpox inaweza kuwa hatari sana kwa watu fulani, kama vile:
• Watu ambao mfumo wao wa kingamaradhi ni dhaifu sana au walio na VVU (HIV) ambayo haijadhibitiwa
• Watoto wenye umri chini ya mwaka 1
• Watu walio na historia ya ugonjwa wa ukurutu (kizema)
• Watu ambao ni wajawazito
Iwapo wataugua mpox, huenda wakahitaji utunzaji wa ziada ili kuwasaidia kupata

Source : cdc.gov
 
Zaidi ya wakazi 200 wa Mtaa wa Yombo Dovya, wilayani Temeke wameathirika kwa kubabuka ngozi katika maeneo mbalimbali mwilini baada ya kudaiwa kutumia mafuta ya kula yenye sumu.

Mafuta hayo inasemekana yamenunuliwa katika duka la mfanyabiashara anayefahamika kwa jina la Kamau maarufu kama Mangi.

Utakuta gabacholi
 
Back
Top Bottom