Daraja jipya la Selander lakamilika, Kufunguliwa Desemba 27, 2021

Daraja jipya la Selander lakamilika, Kufunguliwa Desemba 27, 2021

... hela iliyotupwa hapo ingetosha kupanua barabara ya Mwenge hadi Posta Mpya njia nne kila upande; ingetosha kupanua barabara ya Morogoro toka Kimara hadi Posta Mpya njia nne tukasahau foleni completely. Mradi wa Daraja la Selander hautamaliza tatizo lililokuwepo kwa kiwango kikubwa!
Kijana foleni inasababishwa na uwepo wa Junction nyingi na siyo lanes za barabara mnaweza na kuwa na two lane two ways na foleni isionekane lakini kama mnajunction nyingi foleni haiepukiki sawa kijana
 
Kampuni ya kikorea GS E& C wamemaliza ujenzi wa Daraja jipya la Selander. Mradi huu mkubwa utafunguliwa tarehe 27 Dec 2021.

Hii ni hatua njema ya ukamilishaji wa miradi yetu kama ilivyo kwenye Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025.

Selander Bridge Mpya (GS E&C)
Mjenzi wa GS E&C kutoka Korea Kusini amekamilisha ujenzi wa daraja la New Selander nchini Tanzania.

Daraja jipya la Selander litafunguliwa rasmi kwa matumizi tarehe 27 Desemba.

Daraja hili lina urefu wa mita 670 Ni aina mpya ya daraja ambayo imechanganya sifa za daraja la mhimili na daraja lililokaa kwa kebo ili kuifanya iwe nyepesi. Mbinu hiyo huongeza uwezekano wa ujenzi na kiuchumi, kulingana na mjenzi.

Mradi huu ulikuwa sehemu ya mradi wa Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi wa Korea Kusini, ambao ulitoa dola milioni 107 kwa ujenzi huo.

20211222_175426.jpg


#SSH
#PIM
#KMM
#Tanzaniamoja
#TeamBomberdier
 
Kwenye huo mfuko imebaki bei gani tuipangie vitu vya maana...naona hao wakorea hawako serious
 
Gharama ya kulipia kukatiza hapo sijui itakuwa bei gani???[emoji848]
Ila ningependekeza waweke kuvuka hapo iwe 10000/ ili wale watata aka wazushi wakina Extrovert wasikatize hapo [emoji23][emoji23]

ova
Kwani Tsh 10,000/ ni shida yaani mlo mmoja wa mchana tu!
Kama wewe huwezi usishindane na wengine. Jua yakwako!
 
All Credit to the Late JOHN POMBE MAGUFULI, jamaa alibana pesa ila tulijionea kwa macho pesa zikitengeneza na kuboresha miundombinu…

Aendelee kupumzika kwa Amani na kwa heshima yake ningependekeza liitwe Magufuli Bridge…
 
Hili nilikuwa sina wasiwasi nilijua litaisha on time na kwa kiwango cha juu maana kulikuwa hakuna pua ya mswahili iliyogusa au kuona pesa za hiyo project, pesa ilitolewa na Mkorea na akalipwa contractor moja kwa moja na kazi ikasimamiwa na mkorea 100%, model iliyotumika ni sumu kwa mafisadi, Congratulations to the late President JPM
 
Hili nilikuwa sina wasiwasi nilijua litaisha on time na kwa kiwango cha juu maana kulikuwa hakuna pua ya mswahili iliyogusa au kuona pesa za hiyo project, pesa ilitolewa na Mkorea na akalipwa contractor moja kwa moja na kazi ikasimamiwa na mkorea 100%, model iliyotumika ni sumu kwa mafisadi, Congratulations to the late President JPM
Tungekuwepo wakina sisi lisingeishaa

Ova
 
Lile la Busisi lisitishwe maana nchi imeingizwa na IMF ktk kundi la nchi zilizoelemewa na mzigo wa madeni.
 
All Credit to the Late JOHN POMBE MAGUFULI, jamaa alibana pesa ila tulijionea kwa macho pesa zikitengeneza na kuboresha miundombinu…

Aendelee kupumzika kwa Amani na kwa heshima yake ningependekeza liitwe Magufuli Bridge…
Wanasema tumekopa wala hakubana yeye pesa zetuuuu
 
Back
Top Bottom