Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Utalii wa ndani? Njooni daslam mtalii.Wa Mbozi huku linatusaidia nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utalii wa ndani? Njooni daslam mtalii.Wa Mbozi huku linatusaidia nini?
Hakuna mwenye akili timamu wakumkumbuka dikteta muuajiTutakukumbuka kwa mema....miradi yako inaanza kufunguliwa
RIP JPM
Mbona hilo lipo kwenye mkakati.Mkuu,ingetosha kuweka daraja pale Jangwani ili mvua zikinyesha maisha yaendelee bila shida,Ingetosha na chenchi kubaki
Huko Dar kubaya.Utalii wa ndani? Njooni daslam mtalii.
Priority mkuu,priority zetu ni nini?Mbona hilo lipo kwenye mkakati.
Ni suala la muda tu.
Basi daraja letu la "surrender" hutalifaidi.Huko Dar kubaya.
- Kuna joto
- Kuna Hamza
- Kuna mademu wana matusi, pesa yangu mwenyewe inanifanya nifananishwe na mbuzi eti mimi BUZI.
- Kuna Kwa Mpalange. Nasikia kuna joto balaa.
- Siji ng'oo
Usisahau na madege ya ATCL Dreamliner 787 nk kuwa yatamaliza shida ya ajira kuliko kujenga viwanda. Hii nchi anayeiongoza ana ubongo mzuri kweli anajua kufanya prioritization haswaa..... hela iliyotupwa hapo ingetosha kupanua barabara ya Mwenge hadi Posta Mpya njia nne kila upande; ingetosha kupanua barabara ya Morogoro toka Kimara hadi Posta Mpya njia nne tukasahau foleni completely. Mradi wa Daraja la Selander hautamaliza tatizo lililokuwepo kwa kiwango kikubwa!
Lile limejengwa special kwa madon wa Oysterbay, Mikocheni, Masaki, Msasani na Kawe.
Nyie walalahoi mtapita barabara ya UN
location ya kupiga picha mkija Dar.Wa Mbozi huku linatusaidia nini?
Tar 28 naenda kupita kuelekea Coco beachTutakuja kulishangaa.
Kama ni 2000 basi tutegemee kuona mpaka daladala zinakatiza paleIngewekwa Tozo kuvuka ili kupunguza fujo za Wazalendo…wafanye walau buku mbili
Daladala zikatize kwenda wapi? Daladala hazina route njia hio kama wanataka kutoa hela za kubrashia viatu wapite huko waone.Kama ni 2000 basi tutegemee kuona mpaka daladala zinakatiza pale
Mtumie kodi yao kujenga, na bado muone nongwa wakipita muweke tozo ili wasipite?!! Acheni roho mbaya.Ingewekwa Tozo kuvuka ili kupunguza fujo za Wazalendo…wafanye walau buku mbili
Kwa kiwango cha pesa kilichotumika na ukiangalia matatizo halisi ya hii nchi ni bora fedha ingeelekezwa kwenye maeneo mengine kuliko kujenga daraja kwa ajili ya wakazi wa masaki na oysterbay ambao hawajawahi kuwa na tatizo la barabara.... ufahari usio na impact kwa wananchi walio wengi! There could be better options with the same resources spent on the project.
... wewe umenielewa!Kwa kiwango cha pesa kilichotumika na ukiangalia matatizo halisi ya hii nchi ni bora fedha ingeelekezwa kwenye maeneo mengine kuliko kujenga daraja kwa ajili ya wakazi wa masaki na oysterbay ambao hawajawahi kuwa na tatizo la barabara.
Mkuu tujivunie hiki kidogo tulichopata. Watz hatuwahi kuwa na shukrani kabisa.... hela iliyotupwa hapo ingetosha kupanua barabara ya Mwenge hadi Posta Mpya njia nne kila upande; ingetosha kupanua barabara ya Morogoro toka Kimara hadi Posta Mpya njia nne tukasahau foleni completely. Mradi wa Daraja la Selander hautamaliza tatizo lililokuwepo kwa kiwango kikubwa!
... Mkuu, hoja yangu ni kwamba tungeweza kufanya makubwa na yenye impact zaidi kwa wananchi masikini kwa kutumia the same resources.Mkuu tujivunie hiki kidogo tulichopata. Watz hatuwahi kuwa na shukrani kabisa.