RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Wewe endelea na link zako.Soma link mkuu. Historia ni ngumu kufutika hasa ya mitandaoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe endelea na link zako.Soma link mkuu. Historia ni ngumu kufutika hasa ya mitandaoni.
Kulipia sasa ndo mtihani tunasubiria bei elekeziWakishua kama nakuona vile kutoka obey/masaki mpaka posta ni mwendo mdundo. Hamna foleni tena ya Salander bridge
Ubaya hupo kwani yeye kilianzisha?Kuna possibility ya kuitwa SSH Bridge Kwani kuna ubaya?
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Halafu huyo Mkwele mwenyewe kipindi akiwa rais msimamizi wa miradi yote alikuwa JPM, alimpeleka uvuvi,miradi ikasuasua akamrudisha wizara ya ujenzi.Wanakomalia chuki za wazi kwa vitu ambavyo havina hata mantiki
Ushajiuliza kwa nini awamu zote za JK, waziri wa ujenzi alikuwa Magu? Then jiuliuze kwa nini alimrudisha Magu wizara ya ujezi baada ya kumpeleka uvuvi kwa kipindi kifupi.Kazi ya Jakaya....mipango yote,michoro,usanifu,pesa n.k alishamaliza JK. Angalia hii post ya mwezi March- 2015 JPM akiwa Waziri wa Ujenzi na Miundombinu
![]()
Mpango wa Ujenzi wa Daraja jipya la kisasa la Salender wakamilika
Muonekano wa Daraja jipya la Salenda litaakalopita baharini kuanzia Coco Beachi (Oysterbay) kwenda Hospitali ya Aga Khan (Maeneo ya Ocea...www.mtaakwamtaa.co.tz
Hongera serikali au hongera wananchi wa Tz?Hongera serikali kwa kumaliza mradi huo
Halafu huyo Mkwele mwenyewe kipindi akiwa rais msimamizi wa miradi yote alikuwa JPM, alimpelela uvuvi,miradi ikasuasua akamrudisha wizara ya ujenzi.
Yaani utake usitake key player wa awamu ya JK alikuwa Magu. Hawa jamaa wanao mchukia ni wale walio amua kuzihifadhi mimba zao za chuki za mwendazake,ila ukweli wana ujua.
Hongera serikali au hongera wananchi wa Tz?
Ucheke na wewe.
Tatizo vichaa wengi wanamtafutia credit kwa nguvu zote ila anakosa.
Hilo daraja Magufuli hausiki kwa lolote. Hakuna hata sh 100 ya Tz imelala hapo.
Selander ndio sahihiDARAJA LA
SURRENDER
SELANDER
SALENDAR
Umesahau pia kuna watuhumiwa wa ugaidi wa ChademaHuko Dar kubaya.
- Kuna joto
- Kuna Hamza
- Kuna mademu wana matusi, pesa yangu mwenyewe inanifanya nifananishwe na mbuzi eti mimi BUZI.
- Kuna Kwa Mpalange. Nasikia kuna joto balaa.
- Siji ng'oo
Amen. Mungu amrehemu huyu shujaa wetu. Maisha yake ni zawadi kwetu na wajukuu wetu. Hili daraja ni moja tu ya mifano. Magufuli tulikupenda sana Rais wetu. Lala kwa amani.All Credit to the Late JOHN POMBE MAGUFULI, jamaa alibana pesa ila tulijionea kwa macho pesa zikitengeneza na kuboresha miundombinu…
Aendelee kupumzika kwa Amani na kwa heshima yake ningependekeza liitwe Magufuli Bridge…
Wahuni mtaisha lini... hela iliyotupwa hapo ingetosha kupanua barabara ya Mwenge hadi Posta Mpya njia nne kila upande; ingetosha kupanua barabara ya Morogoro toka Kimara hadi Posta Mpya njia nne tukasahau foleni completely. Mradi wa Daraja la Selander hautamaliza tatizo lililokuwepo kwa kiwango kikubwa!
Linajengwa kwa kasi sana. Nimepita hapo leoSubirieni la busisi na nyie
Ova
The old Selander Bridge was constructed back in 1929 and named after John Einar Selander; the first Director of Public Works after the British took over the territory from GermanyDARAJA LA
SURRENDER
SELANDER
SALENDAR