Daraja jipya la Selander lakamilika, Kufunguliwa Desemba 27, 2021

Daraja jipya la Selander lakamilika, Kufunguliwa Desemba 27, 2021

Hili nilikuwa sina wasiwasi nilijua litaisha on time na kwa kiwango cha juu maana kulikuwa hakuna pua ya mswahili iliyogusa au kuona pesa za hiyo project, pesa ilitolewa na Mkorea na akalipwa contractor moja kwa moja na kazi ikasimamiwa na mkorea 100%, model iliyotumika ni sumu kwa mafisadi, Congratulations to the late President JPM
Magufuli alikuwa mwamba kwa kweli haters wajiandae kwenda labour wakajifungue mimba za chuki!
 
Nyie watu mna matatizo ya akili sana

Kwa iyo magufuli ndo amejenga ilo daraja? Kivipi?

Pesa watoe wakorea alafu unaropoka tu Magufuli!

Vic has wakubwa nyie
Alisimamia nani hilo, mama kafanya lipi kubwa mpaka sasa
 
Hili nilikuwa sina wasiwasi nilijua litaisha on time na kwa kiwango cha juu maana kulikuwa hakuna pua ya mswahili iliyogusa au kuona pesa za hiyo project, pesa ilitolewa na Mkorea na akalipwa contractor moja kwa moja na kazi ikasimamiwa na mkorea 100%, model iliyotumika ni sumu kwa mafisadi, Congratulations to the late President JPM
Pesa atoe mkorea, kujenga ajenge mkorea alafu hongera unatoa kwa magufuli
 
Alisimamia nani hilo, mama kafanya lipi kubwa mpaka sasa
Kama kusimamia ndo kumpa mtu sifa basi sifa apewe Samia maana Samia kaanza Urais March 2021 na kwa kipindi chake ndo sehemu kubwa ya daraja imejengwa hadi kumalizika!

Acheni ushamba wa kuabudu mizimu nyie
 
Tuhamie pale jangwani!mlala hoi gani atanufaika na white elephant hii!!
 
Kama kusimamia ndo kumpa mtu sifa basi sifa apewe Samia maana Samia kaanza Urais March 2021 na kwa kipindi chake ndo sehemu kubwa ya daraja imejengwa hadi kumalizika!

Acheni ukichaa na ushamba wa kuabudu mizimu nyie wajinga
Acheni chuki za kishamba idea ndio msingi wa mradi! Usimamizi ndio unafata
 
Back
Top Bottom