Daraja jipya la Selander lakamilika, Kufunguliwa Desemba 27, 2021

Daraja jipya la Selander lakamilika, Kufunguliwa Desemba 27, 2021

... hela iliyotupwa hapo ingetosha kupanua barabara ya Mwenge hadi Posta Mpya njia nne kila upande; ingetosha kupanua barabara ya Morogoro toka Kimara hadi Posta Mpya njia nne tukasahau foleni completely. Mradi wa Daraja la Selander hautamaliza tatizo lililokuwepo kwa kiwango kikubwa!
Usisahau na madege ya ATCL Dreamliner 787 nk kuwa yatamaliza shida ya ajira kuliko kujenga viwanda. Hii nchi anayeiongoza ana ubongo mzuri kweli anajua kufanya prioritization haswaa..
 
Ingewekwa Tozo kuvuka ili kupunguza fujo za Wazalendo…wafanye walau buku mbili
Mtumie kodi yao kujenga, na bado muone nongwa wakipita muweke tozo ili wasipite?!! Acheni roho mbaya.
 
... ufahari usio na impact kwa wananchi walio wengi! There could be better options with the same resources spent on the project.
Kwa kiwango cha pesa kilichotumika na ukiangalia matatizo halisi ya hii nchi ni bora fedha ingeelekezwa kwenye maeneo mengine kuliko kujenga daraja kwa ajili ya wakazi wa masaki na oysterbay ambao hawajawahi kuwa na tatizo la barabara.
 
Kwa kiwango cha pesa kilichotumika na ukiangalia matatizo halisi ya hii nchi ni bora fedha ingeelekezwa kwenye maeneo mengine kuliko kujenga daraja kwa ajili ya wakazi wa masaki na oysterbay ambao hawajawahi kuwa na tatizo la barabara.
... wewe umenielewa!
 
... hela iliyotupwa hapo ingetosha kupanua barabara ya Mwenge hadi Posta Mpya njia nne kila upande; ingetosha kupanua barabara ya Morogoro toka Kimara hadi Posta Mpya njia nne tukasahau foleni completely. Mradi wa Daraja la Selander hautamaliza tatizo lililokuwepo kwa kiwango kikubwa!
Mkuu tujivunie hiki kidogo tulichopata. Watz hatuwahi kuwa na shukrani kabisa.
 
Mkuu tujivunie hiki kidogo tulichopata. Watz hatuwahi kuwa na shukrani kabisa.
... Mkuu, hoja yangu ni kwamba tungeweza kufanya makubwa na yenye impact zaidi kwa wananchi masikini kwa kutumia the same resources.
 
Back
Top Bottom