Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Probably yatakuwa na radio active materials!Wamekunywa radiation aisee.
Labda adui mpumbavu. Adui mwenye akili haji kwa uwazi hivyo; wala hamuwezi kujua kama yupo na anatenda kazi until very late.Kama ni mpango wa adui kupunguza population ameshafanikiwa pakubwa watu 200 + wale wa chanjo ya wakati ule
Zaidi ya wakazi 200 wa Mtaa wa Yombo Dovya, wilayani Temeke wameathirika kwa kubabuka ngozi katika maeneo mbalimbali mwilini baada ya kudaiwa kutumia mafuta ya kula yenye sumu.
Mafuta hayo inasemekana yamenunuliwa katika duka la mfanyabiashara anayefahamika kwa jina la Kamau maarufu kama Mangi.
yan inatisha hayo mafta wameenda kuchunguza huko kwa mpemba wakakuta hayana lebo kuulizwa anasema wakiyasafirisha hawaweki lebo na sababu zisizo mashiko inatia gagaziko na mtanziko ukiona hao watu walivyodhurika utashangaa yan wameungua kama na moto, ndio najiuliza sjui n mafuta ya nn
Huko Yombo Dovya kunani?Zaidi ya wakazi 200 wa Mtaa wa Yombo Dovya, wilayani Temeke wameathirika kwa kubabuka ngozi katika maeneo mbalimbali mwilini baada ya kudaiwa kutumia mafuta ya kula yenye sumu.
Mafuta hayo inasemekana yamenunuliwa katika duka la mfanyabiashara anayefahamika kwa jina la Kamau maarufu kama Mangi.
mbnaUkishasikia mpemba ujue mafuta ya kuvushwa na boti hayo kutoka Zanzibar
vyovyote vileUmekuja na taarifa mpya wakati Kila mtu kaona video,sio hayana lebo Bali seal tape, tofautisha vitu hivyo
KumbeUkishasikia mpemba ujue mafuta ya kuvushwa na boti hayo kutoka Zanzibar
Una ushahidi?Ya Mwamposa
Utakuta gabacholiZaidi ya wakazi 200 wa Mtaa wa Yombo Dovya, wilayani Temeke wameathirika kwa kubabuka ngozi katika maeneo mbalimbali mwilini baada ya kudaiwa kutumia mafuta ya kula yenye sumu.
Mafuta hayo inasemekana yamenunuliwa katika duka la mfanyabiashara anayefahamika kwa jina la Kamau maarufu kama Mangi.
Labda ya churahii habar nimeiona utv watu wameungua kama sio kubabuka ngozi kuna mmaoja ana malengelenge kama kamwaguwa tindikali ni mafuta gani wametumia?
Mitano Tena Kwa mama mpaka maji tuite mma.CCM mbele kwa mbele!